Wasio na ajira ndio wapewe kazi kwenye zoezi la Anwani za Makazi na Sensa kuwawezesha kiuchumi

acha roh mbaya.tuma cv ukitimiza vigezo utapewa usikimnilie nyeee nyeeee ukafikr na wenzio hawana shida.kwamza ndio wanajua utekelezaj na wanazijua kata zao vizur

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Walimu na njaa zetu kmmmk mpaka tutalogana kupata kazi hiyo..

Matokeo yake hupigwa kishenzi..

Umasikini usng sana.
 
Umesema vizuri kwamba wasio na ajira wapewe hizo kazi iwe ajira ya muda pia wafanye sensa ili pesa watakayofanya wapate mtaji wa biashara lakini na navyojua vijana wa kitanzania iyo pesa watakayo ipata

~Wataenda kununua iphone ya macho matatu
~wanaume wataenda kuhonga wanawake ambao hawajawala mbususu bado
~Nguo na fashion mpya
~Kama ana chumba chake atanunua sabufa ili atambe mtaani.

Lakini ili kuepusha lawama serikali iwafikirie halafu hizo hela wakishapewa wakililia mitaji ndio wawabane kwa hapo sasa.

Mfano hai: Tuliwahi kwenda kurasimisha makazi holela tukalipwa almost Laki 9 kila mtu kwa mwezi wenzangu woteee walikuwa wanafikiria hayo mambo ya hapo juu bila kuangalia mbele ipoje lakini mimi najua nilichokifanya mwisho wa siku lawama zipo kwa serikali
 
Hapo kwny kula mbususu sasa....
Unajua ukiwa benchi bila mkwanja kula mbususu ishu yan unaona kabisa goli lipo wazi ila inahitajika kilainishi( pesa) kdg sa ukishalamba posho ya anwani utapiga nyeto tena kweli[emoji28][emoji28]
 
Hapo kwny kula mbususu sasa....
Unajua ukiwa benchi bila mkwanja kula mbususu ishu yan unaona kabisa goli lipo wazi ila inahitajika kilainishi( pesa) kdg sa ukishalamba posho ya anwani utapiga nyeto tena kweli[emoji28][emoji28]
Ukweli upo hivyo ni lazima usemwe tu japo ni mchungu
 
Wewe acha ujinga,wametoa tangazo la Kazi omba,hakuna sehemu wamesema uwe na uzoefu,hilo sio jambo la uzoefu.

Sasa Kaa usubirie serikali ikutafute utaishia kulalama.
 
Hii ni tetesi nimezipata toka halmashauri za ndani ndani huko. Si unajua hela za mama samia zinavyopigwa kizembe aseeee.
 
Hapo kwny kula mbususu sasa....
Unajua ukiwa benchi bila mkwanja kula mbususu ishu yan unaona kabisa goli lipo wazi ila inahitajika kilainishi( pesa) kdg sa ukishalamba posho ya anwani utapiga nyeto tena kweli[emoji28][emoji28]
Hahahahahhaahah we mtt ni msnge kwl kmmmk nimecheka sana yani!😂😂😂

Kwahio kilainishi cha Posho lazma ukitumie kumenya mbususu za kwenye timming!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…