Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimeumbwa, Hata huyo muumbaji wa kila kitu lazima awe ameumbwa.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimetoka sehemu fulani, Hata hiyo sehemu fulani lazima iwe imetokea sehemu nyingine fulani.
Hivyo hivyo to infinity...
Yani kutakuwa na waumbaji endless.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza tu chenyewe pasipo kuumbwa, Maana kitazua maswali ya kiliwezaje kuwepo pasipo kuumbwa.
Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kina muumbaji, Hata Ulimwengu Hauna na Hauhitaji Muumbaji.