Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani



Wewe husiedhulumu warithi subili baba ako afe mchepuko wa miaka mitano au huyo kyln aje arithi mashuka na foronya, kwa Kua ni mashuka mtamuacha arithi kule hakuna mambo mepesi mepesi ya kijinga hivyo

Muda wake umefika ameamua kuoa sasa, bila kushurutishwa na baba wala mama yake au mtu yoyote amefata Moyo wake
 
Heeh, this in not funny anymore. Yaan umri wa kuoa ama kuolewa mnapangiana siku hizi? Kila mtu na malemgo na mipamgo yake. Mwenzako amepanga aoe baada ya kifanikisha jambo fulan wewe waenda mpangia? Mbutukuna eeh

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 


Maskini utawaweza kwa Kua yeye alifukuzwa nyumbani mapema kupunguza mzigo akaenda kuoa anataka na wenzie wawe hivyo

Wenzie wanaoa kwa hesabu zao na wanaoa wawapendao kutoka kumoyo sio wao wanaoa / kuolewa kwa ugumu maisha
 
Mengi ana mjukuu alimuachaga mwanawe Rodney au Mutie nafikiri km sijakosea

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Maskini utawaweza kwa Kua yeye alifukuzwa nyumbani mapema kupunguza mzigo akaenda kuoa anataka na wenzie wawe hivyo

Wenzie wanaoa kwa hesabu zao na wanaoa wawapendao kutoka kumoyo sio wao wanaoa / kuolewa kwa ugumu maisha

Kweli mimi ni maskini sikatai. Nachoshangaa maskini mwenzangu kunitukana kwamba ni maskini sababu nasema ukweli
 
Mnavyomsema huyo Jackie kwani watu wenye ukwasi sio wanaume !? Hawafai kuoa!? Wakitufuata tuwakatae tukubalie masikini tu [emoji23]
Najua komenti nyingi za hivi zinatoka kwa watu gani[emoji23] Don't hate struggle tu
Inshu ya huyo dada watoto wa mengi wanazingua ikumbukwe mengi alishagawa mali na mke wa mwanzo so alibakia na 50% percent yake ndio aliyoigawa wa watoto hawa wa Jackie nalo ni kosa!?
Hao watoto wanataka kuchukua kila kitu which isn't right at all.
 
Hivi mengi aliwaza nini kuzaa uzeeni vile, tulikubaliana kuwa wanaume kuzaa mwisho miaka 5o
Kuzaa sio shida, shida ni kuoa mdangaji, hakupaswa kuoa kwa umri ule, ila kuzaa hata kama ni miaka 100, mtu azae tu
 
Watoto wakubwa sio rizki, mzee akaona isiwe tabu manake nisipoangalia kizazi changu kinaishia hapa...bora hata alivyowapata hao twins.
Watoto anao wa kike na wakiume, sio rizki ndio nini? Na ni yupi sio rizki, hao matwins ndio rizki? How?
 
Maskini utawaweza kwa Kua yeye alifukuzwa nyumbani mapema kupunguza mzigo akaenda kuoa anataka na wenzie wawe hivyo

Wenzie wanaoa kwa hesabu zao na wanaoa wawapendao kutoka kumoyo sio wao wanaoa / kuolewa kwa ugumu maisha
Hahaha wengine wanaoa kwasababu eti umri umesogea. Aisee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sheria waijua vyema?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hana hizo hela za kumpa huyo mzungu Mpya kaajiliwa sio mfanyabiashara,Dubai wanaishi kwenye 2 bedroom apartment
Matajiri kama Dr.Mengi wanakaa kwenye big mansion with an ocean view
Nimekuja gundua Kuna uwezekano hata wale marafiki zake jack wakina nansi, faraja nao pia ni chenga
 
Hao watoto wapimwe DNA huenda yule baba alibambikiwa
INAWEZEKANA WATOTO WA KAWA WA MZEE MENGI, NA WALITUMIA TEKNOLOJIA YA KUPANDIKIZA MAPACHA ITS POSSIBLE NOW DAYS UNACHAGUA MAPACHA GANI UNATAKA, WANAKUNYONYA SPERMS WANAZI PANGILIA UNAVYO TAKA WANAMTUPIA MWANAMKE KITUU NA BOXXXX
 
Kiyasakà.... Uko Kimanjaro yani wanatupwa nje...
Wachagga wana dharau za chini chini. Wana yale mambo ya kumsema mtu pindi akiwa kageuka na kuondoka.

Ntuyabaliwe anateseka kisaikolojia kuwa karibu nao na wanaoumizwa ni watoto wawili wasio na kosa lolote.
 
Mengi alikuwa na stroke muda mfupi kabla hajafa.

Hata utembeaji wake unaonyesha. Hizo conspiracy theories kwa maisha ya kiafrika zimezoeleka.
 
Una uhakika kuwa mwanamke alimfukuzia mwanaume?.
 
Ni mfumo dume na kibaya zaidi ni kabila la marehemu Mumewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…