maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,800
- 2,339
Sawa tu na wao nao ni ccmSukuma gang wanapush sana hii ajenda ya DPW. Mzee Wasira kaona mbali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tu na wao nao ni ccmSukuma gang wanapush sana hii ajenda ya DPW. Mzee Wasira kaona mbali sana.
CHADEMA HAWAHUSIKI NA MGOMBEA WA URAIS WA CCM KWANI NAO WANA MGOMBEA WAO WA URAIS MZEE WASSIRA KACHANGANYIKIWA![]()
Wasira: Urais 2025, chanzo upotosha uwekezaji bandari
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema chanzo cha upotoshaji kuhusu uwekezaji wa bandani ni siasa za uchaguzi wa mwaka 2025, ambapo baadhi ya watu wanamezea...www.mwananchi.co.tz
Ni nani aliyekuambia wewe "mama anamalizia..."? Usije ukawa wewe ni wakala tu wa kueneza upotoshaji huo, ili watu wasistuke.Ni haki yao hao wanaoutaka uraisi kujipanga. Mbona inajulikana wazi kuwa mama anamalizia miaka iliyoachwa na hayati kikatiba. Na kama ningepewa nafasi ya kumshauri mama, basi ningemshauri kwamba mambo ya 2025 aachane nayo kabisa. Maana hao anaowashutumu Tyson wamefanikiwa sana kumharibia mama.
Hizi Propaganda za divid and rule. Nyiwe Wenyewe mlimtuhumu Kagsh mskma kuwa alilamba Sukari na hamkutaja amelambaje tena Saizi mnahusisha na Sukuma Gang. Muache Tabia za Kuwachonganisha Wananchi.Sukuma gang wanapush sana hii ajenda ya DPW. Mzee Wasira kaona mbali sana.
Itakuwa kama ilivyo kuwa lowasaa ila safari hii itakuwa tofauti
Watapotezana wao kwa wao hawezi subiri kama alivyo subiri lowasaa mtu mwenye moyo mkui
Mama anamalizia awamu ya 5 kikatiba. Hajawahi kuutafuta uraisi. Ila katiba imemleta kwenye uraisi. Mimi nilishangaa mlivyoanza kupindua awamu ya 5 na kutangaza awamu ya 6 lengo la mapinduzi ya awamu lilikuwa nini? Amalizie tu awamu ya 5. Na baada ya hapo mizani sawa ndani ya chama kutafuta mgombea wa uraisi na mama akipenda kuwa mmoja wao basi anaruhusiwa kuwa miongoni mwa wagombea.Ni nani aliyekuambia wewe "mama anamalizia..."? Usije ukawa wewe ni wakala tu wa kueneza upotoshaji huo, ili watu wasistuke.
Kama kazi hiyo ndiyo unayoifanya hapa, itakuwa imekushinda kabisa.
Ruto wa Kenya amekwishatoa mfano kwa wengine, kwamba inawezekana kabisa ukapambana kivyako, nje ya mfumo uliopo na ukafanikiwa kunyang'anya mfupa...
Yupo sahihi kabisa na ninaafiki na mtazami wake.![]()
Wasira: Urais 2025, chanzo upotosha uwekezaji bandari
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema chanzo cha upotoshaji kuhusu uwekezaji wa bandani ni siasa za uchaguzi wa mwaka 2025, ambapo baadhi ya watu wanamezea...www.mwananchi.co.tz
Wewe nawe hueleweki, kwa vile upeo ni mdogo.Mama anamalizia awamu ya 5 kikatiba. Hajawahi kuutafuta uraisi. Ila katiba imemleta kwenye uraisi. Mimi nilishangaa mlivyoanza kupindua awamu ya 5 na kutangaza awamu ya 6 lengo la mapinduzi ya awamu lilikuwa nini? Amalizie tu awamu ya 5. Na baada ya hapo mizani sawa ndani ya chama kutafuta mgombea wa uraisi na mama akipenda kuwa mmoja wao basi anaruhusiwa kuwa miongoni mwa wagombea.
huyu naye...si ajabu ameshalambishwa, taratibu ameanza kugeuka![]()
Wasira: Urais 2025, chanzo upotosha uwekezaji bandari
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema chanzo cha upotoshaji kuhusu uwekezaji wa bandani ni siasa za uchaguzi wa mwaka 2025, ambapo baadhi ya watu wanamezea...www.mwananchi.co.tz
Naamini kabisa waccm hasa wenye nafasi za juu katika serikali hii,hawaukubali mkataba huu,ila wana hofu wakijitokeza watapoteza nafasi walizonazo. Mama kama wanavyokuita kuwa makini sana .![]()
Wasira: Urais 2025, chanzo upotosha uwekezaji bandari
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema chanzo cha upotoshaji kuhusu uwekezaji wa bandani ni siasa za uchaguzi wa mwaka 2025, ambapo baadhi ya watu wanamezea...www.mwananchi.co.tz