whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Kufanya lililo ndani ya uwezo wake ni matokeo ya system kufeli sio sifa, mtu akisoma maana yake afanye kazi field aliyosomeaNani kakwambia kua ni lazima mwanasheria alime mbogamboga au mhasibu afuge kuku
Hapa tunazungumzia afanye lililo ndani ya uwezo wake
Hiyo nimetoa mfanoNani kakwambia kua ni lazima mwanasheria alime mbogamboga au mhasibu afuge kuku
Hapa tunazungumzia afanye lililo ndani ya uwezo wake
Sawa serikali imefeli kuwa miundombinu...Unamshauri vipi graduateKufanya lililo ndani ya uwezo wake ni matokeo ya system kufeli sio sifa, mtu akisoma maana yake afanye kazi field aliyosomea
Kufeli kwa serikali na ukosefu wa mitaji ndio sababu ya wasomi kuwa desperate
Nipe location, nakuja chap kwa haraka.Cocca kuna fursa huku kitaani kwetu,njoo ndugu yangu
Ahsantee.Utapata mawazo kupitia hii thread
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simsemi mtoa thread ni general comment.....watu wanaishiaga tu kusema hivi ukimfata akupe abc utapewa the impossibles hadi unawaza sa kwanini katufokea.
Kuna simu niliwahi kuandika hapa natamani kubadili pm jamaa kakoment aah njoo pm kuna kazi bla bla nkaenda pm mweeh ye mwenyewe mbangaizaji tu jamani [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] wee Eve eti nn??Sahivi sio dada tu na kina kaka ni makahaba [emoji16]
Coca msalimie mmeo 😁[emoji23][emoji23][emoji23] wee Eve eti nn??
Ongeza sauti dada.we waache waendelee kusubiri ajira, watuachie fursa maana wakija na wao huku competition itakua kubwa
Kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeshangaa sana. Kuna vitu watu tunafanya kutafuta riziki ila hata sio vya kujivunia mbele za watu hadi kutolea mifano. Kuuza uji ni nini mbona hata asiyejua kusoma wala kuandika anaweza kuuza.
Ongeza sauti dada.
Unaweza hustle lakini???Nipe location, nakuja chap kwa haraka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Eve hebu nisaidie mchongo wa kazi, au nawee ndo kuna mchongo Una usikilizia??Coca msalimie mmeo [emoji16]
Kwa kweli.washaniskia mbona
Naweza ndyooo.Unaweza hustle lakini???
Unajua jamii yetu imejawa na watu wenye roho mbaya sana wanaopenda kuona wasomi wetu baada ya kuhitimu masomo yao wakiteseka tambua watu wote sio sawa magap kwenye maisha lazima kila mtu anamaono yake C kila mtu anaweza kufanya kila kituKaribu
Wee eve za hapo Singapore?Coca msalimie mmeo [emoji16]
Kwa sasa serikali haina mda na watu wake ndo maana mbunge anapiga kofi tuu anapokea 12m pee month, halafu anakuambia wewe ukiajiri😁Sawa serikali imefeli kuwa miundombinu...Unamshauri vipi graduate
Nzuri kabisa habari za kwakoWee eve za hapo Singapore?
Kazi gani sasa unataka lakini wakati we mwenyewe hapo ni kazi tayari 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Eve hebu nisaidie mchongo wa kazi, au nawee ndo kuna mchongo Una usikilizia??
Nimeachwaa mwenzio, eti mie ni Feminist, uwiiih