π π π π Na ss tulimkosea nn mpk akatutupia shetan uku au aliona aje atupe kampanii πππKosa lake Mungu lipo hapa yeye alizinguana na shetani akaamua kututupia sisi huku duniani kwa nini asingemtupia hatu kwenye sayari ya JUPITER
Yuko wapi? Anajishughulisha na nini huko? Ulijuaje?Mungu yupo ila vitabu vya dini ndo uongo. Quran ndo upuuzi kabisa
Na siku ya mwisho umwambie Mungu hivyohivyo "wewe kuweza" sawa eeh!MUNGU akamshindwa shetani akaona atupe ss wanadamu tupambanee nayeeeπ€ͺπ€ͺπ€ͺπ€ͺ
Ww kuwezaaa...
Mapemaaa tu mkuuu...Na siku ya mwisho umwambie Mungu hivyohivyo "wewe kuweza" sawa eeh!
Si mpaka awepoNa siku ya mwisho umwambie Mungu hivyohivyo "wewe kuweza" sawa eeh!
Hakuna binadamu asiyeamini uwepo wa Mungu, wapo wahuni wachache huwa wanaongea vitu vya kujifurahisha tu ila deep down wanajua wameumbwa na Mungu.Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Hao wahuni,waliumbwa na Mungu. Wapi? Saa ngapi? Kwa hiyo,leo hii mama zao hao wahuni,ndo wanakashifiwa hivyo!! Walizaliwa hawakuumbwa.Hakuna binadamu asiyeamini uwepo wa Mungu, wapo wahuni wachache huwa wanaongea vitu vya kujifurahisha tu ila deep down wanajua wameumbwa na Mungu.
Wewe unayeamini sana katika made in wapi, Mungu wako naye made in wapi?Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Mimi nimezaliwa sijaumbwa.Hakuna binadamu asiyeamini uwepo wa Mungu, wapo wahuni wachache huwa wanaongea vitu vya kujifurahisha tu ila deep down wanajua wameumbwa na Mungu.
Mkuu kipi hicho made ina tanzania....?maana nimeshangaa hadi toothpick made ina china huku tunaletewa tu.Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Kosa lake ni kutokushughulika na shetani na badala yake anashughulika na binadamu.Mungu akivyomuumba binadamu alimuonya kuwa kuna shetani! Aliwapa uamuzi waamue kumfuata Mungu ili wasitawi, au shetani alafu wafe! Binadamu akaamua kumfuata shetani! Sasa kosa la Mungu liko wapi? Acha wadundwe mpaka akili ziwakae sawa!
Jibu lako lipo katika suala languJibu swali.
Iyo ni hoja sia sualaSijaona swali hapo, mada iko huru mtu kucomment chochote.
Kubwa kejeli ila uhalisia upo wazi hata ktk familia yako tu lazima kuwepo na kiongozi ila ktk ulimwengu hukubali kuwepo mwenye kuendesha ulimwenguHamnaa jipyaa ndio Yale yale
Mungu yupo ila vitabu vya dini ndo uongo. Quran ndo upuuzi kabisa
Haha ushawahi kujiuliza kama kazi kwako kungelikuwa hakuna boss ingelikuaje?, ushawahi kujiuliza Tanzania kungelikuwa hakuna kiongozi ingelikuaje?Mimi nimezaliwa sijaumbwa.
Kuwa makini usije ukawa admitted MirembeMimi nimezaliwa sijaumbwa.
Sasa unataka tujibu kitu gani?Iyo ni hoja sia suala