Pre GE2025 Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila ya familia ya Lissu kuwa nnje ni national/public issue!!??
Hiyo ni public maana inahusu mambo ya uhamiaji. Kama upo na namba yake ya simu nipatie nimuulize sababu ya msingi.
 

..badala ya kufanya uchaguzi kwa kutumia sheria mbovu kwanini tusiuahirishe mpaka 2016 ili tufanye marekebisho ktk Tume ya Uchaguzi?

..hii nchi ni yetu sote. Raisi apewe ushauri mzuri kwa maslahi ya taifa letu.
 
..badala ya kufanya uchaguzi kwa kutumia sheria mbovu kwanini tusiuahirishe mpaka 2016 ili tufanye marekebisho ktk Tume ya Uchaguzi?

..hii nchi ni yetu sote. Raisi apewe ushauri mzuri kwa maslahi ya taifa letu.
Hao wanaokaribishwa kutoa ushauri akina LIssu. Mawazo yao yapo Ubeligiji
 
..sote tunajua Lissu anakwenda Ubelgiji kutibiwa.

..kwanini CCM mnachukia Lissu akipata matibabu?
CCM ndio imepewa dhamana ya Watanzania wote. Ndio maana Lissu anapewa misaada yote anayoihitaji na Serikali ya CCM. So hakuna anayemchukia LIsuu
 
..hoja iliyopo mezani ni marekebisho ya Katiba yatakayowezesha kuundwa kwa Tume Huru kabla ya uchaguzi mkuu.
Tayari Sheria ya uchaguzi imesharekebishwa. Unataka utengenezwe kwa manufaa ya Lissu pekee yake? 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hao wanaokaribishwa kutoa ushauri akina LIssu. Mawazo yao yapo Ubeligiji

..CCM mmeshauriwa kuhusu Tume Huru toka mwaka 1991 wakati Jaji Mkuu Francis Nyalali alipowasilisha taarifa ya Tume ya vyama vingi.

..Tangu Mama Samia aingie madarakani amekuwa akitahadharishwa, akishauriwa, akililiwa, akibembelezwa, ili arekebishe Tume ya Uchaguzi.

..Sasa leo hii Makamu wa Mwenyekiti wa CCM akijitokeza na kusema hakuna muda wa kurekebisha Tume hakuna anayeweza kumtilia maanani. Wenye akili timamu wataona kwamba Mzee Wassira analeta dharau, na kiburi.
 
Wapi amesema hivyo? Mzee au unajitungia taarifa wewe mwenyewe? 🤣 🤣 🤣 🤣
Marekebisho ya sheria za uchaguzi Mbowe na Lissu waliingia mitini. Sheria za uchaguzi zilishapitishwa na zinafanya kazi.

Sasa nakuuliza Unataka marekebisho ya Sheria hizo yawe kwaajili ya CHADEMA pekee na siyo Tanzania?
 
TAL njoo huku babu anakuita😂
 
NINA UMRI WA BABAAKO, HUENDA CLASSMATE
Tayari unaonekana hujapevuka kiakili. Nimekuuliza swali dogo tu umeanza kuhaha. 🤣 🤣 🤣 🤣
Narudia, Umri wako ni miaka Mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…