Wasioishiwa pumzi ya kuupinga ufisadi tunakutana hapa!

Wasioishiwa pumzi ya kuupinga ufisadi tunakutana hapa!

Mkuu tupo wengi tu wapinga rushwa na ufisadi, tusioendeshwa na mihemko, sema hatuongei ongei kama wao. Mi nasubiri tu kuwapepea siku hiyo!!

cc mkuu Eli79 hivi ulishamuuliza sista atoto yuko group gani? usikute naye ni mihemko group, hahaaaa nitampepea siku hiyo mpaka azinduke!!!

Mimi huyo huyo mwizi ananifaa
 
Last edited by a moderator:
wanasiasa ni washenz. sana, kutufanya watu wazima kama watoto wadogo ndo tabia gani! leo unaambiwa flan fisad kesho wanakuambia yule aliyekuwa fisad amefanya makubwa sana! na huyu aliyemtaja mwenzake fisadi na ushahidi akasema anao leo hii anaonekana wa ajabu na njaa ndo inmsumbua! hlafu jitu na akili zake linaendelea kufuata tu maneno badala ya kuangalia hoja na kuzifanyia kazi
 
Kusema ukweli, Lowassa SIMPENDI awe Rais wa Tanzania. Ila kwa hali ilivyo sasa hivi kama wewe ni Binadamu na una akili zako sawasawa, ni lazima ujifunze kujibadilisha ukiwa huko huko angani.

Ntakuwa tayari kuwaunga mkono watu watakaoanzisha chama chochote kuipinga CCM kama itashinda tena au kuipinga Chadema kama itashinda na Lowassa akiwa kama Rais.

Imebidi kuwa na Lowassa kwa sababu moja kubwa kwamba, mgombea wetu Dr Slaa alikuwa hatakiwi na CUF kwa sababu ya historia yake ya u-Padri na kilichompa sifa na umaarufu yaani Ufisadi, hakuna anayeongelea tena hadi Lowassa alipohamia Chadema ndipo CCM imembebesha Ufisadi wote wa nchi hii hadi Escrow, barabara mbovu, mabehewa mapya ila ya zamani, kivuko kibovu, hela kupotea wizara ya Magufuli, Epa, Meremeta, Deep Green etc.

Mbowe kama Mwana Siasa, kacheza KAMALI yake na lazima ajuwe kuwa kuna gharama zake. Akishinda na Chadema/Ukawa wakawa wengi bungeni basi atakumbukwa milele kwa alichokifanya ila kama Wakishindwa, basi inabidi walau kwa miaka 5 apumzike hiyo kazi ya Mwenyekiti na ampishe mwingine.

Kuikataa sasa hivi Chadema kwangu mie ni Upuuzi. Kila mtu anatakiwa apewe nafasi ATHUBUTU. Tumekuwa tukililia kuwa Rais lazima athubutu basi ndiyo huku. Kama kaharibu, basi mwezi ujao tumuweke Mbowe katikati na tumsulubu kwa alichokifanya ingawa kwangu mie bado naamini aliyeanzisha hili sakata alikuwa Samson wetu ila Delila aliposikia, akaja juu na kukinukisha nyumbani.

Kwa hali ilivyo sasa, kama humtaki Lowassa, unamtaka nani? Ukimuacha Magufuli, hao wengine ni JINA tu na wasindikizaji. Ndiyo maana hata Dr Slaa anasema Magufuli ana nafuu ingawa anasahau kuwa yule Mama wa ACT ndiyo labda msafi kuliko wote ila nani hata anamfahamu? Mwana SIASA ni Mwanasiasa na wala siyo Papa Johana Paulo II.

Mie wala usinijali kabisa Mkuu kwani hata KADI yenyewe ninayo ya CCM na uchaguzi huu bahati mbaya nitakuwa safarini nje ya Tanzania kwenda kwa Kabila na ni muhimu sana niende hivyo SINTASHIRIKI kuchagua mtu yeyote. Ila bado nashabikia CCM ipumzishwe kwa miaka walau 5 ila ISIFE maana Chadema itakuwa kama CCM baada ya muda fulani. Natamani sana kuwa na vyama viwili vyenye nguvu sana hapa Tanzania ili wawe wanaSUTANA vizuri bungeni.

Kuwa na vyama viwili vyenye nguvu nchini inawezekana bila kumuweka mtuhumiwa wa ufisadi ikulu...hii ndio hoja ya wengi.

Refer case ya zanzibar ambapo kuna vyama viwili vyenye ushindani wa karibu lakini hawajawahi kuresort kwenye kuchagua au hata kufikiria kuchagua fisadi.

CHADEMA chini ya ukatibu wa Slaa ilikuwa kwenye right track ya kujijenga kama chama kikuu cha upinzani na chenye mfumo unaolingana na ccm yaani toka ngazi za chini.Kilichowakumba Mungu ndio anajua yaani sheitwani kawaingia na sasa hiyo kamari waliocheza inawatokea puani.

Ni upuuzi wa kitanzania kila mara kudhani mafanikio yana shortcut badala ya ukweli kuwa mafanikio huundwa.
 
wanasiasa ni washenz. sana, kutufanya watu wazima kama watoto wadogo ndo tabia gani! leo unaambiwa flan fisad kesho wanakuambia yule aliyekuwa fisad amefanya makubwa sana! na huyu aliyemtaja mwenzake fisadi na ushahidi akasema anao leo hii anaonekana wa ajabu na njaa ndo inmsumbua! hlafu jitu na akili zake linaendelea kufuata tu maneno badala ya kuangalia hoja na kuzifanyia kazi

Siioni LIKE. Ningekupa. Heshima kwako
 
Hasahsa kipindi hiki watu wataongozwa na maslahi ya vyama vyao. Viongozi wa Vyama vyao wakiteua wezi wagombee urais kupitia hvyo vyama watajazana kumtetea.

Hoja za ovyo zitatolewa eti "hata mwizi husamehewa". Eti "ni mpango wa Mungu". Mpaka aibu.

Lini aliomba samahan na kurudisha alichoiba? Mungu yupi anataka mwizi awe kiongozi?

Tujitambue
 
Kuwa na vyama viwili vyenye nguvu nchini inawezekana bila kumuweka mtuhumiwa wa ufisadi ikulu...hii ndio hoja ya wengi.

Refer case ya zanzibar ambapo kuna vyama viwili vyenye ushindani wa karibu lakini hawajawahi kuresort kwenye kuchagua au hata kufikiria kuchagua fisadi.

CHADEMA chini ya ukatibu wa Slaa ilikuwa kwenye right track ya kujijenga kama chama kikuu cha upinzani na chenye mfumo unaolingana na ccm yaani toka ngazi za chini.Kilichowakumba Mungu ndio anajua yaani sheitwani kawaingia na sasa hiyo kamari waliocheza inawatokea puani.

Ni upuuzi wa kitanzania kila mara kudhani mafanikio yana shortcut badala ya ukweli kuwa mafanikio huundwa.

Mkuu umeongea point kubwa. Hivi excuse ya kumweka Lowassa ni nini? Kuimarisha chama?
How wakati sasa hivi Chadema kama institution imekufa hata nyimbo za kampeni ni kuhusu mahaba ya Lowassa?
Pili wana promote hii kitu kinaitwa Ukawa. Haipo na haijasajiliwa.
Leo Mbatia anampigia debe mgombea wa Chadema na hata katika matangazo yao ni dhahiri lazima wapigie kura Chadema. Yaani vyama vya CUF na NCCR mwaka huu hawapo ktk urais lakini hata majimboni. Wasichotambua Chadema ni kuwa hii inawapa tu life line ya muda lakini ni guaranteed death. CUF bara imeshakufa. Lowassa ni mharibifu, kila anakoenda anaharibu vitu na watu.
Agenda ya kupiga vita ufisadi na uadilifu ndiyo ilikuwa njia pekee ya kujihakikishia uendelevu kama chama!
 
Wapiga dili na mafisadi wanataka kutuzungusha kama kombeo, tutazidi kusimama imara kupinga ufisadi kwa nguvu zote, nchi haiwezi kuongozwa na majizi tuendelee kubaki sala, hapana.
 
Nashauri Mh Freeman Mbowe achukue fursa hii kukanusha tuhuma zilizozagaa kila kona ya nchi kuwa alipokea tsh 12 billioni kama gharama ya "kiingilio/registration fee" ya Lowassa chadema. Akishindwa kukanusha tuhuma hizo mbele ya jamii hii, nadhani tutakuwa tumetenda haki kama tukiifanyia amendment list of shame na kumuongeza Mh Freeman Mbowe
Mkuu nimependa hiyo uliyooiita amendment ya list of shame.

Matamanio yangu ni kuona kunaanzishwa jarida mithili ya forbes litakalokuwa linawaingiza mafisadi tu na hukumu zao.
 
Niliandika kuwa Slaa alikuwa hatakiwi Na CUF. Lipumba mwenyewe alikiri kumsaidia Muislaam mwenzie.

Slaa mngelimgargaraza vibaya Sana ila Lowassa kawashiika bapaya ndiyo maana mnalialia ovyo.

Cry baby cry....... Anyway, msihangaike Na Mimi Kwani mie ni CCM Na uchaguzi sishiriki maana nasafiri.

CCM must take a rest then they will come clean and ready to rule again in new formation.

Kuwa na vyama viwili vyenye nguvu nchini inawezekana bila kumuweka mtuhumiwa wa ufisadi ikulu...hii ndio hoja ya wengi.

Refer case ya zanzibar ambapo kuna vyama viwili vyenye ushindani wa karibu lakini hawajawahi kuresort kwenye kuchagua au hata kufikiria kuchagua fisadi.

CHADEMA chini ya ukatibu wa Slaa ilikuwa kwenye right track ya kujijenga kama chama kikuu cha upinzani na chenye mfumo unaolingana na ccm yaani toka ngazi za chini.Kilichowakumba Mungu ndio anajua yaani sheitwani kawaingia na sasa hiyo kamari waliocheza inawatokea puani.

Ni upuuzi wa kitanzania kila mara kudhani mafanikio yana shortcut badala ya ukweli kuwa mafanikio huundwa.
 
Yaani una shangaa kabisa kwamba mtu anasema kwamba hata kama ni mwizi tuna mtaka huyohuyo!! Yaani unajua kabisa ni fisi ila unataka umpe banda la nyama kweli!

ACT pekee ndio ina hoja muimu wengine wote wana tukanana tu
 
Niliandika kuwa Slaa alikuwa hatakiwi Na CUF. Lipumba mwenyewe alikiri kumsaidia Muislaam mwenzie.

Slaa mngelimgargaraza vibaya Sana ila Lowassa kawashiika bapaya ndiyo maana mnalialia ovyo.

Cry baby cry....... Anyway, msihangaike Na Mimi Kwani mie ni CCM Na uchaguzi sishiriki maana nasafiri.

CCM must take a rest then they will come clean and ready to rule again in new formation.

Mkuu sina tatizo na hoja kuwa CCM needs a rest but not with Lowassa at the helm of Chadema ambaye ni mchovu kuliko wote na pillar of ufisadi wa CCM.
Nasema acha upinzani wajipange tutaipumzisha CCM in 5 years time.
Hii ni sentiment ya wengi hata mtaani.
Sasa tujikite kuongeza wabunge wa upinzani tuachane na hii failed project ya 2015! Naamini tupo pamoja katika malengo ila approach ndo tumetofautiana!
 
Kuwa na vyama viwili vyenye nguvu nchini inawezekana bila kumuweka mtuhumiwa wa ufisadi ikulu...hii ndio hoja ya wengi.

Refer case ya zanzibar ambapo kuna vyama viwili vyenye ushindani wa karibu lakini hawajawahi kuresort kwenye kuchagua au hata kufikiria kuchagua fisadi.

CHADEMA chini ya ukatibu wa Slaa ilikuwa kwenye right track ya kujijenga kama chama kikuu cha upinzani na chenye mfumo unaolingana na ccm yaani toka ngazi za chini.Kilichowakumba Mungu ndio anajua yaani sheitwani kawaingia na sasa hiyo kamari waliocheza inawatokea puani.

Ni upuuzi wa kitanzania kila mara kudhani mafanikio yana shortcut badala ya ukweli kuwa mafanikio huundwa.

sisi ni lowassa tushaamua
 
kampeni yako nzuri ila umeianzisha kwenye kipindi kibaya sana.

Hizi kampeni za ufisadi zilishakufa hadi lowassa alipohama kwenda ukawa ndiyo zikaibuka na yeye kubebeshwa mzigo wote wa ufisadi kuanzia escrow hadi ufisadi wa bokhe munanka (rip) ambao ulijadiliwa sana hapa jf.

Wewe na mzee mwanakijiji ilitakiwa tuungane na lowassa kwa sasa tuwaondoe ccm na baadaye ndiyo tuanza kusafisha zaidi ufisadi hata ule mdogo ingawa hata hivyo hatutaumaliza. Kumbuka the great helmut kohl wa german na sifa zote alizojipatia, bado aliondolewa kwa ufisadi.

Sasa hivi kampeni zozote za kumpinga lowassa maana yake unamtaka magufuli awe rais.

Kama upo kwa magufuli maana yake upo ccm na usituletee wimbo wa kupinga ufisadi wakati upo ccm.

attachment.php


itakuwa vema hizi kampeni zikianza mwezi wa kwanza mwakani. Mwaweza kuungana na zitto mkaleta azimio la tabora.

chukua
weka
lowasa
piiiipooooooooo
 
Mkuu ni kujifanya kipofu kujaribu kulinganisha uadilifu wa Magufuli na El ....wote ni wachafu na CDM tulipaswa kujitenga nao ...lakini dakika hii kwa wagombea hawa na yaliyofanywa na vyama vyao ....bora jicho liwe nani anafaa kuwa mkuu wa nchi maana kote kumeoza kama huna ushabiki ....

Lowasa sio fisadi
 
Tutachagua ccm ambayo imehamwa na mafisadi badala ya kuchagua chadema ambayo imebadilisha style ya kifisadi na kuja na new fashion
Hiyo ni sawa na kula kinyesi,mtanzania making no
Chukua
Weka
Lowasa
 
Niliandika kuwa Slaa alikuwa hatakiwi Na CUF. Lipumba mwenyewe alikiri kumsaidia Muislaam mwenzie.

Slaa mngelimgargaraza vibaya Sana ila Lowassa kawashiika bapaya ndiyo maana mnalialia ovyo.

Cry baby cry....... Anyway, msihangaike Na Mimi Kwani mie ni CCM Na uchaguzi sishiriki maana nasafiri.

CCM must take a rest then they will come clean and ready to rule again in new formation.

Ccm buriani
 
Back
Top Bottom