Pre GE2025 Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"

Pre GE2025 Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..ACT au chama kingine kwanini wasitengeneze hiyo coalition? Sio lazima kila kitu kimtegemee Lissu, au Chadema.
si ndio chama kikuu cha upinzani mkuu?

ACT yeye ana fight kila siku ampite CDM kwanza kabla ya hayo ya katiba sijui na maandamano and blah blah

Kuipita CDM ni pamoja na ACT kushirikiana na CCM,once CDM is out of the way,Zitto can take out ccm thereafter

Kama Lissu haoni this na ku counter he will be gone kama TLP ya Lyatonga!
 
si ndio chama kikuu cha upinzani mkuu?

ACT yeye ana fight kila siku ampite CDM kwanza kabla ya hayo ya katiba sijui na maandamano and blah blah

Kuipita CDM ni pamoja na ACT kushirikiana na CCM,once CDM is out of the way,Zitto can take out ccm thereafter

Kama Lissu haoni this na ku counter he will be gone kama TLP ya Lyatonga!

..jambo la msingi ni kuwepo kwa chama mbadala.

..na chama hicho sio lazima kiwe Chadema.

..hivi vyama vinawindwa na DOLA wakati wote hivyo Watanganyika tuwe tayari kubadilika jinsi vyama vinavyoshughulikiwa.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stevin Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.
View attachment 3213528
Akizungumza leo, Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira alieleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

"Kauli ya 'No Reform, No Election' haina nafasi kwa sasa. Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wameonyesha utayari wa mazungumzo, na bunge linakaribia kuvunjwa, hivyo hakuna muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria yanayohitaji muda mrefu," alisema Wasira.

Aliongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio.

Wasira aliwataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu. "Ni muhimu kushiriki uchaguzi na kuwa sehemu ya demokrasia badala ya kupoteza muda na kauli ambazo hazina tija kwa wananchi," alisisitiza.
Nawaona intelahomwe
 
Sasa ulitaka wakiuke Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa? We jamaa 🤣 🤣 🤣 Sheria ya Kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Sheria ya UChaguzi wa Serikali za mitaa ni Sheria mbili tofauti usichangaye.

..baada ya kuunda Tume huru tulipaswa kuandaa sheria inayowezesha tume hiyo kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

..Mama Abduli na wenzake hawakufanya hivyo ili kutoa upenyo kwa ofisi ya Raisi kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

..matokeo yake ni Ofisi ya Raisi kuhujumu na kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
si ndio chama kikuu cha upinzani mkuu?

ACT yeye ana fight kila siku ampite CDM kwanza kabla ya hayo ya katiba sijui na maandamano and blah blah

Kuipita CDM ni pamoja na ACT kushirikiana na CCM,once CDM is out of the way,Zitto can take out ccm thereafter

Kama Lissu haoni this na ku counter he will be gone kama TLP ya Lyatonga!
Hajui kuwa wanzilishi wa ACT ni akina Kakurwa na akina Mkumbo!!
 
..baada ya kuunda Tume huru tulipaswa kuandaa sheria inayowezesha tume hiyo kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

..Mama Abduli na wenzake hawakufanya hivyo ili kutoa upenyo kwa ofisi ya Raisi kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

..matokeo yake ni Ofisi ya Raisi kuhujumu na kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mlipaswa wewe na nani? Je, hii sheria iliyopo ya sasa ya uchaguzi wa serikali za mitaa mnaifanyaje? 🤣 🤣 🤣
 
Mlipaswa wewe na nani? Je, hii sheria iliyopo ya sasa ya uchaguzi wa serikali za mitaa mnaifanyaje? 🤣 🤣 🤣

..sheria iliyopo ilipaswa kuwa replaced na sheria mpya na kuwezesha Tume Huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa. Mama Abduli alifanya hujuma ili Ofisi yake isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
..sheria iliyopo ilipaswa kuwa replaced na sheria mpya na kuwezesha Tume Huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa. Mama Abduli alifanya hujuma ili Ofisi yake isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hueleweki mzee. Badala ya kuandika vitu professional unaanza kuandia maneno ya mipasho, Mara mama abduli mara wabunge mara oh!!

Hivi unajua process ya kuandika sheria? Naona huna hoja yoyote hapa zaidi ya kuandika maneno mengi tu.
🤣 🤣 🤣 🤣 Unataka Government ifanye kazi kwaajili ya CHADEMA, this is a childish idea.
 
sadly this will happen

lissu lied to these gullibles ili apate kura

nigga is talking too much

amegusia maandamano nikacheka sana

huyu kichaa anadhani kuna historia ya mtz yeyote kuandamana tangu kuumbwa kwa dunia sababu kiongozi wa upinzani kasema muandamane?

this nigga is full of lies

eti hatutaki maridhiano,he will personally beg to see Wasira hata sio rais maana hana muda mchafu!

this nigga is so out of reality thinking state machinery of oppression will let him roam freely?

he's so stupid to think there is any Tanzanian willing to take a bullet from state guns when start blazing?

get the fvck outta here!
Bangi mbaya sana nimekubali
 
..Sijui kwanini unapandwa hasira kuhusiano na mawazo na mapendekezo yenye faida kwa mustakabali wa amani, na umoja wa taifa letu.

..Tunapojadili hoja kama TUME HURU YA UCHAGUZI hatupaswi kuwa na hasira kwa jambo jema kama hilo kama unavyoonyesha.

..Mwenezi wa CCM aliyesema Tume Huru haitasimamia uchaguzi wa 2025, bali itasimamia uchaguzi wa 2030, anatokea Zanzibar, na alionekana ktk vyombo vya habari.

..Kuhusu uteuzi wa Makamishna wa Tume Huru labda ungetueleza kwanini Raisi hajawateua mpaka hivi sasa. Sheria imeishasainiwa, kwanini Makamishna wa Tume ya zamani bado wako ofisini?

..Sheria inasema Tume Huru itasimamia chaguzi zote. Na uchaguzi wa serikali za mitaa utasimamiwa na Tume Huru baada ya serikali kuandaa sheria yake.

..Kilichotokea ni serikali kuburuza miguu na kutokuandika sheria ya uchaguzi serikali za mitaa, ili kutoa upenyo kwa Ofisi ya Raisi ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM kusimamia uchaguzi huo.

Matokeo yake ofisi ya Raisi ikaharibu uchaguzi wa serikali na mitaa na kusababisha aibu, na malalamiko mengi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=30yx5KU2wWo

..Kwa hiyo mpaka hapo utaona kwamba hakuna nia njema, na uaminifu, kwa upande wa serikali ya CCM katika suala zima la Tume ya uchaguzi, na mifumo ya kidemokrasia, hapa nchini.


..Naomba tunapojadili suala hili tutangulize MASLAHI YA NCHI mbele, kabla ya maslahi ya vyama au kiongozi wa chama.

Huyu jamaa atakuwa na matatizo ya akili, anajitahidi kutaka kuintimidate yeyote mwenye mawazo tofauti na yeye. Kazi yake ni moja tu, kulinda watawala na CCM kwa gharama yeyote.

Umezungumza nae kwa lugha nzuri ya kiistaarabu kwa mustakabali wa taifa letu. Angalia kauli yake kama huna akili waache wenye akili wafikirie kwa ajili yako, dhamira ni kukufanya ujione huna uwezo wa kuzungumza nae.

CCM imetengeneza wajinga ambao tukiwaacha wataiangamiza Tanzania, anachotambua ni lugha ya kipumbavu kumzidi
 
Tuvute subira kidogo, tutaona mambo makubwa sana mwaka huu, na hayo majizi yatashugulikiwa na muumba hayataamini macho yao. Ubaya huwa na mwisho wa aibu kuu. Tuombe uzima kuyashuhudia hayo.
Umesema kweli, Muumba yuko juu ya nchi na yeye ni haki haya majizi na miuaji huu ni mwisho wao mark my word
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stevin Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.
View attachment 3213528
Akizungumza leo, Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira alieleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.

"Kauli ya 'No Reform, No Election' haina nafasi kwa sasa. Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wameonyesha utayari wa mazungumzo, na bunge linakaribia kuvunjwa, hivyo hakuna muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria yanayohitaji muda mrefu," alisema Wasira.

Aliongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio.

Wasira aliwataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu. "Ni muhimu kushiriki uchaguzi na kuwa sehemu ya demokrasia badala ya kupoteza muda na kauli ambazo hazina tija kwa wananchi," alisisitiza.


Unapata ela Kwa njia rahisi Sana

Yan kuandika kitu kama hiki Tu basi ccm wanaweka ela ya siku

Watu mnabahati sana
 
Takwa la kikatiba sio la chadema ni la dola iliyompa mama urais!!na aliambiwa atekeleze mchakato wake tangu 2022!!kwakua hajatekeleza ni too late kwake hata ule mtandao was Tanzania leaks una sapot hii kitu kwamba hatoboi oktoba!!

Sio takwa la Lisu na chadema!na mzee wasira katolewa kafara kupinga mchakato was katiba mpya na time huru!!Mzee kaingizwa mkenge na ameshindwa kuchagua maneno ya kusema!!

Namuonea huruma wasira!!

Tujifunze kufuata maelekezo ya dola !urais ni taaasisi sio mtu!
Wamemtafuta babu wa miaka 80 asiyejitambua wakamvalisha spika lao
 
Nauzika zaidi na muonevu government,Tena sana!

Nataka njia za kweli na practical kufanikisha hili si kutujaza upepo

Shida ni Lissu anapotudanganya as if sisi ni watoto wadogo

Ametuaminisha yeye ndio muarobaini wa huu uonevu tukampa status ya Mesiah,cha ajabu anakuja na hizi alinacha ambazo tushazisikia na kujaribu huko nyuma

Akae chini afikirie practical way to get around CCM and its machinery to promised land,na awe mkweli asife kitu

Aache kutudanganya na kutupotezea muda

Muongo tu,sana sana kutokana na ujanja finyu wake atapelekea hadi ACT ku-collude na CCM kutupita kua chama kikuu rasmi nchini maana anampa CCM option,hapo we will be officially burried!

Haoni hata hili kabisa!
Punguza bangi
 
Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuuekewa uzi huu, lazima awe mpuuzi kukuzidi kuuelewa
Dunia yote inajua ukweli. Na wewe ndani ya moyo wako unaujua ukweli, ila mahaba yamezidi intelligent yako.
 
Back
Top Bottom