Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Wasomi elimu isiwapumbaze mnapishana na fursa nyingi

Mkuu kuna msomi kakuvuruga nini? Maana umewaka hatari. Jikaze mkuu hukukatazwa kusoma na wewe. Usichojua kuhusu wasomi wengi wapo mtaan wanapiga mishe za kawaida sema wewe unataka uwaone na suti ndio ujue wasomi.
 
Kazi gani sasa unataka lakini wakati we mwenyewe hapo ni kazi tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eve nimechekaa hadi machozi, sasa mbna hukuniambia mapemaaa?? Kumbe mie mwenyewe ni Fursa toshaa?? Hebu nichangamke sasa.
 
Tunashukuru kwa Kauli hizo. Tunaamini mnaowazodoa wasomi hamjaajiriwa na kama mmeajiriwa hamkuingizwa kwa vimemo. La sivyo Mwenye kuchekecha wanadamu atawaweka kwenye ngazi zenu na kashfa zenu.
 
Udhaifu mkubwa wa sera ya Chama Cha Mapinduzi.

Yaani kule ulaya Kila mwezi wanatunza data za Unemployment rates na kupush vijana kwa kuwapa back-up inayoweza wasaidia eidha wajiendeleze au waishi wakisubiri ajira zingine.

Ila kwetu hakuna data za Unemployment rates za Kila mwezi, hatujui watu unemployed wako wangapi watengeneze sera za kuwaalika foreign investors wajenge viwanda vya kuwaajiri vijana, Leo hii kijana anatoka na 4.5 GPA tena honourable anakaa mtaani na ideas zake murua alizopambania miaka yote zikipotea bila matumizi yoyote alafu Serikali inashinda inanunua ma-V8 na kutengeneza miradi ambayo ndani yake kuna upigaji wa ajabu yalioanikwa na CAG, si Bora hizo pesa wawape vijana ambao hawaajajiliwa ila wanareport taarifa zao pale National Bureau of Statistics huku wakiendelea kusaka ajira zingine.

Hii kitu Cha "Kujiajiri isiwe ndo hoja ambayo Serikali inaitumia kupoteza vijana kufikia ndoto zao".
Imagine mtu anatoka chuo, anadaiwa almost 10 million na HESLB, Hana ajira, kaamua kujiajiri, bado hajakutana na wale wa TRA pasua kichwa, Kuna wengine wanatoka chuo hawana kitu, walikuwa wanalisha familia zao masikini, je mtawapa mtaji?

Mikopo hii ya Samia imejaa nepotism na corruption, kama wewe huna mtu wa CCM kama connection, hupati utapoteza muda sana.

SERIKALI IKAE CHINI NA KUANZA KUKUSANYA DATA WAONE UNEMPLOYED WANGAPI WAWEZE KULITATUA TATIZO, EIDHA WAPUNGUZE MAKODI YA AJABU WAWARUHUSU FOREIGN INVESTORS WAJE.
Umenena.
 
Mkuu kuna msomi kakuvuruga nini? Maana umewaka hatari. Jikaze mkuu hukukatazwa kusoma na wewe. Usichojua kuhusu wasomi wengi wapo mtaan wanapiga mishe za kawaida sema wewe unataka uwaone na suti ndio ujue wasomi.
Hayo ni mawazo yako mkuu , Sina maana hiyo
 
Mtoa mada acha akili za mtoto za std 7,sasa wasipo lalamika kwa Serikali unataka wamlalamikoe nani?
Mmoja ya kazi ya Serikali ni kutengenez ajira kwa watu wake,kisha Serikali itumie maarifa ya watu wake kuongeza uzalishaji.

Tanzania kuna tatizo la ajira kutokana na kutokuwa na viwanda vya kutosha,na hiyo inatokana na Sera za Serikali na sio vinginevyo.
 
Mtoa mada acha akili za mtoto za std 7,sasa wasipo lalamika kwa Serikali unataka wamlalamikoe nani?
Mmoja ya kazi ya Serikali ni kutengenez ajira kwa watu wake,kisha Serikali itumie maarifa ya watu wake kuongeza uzalishaji.

Tanzania kuna tatizo la ajira kutokana na kutokuwa na viwanda vya kutosha,na hiyo inatokana na Sera za Serikali na sio vinginevyo.
Tangu mmeanza kulalamika , mtupe feedback ya matunda ya malalamiko yenu
 
Kama ndo ulivyoelewa hivyo basi una wadudu kichwani
Wewe ndio una wadudu kazi ya kubeba zege ni unskilled labour haihitaji ujuzi wowote,MTU haiwezi kutumia muda na resources kisha abebe zege.

Bora ungeniambia wasomi wajikisanye waishinikize Serikali kubali Sera za kiuchumi ninhekuelewa.
 
Mnashindwa kuweka mazingira ya kukuza uchumi na ukuaji wa sekta binafsi mnaishia kufanya ufisadi, halafu leo unakuja na kejeli kwa vijana wa kitanzania walioelemika na kukosa ajira ambao wamekuwa wahanga wa wizi wenu wa kulamba asali na kujipimia kwa urefu wa kamba na kuvimbewa matumbo utadhani mmebeba maputo, shwain!!​
 
Back
Top Bottom