Wasio na ajira ndio wapewe kazi kwenye zoezi la Anwani za Makazi na Sensa kuwawezesha kiuchumi

Wasio na ajira ndio wapewe kazi kwenye zoezi la Anwani za Makazi na Sensa kuwawezesha kiuchumi

Jicho la Tai

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
1,450
Reaction score
600
Katika zoezi ambalo linaendelea la Anwani za makazi, hata linalokuja la sensa, tunaiomba Serikali itumie watu wasio na ajira badala ya kuwatumia watumishi ambao tayari wana kipato.

Serikali inapaswa itumie watu wasio na ajira katika zoezi la anwani za makazi pia sensa ili kusaidia vijana wasio na ajira waweze kupata ajira za muda lakini pia itawawezesha kupata hata mitaji midogo kwa ajili ya kuanza biashara ndogondogo ama shughuli za kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.

Kuwapa ajira hizi watumishi kwa kigezo chochote kile itasababisha watu wa chini wasio na ajira wasiinuke lakini pia watumishi hawa wa umma wakienda kufanya hizi kazi utendaji wa serikali utapungua.

1. Kigezo cha Uzoefu: Watumishi hawana uzoefu na Anwani za makazi. Ndio maana kuna mafunzo yanatolewa kabla ya kazi, lakini pia wataalamu wa mambo wengi kwa sasa wako nje ya mfumo wa ajira (As we know mazoezi yote haya yanahitaji uelewa zaidi wa Technolojia)
 
Katika zoezi ambalo linaendelea la Anwani za makazi, hata linalokuja la sensa, tunaiomba Serikali itumie watu wasio na ajira badala ya kuwatumia watumishi ambao tayari wana kipato.

Serikali inapaswa itumie watu wasio na ajira katika zoezi la anwani za makazi pia sensa ili kusaidia vijana wasio na ajira waweze kupata ajira za muda lakini pia itawawezesha kupata hata mitaji midogo kwa ajili ya kuanza biashara ndogondogo ama shughuli za kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.

Kuwapa ajira hizi watumishi kwa kigezo chochote kile itasababisha watu wa chini wasio na ajira wasiinuke lakini pia watumishi hawa wa umma wakienda kufanya hizi kazi utendaji wa serikali utapungua.

1. Kigezo cha Uzoefu: Watumishi hawana uzoefu na Anwani za makazi. Ndio maana kuna mafunzo yanatolewa kabla ya kazi, lakini pia wataalamu wa mambo wengi kwa sasa wako nje ya mfumo wa ajira (As we know mazoezi yote haya yanahitaji uelewa zaidi wa Technolojia)
Right, Hilo lazima liangaliwe vizur maana ndo fursa pekee ambayo ipo kwa walio nje ya mfumo na wao kupata ata kujikimu na kujiongezea uzoefu
 
Acheni undezi, wamesema posho per day ni 30K kwa wale watakaofanya kazi siku 40 na wale siku zinazozidi posho itapanda.

Kwa 30K lazma watu wengi watagombania hizo nafasi usifanye masihara na hio 1M+ kwa siku zote za kazi😅 kuna watu wako serikalini hawagusi 30K per day.

Ingekuwa posho ya nyumba ni jiti amna mtu angehangaika nazo.
Nasikia posho ni shillingi mia moja yaan TSH 100 kwa kila nyumba unayoisajili aseeeeeeeee
 
Katika zoezi ambalo linaendelea la Anwani za makazi, hata linalokuja la sensa, tunaiomba Serikali itumie watu wasio na ajira badala ya kuwatumia watumishi ambao tayari wana kipato.

Serikali inapaswa itumie watu wasio na ajira katika zoezi la anwani za makazi pia sensa ili kusaidia vijana wasio na ajira waweze kupata ajira za muda lakini pia itawawezesha kupata hata mitaji midogo kwa ajili ya kuanza biashara ndogondogo ama shughuli za kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.

Kuwapa ajira hizi watumishi kwa kigezo chochote kile itasababisha watu wa chini wasio na ajira wasiinuke lakini pia watumishi hawa wa umma wakienda kufanya hizi kazi utendaji wa serikali utapungua.

1. Kigezo cha Uzoefu: Watumishi hawana uzoefu na Anwani za makazi. Ndio maana kuna mafunzo yanatolewa kabla ya kazi, lakini pia wataalamu wa mambo wengi kwa sasa wako nje ya mfumo wa ajira (As we know mazoezi yote haya yanahitaji uelewa zaidi wa Technolojia)
Nasikitika kwamba watoto wa watumishi ndio watakula mashavu zaidi
 
Watumishi wana uzoefu na kazi wanazozifanya lakini hawana uzoefu na Anwani za makazi. Ndio maana kuna mafunzo kabla ya kazi
uzoefu gani ambao hao ambao hawana kazi wanao zaidi ya watumishi?

Kila kitu unapewa mafunzo then unakwenda kufanya kazi.

Kwahyo ambao hawana ajira wao tayari wana uzoefu wa mambo ya anuani za makazi kuliko hao wenye ajira?

Ndugu umezunguka sana ila point yako "Angesema ambao hawana ajira wapewa hiyo kazi ili nao waweze pata fedha ya kujikimu kuliko kuwapa wenye ajira.
 
Katika zoezi ambalo linaendelea la Anwani za makazi, hata linalokuja la sensa, tunaiomba Serikali itumie watu wasio na ajira badala ya kuwatumia watumishi ambao tayari wana kipato.

Serikali inapaswa itumie watu wasio na ajira katika zoezi la anwani za makazi pia sensa ili kusaidia vijana wasio na ajira waweze kupata ajira za muda lakini pia itawawezesha kupata hata mitaji midogo kwa ajili ya kuanza biashara ndogondogo ama shughuli za kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.

Kuwapa ajira hizi watumishi kwa kigezo chochote kile itasababisha watu wa chini wasio na ajira wasiinuke lakini pia watumishi hawa wa umma wakienda kufanya hizi kazi utendaji wa serikali utapungua.

1. Kigezo cha Uzoefu: Watumishi hawana uzoefu na Anwani za makazi. Ndio maana kuna mafunzo yanatolewa kabla ya kazi, lakini pia wataalamu wa mambo wengi kwa sasa wako nje ya mfumo wa ajira (As we know mazoezi yote haya yanahitaji uelewa zaidi wa Technolojia)
Hii gvt yetu kama wapo humu wafanyue kazi hii
 
Acheni undezi, wamesema posho per day ni 30K kwa wale watakaofanya kazi siku 40 na wale siku zinazozidi posho itapanda.

Kwa 30K lazma watu wengi watagombania hizo nafasi usifanye masihara na hio 1M+ kwa siku zote za kazi😅 kuna watu wako serikalini hawagusi 30K per day.

Ingekuwa posho ya nyumba ni jiti amna mtu angehangaika nazo.
Mkuu ulikimbilia wapi siku mbili tatu za nyuma au ngorongoro kusaidia jamaa zako wasiondolewe?.
.....
Although hii issue ya Anwani za makazi binafsi wakipewa watumishi nitaendelea kuamini serikali si kwa ajili ya wananchi wote.
 
Mpaka Sasa Hakuna Maelekezo Yoyote
Anwani Itakuwa Kama Ngorongoro
Mtu Mmoja Anatoa Kauli Mbili Tata, Wanaotaka Kuhama Usafiri Upo
Sehemu Nyingine Anasema Tulieni Hamtahamishwa
 
2012 Ilikuwa ni sensa hapa mwamba anazungumzia anuani za makazi ambako zoezi hili limeshaanza maeneo mbalimbali.

Huku kwetu lilianza tangu tareh 14/2
Mchakato wa kuwapata wafanya hyo kazi ulikuaje bada ya watu ku apply mana huku naona ubungo tyr washachuja majina sijui wamechuchaje just 2 days[emoji28]
 
uzoefu gani ambao hao ambao hawana kazi wanao zaidi ya watumishi?

Kila kitu unapewa mafunzo then unakwenda kufanya kazi.

Kwahyo ambao hawana ajira wao tayari wana uzoefu wa mambo ya anuani za makazi kuliko hao wenye ajira?

Ndugu umezunguka sana ila point yako "Angesema ambao hawana ajira wapewa hiyo kazi ili nao waweze pata fedha ya kujikimu kuliko kuwapa wenye ajira.
Tulia mtumishi, mbona maelezo yake yako wazi kabisa...amesema wapewe wasio na kazi ili wapate kahela ka kujikimu. Ameongelea watumishi kwa na uzoefu kama kigezo cha kupewa hizo kazi kuwa hakina mantiki maana yake wote wako sawa. Yeyote atakayeteuliwa awe mtumishi au jobless atahitaji mafunzo
 
Back
Top Bottom