Sean Paul
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,330
- 3,289
Mungu huyo huyo muweza wa yote, ajuaye yote lakini alikuwa anamtafuta Adam na kuuliza uko wapi? Baada ya Adam kujificha?Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Au unazungumzia Mungu gani?