Wasioamini Mungu inawahusu

Wasioamini Mungu inawahusu

Hakuna kitu kiliweza kuwepo bila kuumbwa.
Huyo Mungu unayedai yupo, Yeye aliwezaje kuwepo bila kuumbwa?
Neno la uchambuzi juu ya kuumbwa na maisha ndilo linalotutambulisha kwamba kweli tuliumbwa.
Unathibitisha vipi kwamba tuliumbwa?

Huyo aliyetuumba, yeye aliumbwa na nani?

Huwezi ukafosi kwamba sisi tuliumbwa, Halafu umu exclude huyo muumbaji kwenye kuumbwa.

Kama ni hivyo hata sisi, Si lazima tuwe tumeumbwa.
Lkn kinachotutambulisha zaidi kwamba alietuumba yupo Ni lile neno kwamba anajidhihirisha baada yakumwamini.
Neno lipi?

Tutahakikisha vipi na kuthibitisha vipi hilo neno ni ukweli na si uongo?

Kuamini unaweza kuamini hata uongo.

Tuhakikisha vipi na unathibitishaje, Imani ya hilo neno ni ukweli na si uongo?
Sasa, hapa nitakueleza baadhi ya matukio ambayo kimsingi yametokea baada yakumwamini na uyatilie maanani; Kuna wakati nikiwa nimeokoka pia nimepanga na jirani yangu pia alikuwa kaokoka.
Unathibitisha vipi huyo uliyekuwa unamwamini ni Mungu kweli, Na si mauza uza au mawenge yako tu?
Lakini nilikuwa namuwazia vibaya sana ananikera kwa kuhisi ananisengenya na mambo mengine mengi sana kiasi Cha kufikia kunuia kumfanyia Jambo baya sana.

Mungu Ni wa ajabu sana! Kesho yake nilikuwa nimepanga ndo nifanye hilo tukio baya. Lkn asubuhi jirani alinigongea mlango kwa maongezi, akaniambia" uwe na amani, Leo nimeonyeshwa na Mungu kwamba unanifikiria haya" yule jirani alinieleza mambo yote ambayo Ni mawazo ya moyo wangu, Jambo ambalo nilibaki nimeduwaa.
Hizi ni hearsay unaongea hapa.

Wala hazina uthibitisho wowote wa uwepo wa huyo Mungu.
Kuna matukio mengi ambayo siwezi kueleza hapa na yote ya muhimu na ambayo naoneshwa na ninawaeleza watu kabla hayajatokea Kisha yanatokea Hadi watu wanadai Mimi Ni mchawi lkn wanashindwa kujua uwezo wa Mungu. Mfano meli ya mv spice ya Zanzibar, lile tukio mi nilioneshwa kabisa kabla halijatokea na likatokea.
Kwanza hapa huu ni Uongo.

Tutahakikisha vipi hichi ulicho andika hapa ni ukweli?

Kwa hiyo huyo Mungu badala ya kuokoa hiyo meli ya Mv Spice isizame, Yeye aka kuonyesha kabisa kwamba itazama?

Aloo! Wewe pamoja na huyo Mungu wako mnaonakena ni Wendawazimu kabisa.
Sasa wewe ambaye huamini katika Mungu unaweza kunieleza hayo yanatokea kwa namna gani?
Ujuaji unakuwa mwingi Hadi mnamkosea Muumba anawaacha hivyohivyo na mawazo yenu yaliyopotoka. Haikuwa rahisi kuwepo kwahiyo maisha haya yanagharama kubwa sana ndo sababu yasu aliumia msalabani kwaajili yenu lkn shingo bado ngumu. Mnatumia nguvu nyingi kumtafuta Mungu kwa njia ya ufinyu wa mawazo na hamtamwona kamwe. Lkn wanao mtii wanamwona kila iitwapo leo.
Unaandika ngonjera tu hapa na stori uchwara za vilabuni huko.

Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Huyo Mungu unayedai yupo, Yeye aliwezaje kuwepo bila kuumbwa?

Unathibitisha vipi kwamba tuliumbwa?

Huyo aliyetuumba, yeye aliumbwa na nani?

Huwezi ukafosi kwamba sisi tuliumbwa, Halafu umu exclude huyo muumbaji kwenye kuumbwa.

Kama ni hivyo hata sisi, Si lazima tuwe tumeumbwa.

Neno lipi?

Tutahakikisha vipi na kuthibitisha vipi hilo neno ni ukweli na si uongo?

Kuamini unaweza kuamini hata uongo.

Tuhakikisha vipi na unathibitishaje, Imani ya hilo neno ni ukweli na si uongo?

Unathibitisha vipi huyo uliyekuwa unamwamini ni Mungu kweli, Na si mauza uza au mawenge yako tu?

Hizi ni hearsay unaongea hapa.

Wala hazina uthibitisho wowote wa uwepo wa huyo Mungu.

Kwanza hapa huu ni Uongo.

Tutahakikisha vipi hichi ulicho andika hapa ni ukweli?

Kwa hiyo huyo Mungu badala ya kuokoa hiyo meli ya Mv Spice isizame, Yeye aka kuonyesha kabisa kwamba itazama?

Aloo! Wewe pamoja na huyo Mungu wako mnaonakena ni Wendawazimu kabisa.

Unaandika ngonjera tu hapa na stori uchwara za vilabuni huko.

Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Atheists wote huwa wanaanza na ucha Mungu kabla ya kukutana/kukengeuka na maneno ya wendawazimu wenzao, hapo ndipo wanakuwa wanyama. Maana huwezi mkufuru Mungu ubaki salama never! Unaitolea wapi huruma? Utautolea wapi ubinadamu bila Mungu? Kwa hiyo Ni wanyama.
Tunathibitisha neno Ni kweli kwasababu linaishi.
Huwezi kusema niliona mauzauza au mawenge Ni kitu halisi. Mfano siku moja nikiwa natafakari neno la Mungu; Wakaja malaika pamoja na Mungu mwenyewe, lakn sikuwaona Bali nilisikia wanaongea kwamba " Mungu alisema " huyu yupo Safi moyoni basi akawaamuru malaika wachukue dhabihu, kipindi hicho hata dhabihu sijui Ni Nini! Basi Mungu aliondoka akiacha ametamka neno Fulani. Kisha malaika walianza kutafakari neno lile. Mmoja akasema " hayo aliyosema Mungu Ni kweli? Mwenzie akasema" Ni kweli maana jicho la Mungu....! Wakiwa wanajadili hayo huku wanakata katikati ya kifua changu Kama operation flani na maumivu nayasikia wanakata wanasema wanachukua dhabihu. Walimaliza wakaondoka. Nilihofu nikakimbia kwa mchungaji kumweleza dhabihu Ni Nini? Akanieleza. Lkn hapa kifuani walipokata kulikuwa na maumivu makali yaliyoisha siku mbili Hadi nilipungua mwili. Hakuna tukio ambalo lilinipa imani kubwa kama lile. Alafu eti popo mmoja anakuja kusema hakuna Mungu nimwelewe kweli. Labda sio Mimi.
 
Atheists wote huwa wanaanza na ucha Mungu kabla ya kukutana/kukengeuka na maneno ya wendawazimu wenzao, hapo ndipo wanakuwa wanyama. Maana huwezi mkufuru Mungu ubaki salama never!
Nina mkufuru huyo Mungu wako na kama ana uwezo kweli aje hapa namsubiri.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe, Aache kujificha ficha kama mwali.
Unaitolea wapi huruma? Utautolea wapi ubinadamu bila Mungu? Kwa hiyo Ni wanyama.
Kabla hujaanza kuniletea habari uchwara za huruma kuhusu huyo Mungu,

Kamwambie huyo Mungu wako aanze kwanza kuwahurumia na kuwasaidia maelfu ya wanawake na watoto wanaokufa na kuteseka kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili maeneo mbalimbali duniani.
FB_IMG_1710533066467.jpg

Akishaweza kufanya hivyo. Ndipo uanze kuleta hizo habari za Mungu mwenye huruma kwa watu wake.

Vinginevyo, Huyo Mungu wako unayedai yupo ni Mungu Muovu, Mbaya, Katili na Bandidu.

Huyo Mungu Hafai kabisa na anapaswa kufurushwa.
Tunathibitisha neno Ni kweli kwasababu linaishi.
Huwezi kusema niliona mauzauza au mawenge Ni kitu halisi. Mfano siku moja nikiwa natafakari neno la Mungu; Wakaja malaika pamoja na Mungu mwenyewe, lakn sikuwaona Bali nilisikia wanaongea kwamba " Mungu alisema " huyu yupo Safi moyoni basi akawaamuru malaika wachukue dhabihu, kipindi hicho hata dhabihu sijui Ni Nini! Basi Mungu aliondoka akiacha ametamka neno Fulani. Kisha malaika walianza kutafakari neno lile. Mmoja akasema " hayo aliyosema Mungu Ni kweli? Mwenzie akasema" Ni kweli maana jicho la Mungu....! Wakiwa wanajadili hayo huku wanakata katikati ya kifua changu Kama operation flani na maumivu nayasikia wanakata wanasema wanachukua dhabihu. Walimaliza wakaondoka. Nilihofu nikakimbia kwa mchungaji kumweleza dhabihu Ni Nini? Akanieleza. Lkn hapa kifuani walipokata kulikuwa na maumivu makali yaliyoisha siku mbili Hadi nilipungua mwili. Hakuna tukio ambalo lilinipa imani kubwa kama lile. Alafu eti popo mmoja anakuja kusema hakuna Mungu nimwelewe kweli. Labda sio Mimi.
Ulicho andika hapa, Ni mawazo yako ya kufikirika tu

Imaginations just an illusion.
 
Nina mkufuru huyo Mungu wako na kama ana uwezo kweli aje hapa namsubiri.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe, Aache kujificha ficha kama mwali.

Kabla hujaanza kuniletea habari uchwara za huruma kuhusu huyo Mungu,

Kamwambie huyo Mungu wako aanze kwanza kuwahurumia na kuwasaidia maelfu ya wanawake na watoto wanaokufa na kuteseka kwa njaa, vita, magonjwa na majanga mbalimbali ya asili maeneo mbalimbali duniani.View attachment 3092579
Akishaweza kufanya hivyo. Ndipo uanze kuleta hizo habari za Mungu mwenye huruma kwa watu wake.

Vinginevyo, Huyo Mungu wako unayedai yupo ni Mungu Muovu, Mbaya, Katili na Bandidu.

Huyo Mungu Hafai kabisa na anapaswa kufurushwa.

Ulicho andika hapa, Ni mawazo yako ya kufikirika tu

Imaginations just an illusion.
Kumbe wewe unaumia watu wanavyoteseka na shida mbalimbali. Alafu unaona Kama Mungu hawaoni. Hahaha soma biblia vizuri utaelewa wewee!

Mungu hashughuliki na mtu mwenye dhambi sababu ukiteseka anafurahi coz unakuwa unatimiza adhabu yake. Ili umrudie akusaidie.

Ukiwa upande wake kuteseka labda iwe jaribu lkn utapata na mlango wakutokea.

Warumi7:8... Lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri, ikafanya ndani yangu kila namna yakutamani,. Nami nalikuwa hai hapo kwanza bila sheria ; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa. Nikaona ile amri iletayo uzima yakuwa kwangu mimi ilileta mauti. Dhambi kwakupata nafasi kwaile amri ilinidanganya na kwahiyo ikaniua.
Tafakari maneno matakatifu haya ujue kwanini watu wanateseka na shida duniani.

Wewe umedai imagination muujiza wangu lkn niambie imagination gani yakupata matokeo ya maumivu mwilini mwangu?

Tena wewe sijui watoto wako utawapa malezi gani. Nafikiri ndo Yale matoto yanayosumbua mitaani. Hata malezi yako pia yalikuwa hayo toka utoto umekaririshwa kuwa hakuna Mungu. Lazima utakuwa wa ajabu tu. Hahahaha.
 
Kumbe wewe unaumia watu wanavyoteseka na shida mbalimbali. Alafu unaona Kama Mungu hawaoni. Hahaha soma biblia vizuri utaelewa wewee!

Mungu hashughuliki na mtu mwenye dhambi sababu ukiteseka anafurahi coz unakuwa unatimiza adhabu yake. Ili umrudie akusaidie.
Kama Huyu Mungu wako ndio yupo namna hii, Basi hajielewi na hajitambui kabisa.
Ukiwa upande wake kuteseka labda iwe jaribu lkn utapata na mlango wakutokea.
Mungu huyo anakujaribu ili nini?

Asicho kijua ni kipi hadi akujaribu?

Hivi huyo Mungu wako ana jielewa kweli?
Warumi7:8... Lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri, ikafanya ndani yangu kila namna yakutamani,. Nami nalikuwa hai hapo kwanza bila sheria ; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa. Nikaona ile amri iletayo uzima yakuwa kwangu mimi ilileta mauti. Dhambi kwakupata nafasi kwaile amri ilinidanganya na kwahiyo ikaniua.
Tafakari maneno matakatifu haya ujue kwanini watu wanateseka na shida duniani.

Wewe umedai imagination muujiza wangu lkn niambie imagination gani yakupata matokeo ya maumivu mwilini mwangu?

Tena wewe sijui watoto wako utawapa malezi gani. Nafikiri ndo Yale matoto yanayosumbua mitaani. Hata malezi yako pia yalikuwa hayo toka utoto umekaririshwa kuwa hakuna Mungu. Lazima utakuwa wa ajabu tu. Hahahaha.
Unahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye.

You are just trying to defend a fictional character.
 
Kama Huyu Mungu wako ndio yupo namna hii, Basi hajielewi na hajitambui kabisa.

Mungu huyo anakujaribu ili nini?

Asicho kijua ni kipi hadi akujaribu?

Hivi huyo Mungu wako ana jielewa kweli?

Unahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye.

You are just trying to defend a fictional character.
We unaamini Nini Mr.
 
Mimi siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Mimi sihitaji kuamini nataka kujua kwa uhakika na uthibitisho pasipo shaka.
Haiwezekani kwa binadamu kuishi bila imani
Mimi siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Mimi sihitaji kuamini nataka kujua kwa uhakika na uthibitisho pasipo shaka.
Lazima utakuwa na imani tueleze imani yako
 
Kama umesha hitimisha kwamba haiwezekani kwa binadamu kuishi bila imani, Unataka mimi nikueleze nini zaidi?

Nimesha kwambia sina imani ya aina yeyote ile.

Siamini kwenye kuamini.

Nahitaji kujua kitu kwa uhakika na uthibitisho.
Huna lolote, nenda soma vizuri biblia ndipo uje ukiwa na nidhamu
 
Huna lolote, nenda soma vizuri biblia ndipo uje ukiwa na nidhamu
Find someone of your league to parallel your mediocrity.

You are not mentally enough to argue with me.

Hizo pumba zako za Biblia ulizopumbazwa huko kichwani usizi ongelee bila uthibitisho.

Otherwise, Biblia yenu hiyo haina tofauti na hekaya za Abunuwasi au hadithi za kutungwa za Alfu Lela ulela.

Kutwa kucha kukaririshana ujinga.
 
Kosa lake Mungu lipo hapa yeye alizinguana na shetani akaamua kututupia sisi huku duniani kwa nini asingemtupia hata huko kwenye sayari ya JUPITER
Aliyetangulia kuishi hapa duniani ni nani kati ya shetani na binadamu? Tulivyoumbwa tulimkuta! Billie
 
Back
Top Bottom