Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Wasomali wanazidi kukuwa kiuchumi, population na power Nairobi, wao hujiona sio waafrika, Je kuna hatari kwa wakenya weusi dorminance yao ikizidi ?

Hilo unalitambua wewe tu, tangu lini msomali akawa mwafrika! Na mwafrika akawa msomali!
Waafrika wapo kwenye makundi yafuatayo
  1. Khoisan-bushmen wa namibia na botswana wanamacho kama ya kichina
  2. Niger congo b (bantu)
  3. Niger conga a (west afrika nigeria mpaka senegal)
  4. Nilotic wamasai na watu wa sudan kusini
  5. Kush ambao ni watusi, wasomal na waethiopia
Wasomali ni waafrika huko shuleni sijui mnaendaga kukua na unapata nguvu kubisha kabisa
 
Wakalenjin na wakikuyu hawataruhusu hiyo dominance itokee.
Mark my word kaka.
Hao wasomali hawakutakiwa hata kujiunga EAC sema basi tu hawa viongozi wa sasa sijui wameona nini na kuiruhusu.
Wewe huwaga unaongeaga hisia sana hakuna ajuaye kesho yaani hakuna mwenye uhakika wa kesho

Hapa Tanzania hakuna mtu angeamini kwamba kuna siku mwanamke atakua rais wa nchi ila imeshatokea
 
Wewe huwaga unaongeaga hisia sana hakuna ajuaye kesho yaani hakuna mwenye uhakika wa kesho

Hapa Tanzania hakuna mtu angeamini kwamba kuna siku mwanamke atakua rais wa nchi ila imeshatokea
Mie sijaongea hisia bali naongea lililokuwepo.
La rais kuwa mwanamke hakufananii na wasomali kuongoza Kenya.
Yani mkikiyu au mkalenjin umtoe uongozini umuweke msomali!?
Tupo hapa muda utasema .
 
Wazungu wamewaingiza chaka, unataka kusema alshabaab ni kikundi cha dini! Uislamu ndio umeagiza wafanye hayo! Ipo siku mtaelewa
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Uislam na Muislam/waislamu. Uislam ni DINI yenye miongozo yake, Muislam ni mtu. Sasa mimi sitaki kujikita kwenye dini cause utaniuliza maswali ambayo naweza kua sina majibu, mimi nawazungumzia Waislamu na sio Uislam. Waislamu na amani ni maji na mafuta; popote walipo waislamu hapanaga amani, bila mkono wa chuma, waislamu watawavuruga tu. Saddam Hussein aliwatawala hivo, Gadaff as well, Iran ndio usiseme. Weka demokrasia popote walipo waislamu lazima kichafuke. Sasa sina uhakika kama Uislam kama dini vina uhusiano na machafuko. Mnapenda kiwasingizia Wazungu wverywhere; hivi mtu akikutumia kuua ndugu zako, hapo mpumbavu ni nani? Aliyetuma au aliyetumwa?
 
Back
Top Bottom