CCUkiliangalia kwa umakini utagundua kubwa simba ina timu isiyoweza kufurukuta kwenye mashindano makubwa ya kimataifa. Kikosi chake ni dhaifu sana hasa katikati na nyuma. Hawana mlinda mlango wa kutumainiwa. Mechi za ligi kuu wanashinda kwa mbeleko ya waamuzi. Leo huenda ikawa siku ya aibu kubwa kwa soka la tanzania
Najua Hata wewe unajua kolo anapigwa za kutoshaHivi nyie pimbi mnaoanzisha nyuzi dhidi ya Simba kila mara mtakuja na vibweka gani tena baada ya Simba kushinda?
Ujinga kipaji.Ukiliangalia kwa umakini utagundua kubwa simba ina timu isiyoweza kufurukuta kwenye mashindano makubwa ya kimataifa. Kikosi chake ni dhaifu sana hasa katikati na nyuma. Hawana mlinda mlango wa kutumainiwa. Mechi za ligi kuu wanashinda kwa mbeleko ya waamuzi. Leo huenda ikawa siku ya aibu kubwa kwa soka la tanzania
Ihefu ?Ukiliangalia kwa umakini utagundua kubwa simba ina timu isiyoweza kufurukuta kwenye mashindano makubwa ya kimataifa. Kikosi chake ni dhaifu sana hasa katikati na nyuma. Hawana mlinda mlango wa kutumainiwa. Mechi za ligi kuu wanashinda kwa mbeleko ya waamuzi. Leo huenda ikawa siku ya aibu kubwa kwa soka la tanzania
Hata chizi huwa hajijuiUjinga kipaji.
Na ww ndugu umebarikiwa iko kipaj
Tulizeni ngenga
Kwenye maji haudundiJamani mpira unadunda tuwekeni na akiba ya maneno, Man city mwenyewe pamoja na ubora alionao huwa anapigika na vitimu vidogo
AahaaaaKwenye maji haudundi