Mungu huyo huyo muweza wa yote, ajuaye yote lakini alikuwa anamtafuta Adam na kuuliza uko wapi? Baada ya Adam kujificha?Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Kwahyo vitabu vingine vipo sahihi?Kwa sababu ina stori za kufikirika na za kitoto sana
And for that logic, who created God?Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Thibitisha na wewe uwepo wa akili yako ije wenyeweMwambie aje athibitishe mwenyewe uwepo wake aache kujificha kama mwali
Kama hujui that why huna hata nikikwambia hutoweza kujua maana yakeSijui wewe unaijua? Umewai kuina
Nani alie umba akili yako?And for that logic, who created God?
Wewe unaongea huna evidence kama mungu hayupoAngekuwepo hata uzi huu usingekuwepo
Huwezi kumshawishi mtu asie amini uwepo wa MUNGU aamini , unajichosha Bure, watu wa Nazareth walipo mkataa YESU hakuwalazimisha aliwaacha, hoja zao zilikuwa za msingi kwamba huyu ni mtoto wa Yusuf, leo anadai ni MUNGU, waache hoja zao ni za msingi pia.....one thing I know is GOD exist.Nani alie umba akili yako?
Nimesha kwambia mimi sijui akili ni nini wewe uneijua elezea hapa akili ni niniThibitisha na wewe uwepo wa akili yako ije wenyewe
Nadharia ya Mungu ipo zaidi ya 1000 kwa tamaduni tofauti na kwa tabia tofauti labda wewe unaongelea Nadharia ipi ya Mungu?Wewe unaongea huna evidence kama mungu
Bado hujatoa evidence mkuu haya maneno umetoa wapiNadharia ya Mungu ipo zaidi ya 1000 kwa tamaduni tofauti na kwa tabia tofauti labda wewe unaongelea Nadharia ipi ya Mungu?
Mkuu nimekuuliza nani kaumba akili yako?Huwezi kumshawishi mtu asie amini uwepo wa MUNGU aamini , unajichosha Bure, watu wa Nazareth walipo mkataa YESU hakuwalazimisha aliwaacha, hoja zao zilikuwa za msingi kwamba huyu ni mtoto wa Yusuf, leo anadai ni MUNGU, waache hoja zao ni za msingi pia.....one thing I know is GOD exist.
Sasa wewe huna akili nitakuelezea vipi maana ya akili mkuuNimesha kwambia mimi sijui akili ni nini wewe uneijua elezea hapa akili ni nini
Nataka kivipi mkuu? Alie fungua uzi wa uwepo wa Mungu ni nan kati ya mimi nawewe? Hayupo ndio , kwani yupo wapi?Bado hujatoa evidence mkuu haya maneno umetoa wapi
Wewe kama unakata hakuna mungu lete evidence
Mimi nimetoa evidence kama yupo wewe unaesema hayupo evidence yako ipo wapiNataka kivipi mkuu? Alie fungua uzi wa uwepo wa Mungu ni nan kati ya mimi nawewe? Hayupo ndio , kwani yupo wapi?
Evidence yako ni ipi?Mimi nimetoa evidence kama yupo wewe unaesema hayupo evidence yako ipo wapi
Kwaiyo wewe ili uamini umuone au?Sio lazima kuamini Mungu yupo, kwa nini asiwe anafanya kikao na sisi kila baada ya miaka hata 10