ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ingefaa awataje Ili washughulikiwe mapema maana hao ndio wamevujisha mkataba.![]()
Wasira: Urais 2025, chanzo upotosha uwekezaji bandari
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema chanzo cha upotoshaji kuhusu uwekezaji wa bandani ni siasa za uchaguzi wa mwaka 2025, ambapo baadhi ya watu wanamezea...www.mwananchi.co.tz
Hii ni politics game ya Urais wa 2025,wanajaribu kutumia upotoshaji wa Bandari Ili kimhujumu mh.Rais