residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hiyo ni personal issues. Mambo ya kuzliwa na kutokuzaliwa yapo out of context.
Hiyo ni public maana inahusu mambo ya uhamiaji. Kama upo na namba yake ya simu nipatie nimuulize sababu ya msingi.Ila ya familia ya Lissu kuwa nnje ni national/public issue!!??
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stevin Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.
View attachment 3213528
Akizungumza leo, Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira alieleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.
"Kauli ya 'No Reform, No Election' haina nafasi kwa sasa. Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wameonyesha utayari wa mazungumzo, na bunge linakaribia kuvunjwa, hivyo hakuna muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria yanayohitaji muda mrefu," alisema Wasira.
Aliongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio.
Wasira aliwataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu. "Ni muhimu kushiriki uchaguzi na kuwa sehemu ya demokrasia badala ya kupoteza muda na kauli ambazo hazina tija kwa wananchi," alisisitiza.
HIVI WANARIDHIANA NINI?Maridhiano siyo na CHADEMA pekee. Kama CHADEMA hawataki Maridhiano, shauri yao
Lissu si muda mrefu ataenda Ubelgiji
Hao wanaokaribishwa kutoa ushauri akina LIssu. Mawazo yao yapo Ubeligiji..badala ya kufanya uchaguzi kwa kutumia sheria mbovu kwanini tusiuahirishe mpaka 2016 ili tufanye marekebisho ktk Tume ya Uchaguzi?
..hii nchi ni yetu sote. Raisi apewe ushauri mzuri kwa maslahi ya taifa letu.
CCM ndio imepewa dhamana ya Watanzania wote. Ndio maana Lissu anapewa misaada yote anayoihitaji na Serikali ya CCM. So hakuna anayemchukia LIsuu..sote tunajua Lissu anakwenda Ubelgiji kutibiwa.
..kwanini CCM mnachukia Lissu akipata matibabu?
CCM ndio imepewa dhamana ya Watanzania wote. Ndio maana Lissu anapewa misaada yote anayoihitaji na Serikali ya CCM. So hakuna anayemchukia LIsuu
Tayari Sheria ya uchaguzi imesharekebishwa. Unataka utengenezwe kwa manufaa ya Lissu pekee yake? 🤣 🤣 🤣 🤣..hoja iliyopo mezani ni marekebisho ya Katiba yatakayowezesha kuundwa kwa Tume Huru kabla ya uchaguzi mkuu.
Hao wanaokaribishwa kutoa ushauri akina LIssu. Mawazo yao yapo Ubeligiji
Wapi amesema hivyo? Mzee au unajitungia taarifa wewe mwenyewe? 🤣 🤣 🤣 🤣..CCM mmeshauriwa kuhusu Tume Huru toka mwaka 1991 wakati Jaji Mkuu Francis Nyalali alipowasilisha taarifa ya Tume ya vyama vingi.
..Tangu Mama Samia aingie madarakani amekuwa akitahadharishwa, akishauriwa, akililiwa, akibembelezwa, ili arekebishe Tume ya Uchaguzi.
..Sasa leo hii Makamu wa Mwenyekiti wa CCM akijitokeza na kusema hakuna muda wa kurekebisha Tume hakuna anayeweza kumtilia maanani. Wenye akili timamu wataona kwamba Mzee Wassira analeta dharau, na kiburi.
Wasira kafanya nini kwani? Zaidi ya kufungua domo tu?Lissu ameshawahi kulifanyia nini Taifa la Tanzania? 🤣 🤣 🤣 🤣 Taja jambo moja tu
Duh! wewe umezaliwa mwaka gani? Nataka kujua umri wako ili nikujibu kulingana na kiwango chako cha uelewa.Wasira kafanya nini kwani? Zaidi ya kufungua domo tu?
TAL njoo huku babu anakuita😂Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stevin Wasira, amesema kauli mbiu ya "No Reform, No Election" haina maana yoyote kwa sasa, akisisitiza kuwa muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria umekwisha kutokana na uchaguzi mkuu kukaribia.
View attachment 3213528
Akizungumza leo, Januari 23, 2025, jijini Dodoma, Wasira alieleza kuwa badala ya kushikilia kauli hiyo, CHADEMA wanapaswa kushiriki uchaguzi na kuhakikisha wanakubaliana na maridhiano yaliyopo.
"Kauli ya 'No Reform, No Election' haina nafasi kwa sasa. Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wameonyesha utayari wa mazungumzo, na bunge linakaribia kuvunjwa, hivyo hakuna muda wa kufanya mabadiliko ya kisheria yanayohitaji muda mrefu," alisema Wasira.
Aliongeza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, unaotarajiwa kuchagua Rais, Wabunge, na Madiwani, unapaswa kuwa nafasi ya vyama vyote kushindana kwa hoja badala ya kutafuta visingizio.
Wasira aliwataka viongozi wa CHADEMA kutumia nafasi za mazungumzo zilizopo badala ya kusimamia misimamo isiyotekelezeka kwa wakati huu. "Ni muhimu kushiriki uchaguzi na kuwa sehemu ya demokrasia badala ya kupoteza muda na kauli ambazo hazina tija kwa wananchi," alisisitiza.
MarekaniMagu alikuwa haishi Ubeligiji. Na Trump haishi uhamishoni. Je, Familia ya LIssu ipo wapi?
NINA UMRI WA BABAAKO, HUENDA CLASSMATEDuh! wewe umezaliwa mwaka gani? Nataka kujua umri wako ili nikujibu kulingana na kiwango chako cha uelewa.
Tayari unaonekana hujapevuka kiakili. Nimekuuliza swali dogo tu umeanza kuhaha. 🤣 🤣 🤣 🤣NINA UMRI WA BABAAKO, HUENDA CLASSMATE
Tayari unaonekana hujapevuka kiakili. Nimekuuliza swali dogo tu umeanza kuhaha. 🤣 🤣 🤣 🤣
Narudia, Umri wako ni miaka Mingapi?
Kwani ni dhambi au kuna sheria imevunjwa?Gentleman,
kwahiyo mlitaka kutumia ukumbi wa mlimani city na hoteli bure sio?🐒