Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kishmundu una hasira!...lolDr cyril chami
umri bungeni one term
asirudi kabisa bungeni ni mkabila wa kutupa, anabagua wa uru dhidi ya wakibosho, ametibua vidonda vya kihistoria kati ya vita ya mangi sina dhidi ya uru na old moshi
hakuna la maana alilofanya zaidi ya kujikomba kwa mafisadi na kujisifia kuwa yeye ni msomi, kupitia kwa wasaidizi wake mafisadi kama cyril mushi na akina simba, kila kukicha kujisifia tu, aondoke haraka wala asichukue fomu
nasikia hata gari kuendesha hawezi maana tumbo linablock steering wheel isizunguke
Ndugu Wananchi,
Kwa vile huu ni mwaka wa uchaguzi si vibaya tukaelimishana au kutaarifiana wabunge wasiostahili kurudi bungeni.Tutende haki katika hili na kwa mtazamo wangu tueleze:
Jina la Mbunge:Jackson Makweta
Jimbo lake:Njombe Magharibi
Chama Chake:Chama Cha Mafisadi (CCM)
Muda aliokaa bungeni(ikiwezekana sio umri please) Kutokea siku ya kwanza namsikia alikuwa Mbung, sikumbuki vizuri lakini late 80's
Sababu za kukataa kurudi kwake: Amechoka kiumri na anatakiwa akapimwe akili Jamaica kama bosi wake.
subirini kurogwa tu sasa, wewe na mkuu safari kwa kijembe cha komba, kiuno 80 duh!
naunga mkono hoja.....kuna situation zingine huwezi kuzitenga
JIna:Wabunge wote wa viti maalum
Jimbo: halijulikani
Sababu ya Kukataa: hakuna watu maalum tanzania
tatizo ni wale wanaowachagua...............akina mama watapelekewa kanga na vitenge..........akina baba kofia kama kawa si mnajua yale mambo yetu ya uchaguzi?...............mwenyewe hawa watu siwapendi kabisa na naomba kuwepo maandamano ya kuwapinga wabunge watakaochaguliwa kwa bahati mbaya.............jamani ningÉfanya sherehe chumban kwangu nakuwaita marafiki kama hawa wabunge wangefutwa ktk historia ya ubunge. 1. Sofia simba, 2. Hawa ghasia, 3. Mwantumwa, 4.zakia meghji, 5. Yani wabunge wote wanawake ccm, niachien anna kilango, 2. Kombania na nkya kama cjakosea. Jaman hao wengine wakaudumie waume zao,watoto na mahawara kama hawana waume na kaz zamapish kama hawana fan nyingine. Wamekuwa kero ktk masikio maneno yao siwez yatofautisha na wanawake wa mitaani kama pale simba alipo sema "hakuna mwanaume kama lowasa" je alimanisha rais na wanaume wote ni watu gani? Kama kwel mnataka haki sawa tuweke wanawake wa ukwel wenye uchungu na taifa hili na sio vijembe, marekan inawapa wanawake fursa sawa na wanaume ila sio kwa stail hii yatanzania, tunataka wanawake wa ukwel na sio wamipasho tunamuitaji mtu kama kilango awe waziri, pia kombania na nkya prof wa un. Jaman naomba tusiwachaguwe hawawez wakija kwetu jibu ni no wakapike nakufurahisha family zao. Hawatufai has sophia na ghasia.