Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Hapa ndio tunaonyesha ujinga wetu...sasa mtu unafanya kitu ambacho asie na masters anafanya whats the point ya educating that person.
 
Hiyo biashara angeweza kuifanya hata angeishia darasa la saba. Instead jamii ilimuhimiza aendelee kama miaka 13 na shule kwa ajili ya kuusaka ujuzi mwingine, ila sasa amejikuta jamii ile ile inamwambia asipende kutegemea ujuzi aliousaka kwa miaka yote hiyo, maana ni ubishoo.
 
Na wasiojua kiswahili wapitie hapa kuhusu hii !🙄
Ndio maana waswahili tunanunua mwananchi, wanaojua kiingereza wananunua the citizen, hilo ni gazeti moja, same content, lugha tofauti...hamna kitu cha kuji proud hapo, tumia elimu yako vizuri
 
Je ! Ni wasomi wangapi wana vyeti vizuri vya elimu juu, lakini wanapata taabu sana baada ya kukosa ajira na hata pesa ya kununua wembe nk ?
 
Hapa ndio tunaonyesha ujinga wetu...sasa mtu unafanya kitu ambacho asie na masters anafanya whats the point ya educating that person.
Tutafakari kwa lengo kusaidia jamii ya wasomi waliokosa kazi na kusubiri ajira ya serikali bila mafanikio katika kada mbalimbali kama elimu,afya nk
 


Kwenye kujiajiri ni lazima" tukubaliane kuwa sio rahisi,sio rahisi hata kidogo !” Usikubali maisha yako na miaka yote uliyotumia kusoma itolewee maamizi na ‘makaratasi’ ambayo bila shaka huonyesha matokeo ya muda fulani wa elimu yako tu. Nikki wa Pili aliwahi kuimba 'Sitaki Kazi’,kwenye wimbo huo alielezea changamoto za upatikanaji na utendaji wa ajira. Sihitaji kuufanyia uhakiki wimbo huo ila ni wazi kuwa Nikki wa Pili hakuwa anakubaliana na swala la kuajiriwa. Lengo sio kupinga uwepo wa elimu wala ajira,lengo ni kuonyesha ni namna gani elimu uliyo nayo inawezaje kukusaidia kufanya uzalishaji.

Maoni ya Classmate Maeda

 
Tulisema tu hiki chuo cha UDOM kitatutolea takataka ona Sasa. Eti mtu ana MASTAZ dereva bajaj. Jinga kabisa. UDOM ni janga jamani.
University Of Dodoma
Haa😂😁
Kwenye Mpira Wanasema Amerudisha Kwa Kipa Mpaka Goal
 
Tumelaliwa sana ndugu zangu
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu

Tumeliwa Sana Ndugu Zangu

Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu

Tumegongwa Sana Ndugu Zangu
Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Support sio ngazi ya familia tu ni mpaka kwa ngazi ya serikali😂😂😂
 
Uko twitter kuna ujumbe wa Salha binti Aziz kwa "Vijana (wasomi na wasio wasomi) kwamba wafahamu kuwa Ajira ni chache ila kazi za kufanya zipo nyingi sana, maamuzi ni yetu" ...............!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…