Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

Tuliaminishwa sisi tumesoma kumbe usomi wa Bongo ni wa kawaida kabisa "Critics and Arguments"ya Kibaji na Msukuma imewaondolea kabisa Maprofesa heshima Zao

Kama kuongea ongea ndio arguments basi sarange wa stendi wangekuwa na heshima

Msukuma ni kama Sarange tuu
 
Siku ukiangalia stand up comedy ndio utaelewa nilichoandika

Kwa sasa nipokee pole yako tuu
Hebu soma thread yako ya awali...

Spelling mistakes hata kwa maneno ya Kiswahili zipo rundo, uandishi mbovu, mpangilio wa mawazo ni sifuri... Halafu unajiita msomi... Akina sisi tusio wasomi tusemeje?... Kama wasomi ndo mpo hivi 🤣
 
Jf imejaa wapuuzi kwakweli, tofauti na mambo ya bikra sijawahi kukuta umetoa mada za msingi

Msukuma anadharauliwa na wapuuzi tu, ukiachilia mbali utoto wake hua ana hoja za msingi kuzidi hata hao wasomi.
 
Hebu soma thread yako ya awali...

Spelling mistakes hata kwa maneno ya Kiswahili zipo rundo, uandishi mbovu, mpangilio wa mawazo ni sifuri... Halafu unajiita msomi... Akina sisi tusio wasomi tusemeje?... Kama wasomi ndo mpo hivi 🤣

Jinsi ulivyouona muandiko wangu ndivyo ninavyomuona Msukuma na kundi lake

Yaani wanachekesha na kufanya futuhi kama mwandiko wangu

Siwezi elezea jambo la kipuuzi kwa kutumia akili ya kisomi
 
Jf imejaa wapuuzi kwakweli, tofauti na mambo ya bikra sijawahi kukuta umetoa mada za msingi

Msukuma anadharauliwa na wapuuzi tu, ukiachilia mbali utoto wake hua ana hoja za msingi kuzidi hata hao wasomi.

Nani kamdharau Msukuma Na wewe!!!

Kumuita mtu mchekeshaji ni kumdharau?
Hicho ni kipaji alichojaliwa

Wewe umeandikaninj cha maana humu JF?
 
Nani kamdharau Msukuma Na wewe!!!

Kumuita mtu mchekeshaji ni kumdharau?
Hicho ni kipaji alichojaliwa

Wewe umeandikaninj cha maana humu JF?
Sijawahi kujiita msomi au kujisifia usomi humu ndani

Sasa wewe unaejisifia usomi halafu huna hata mada moja ya msingi humu ndani tukueleweje

Au unataka tuthibitishe vp usomi wako?
 
Wasomi wa Tanzania ndio Wasomi pekee duniani wasiojua kuandika na kutamka herufi sahihi zinazotakana na lugha Mama, yani lugha yao ya asili waliyozaliwa nayo.
etu msomi anasema BIRA, TUNAFULAHISHWA, anandika neno la kiingereza SIRIUS, LASMI,ATUFULAHISHE,ANAAKILI.
Kama haitoshi, msomi anaandika neno ''wasomi''
 
Sijawahi kujiita msomi au kujisifia usomi humu ndani

Sasa wewe unaejisifia usomi halafu huna hata mada moja ya msingi humu ndani tukueleweje

Au unataka tuthibitishe vp usomi wako?

😳😳😳

Kwani nani kakuita msomi Budah!

Kuandika cha maana hakuhitaji uwe msomi
Sawa Budah
 

Kwa hiyo unasemaje sasa?
 
Binafsi namkubali sana msukuma,yuko vzr sana,kuna watu wanafkiri cheti kinaongeza akili,tanzania tunao wasomi mizigo kabsa,ni majizi kweli kweli,
 
Binafsi namkubali sana msukuma,yuko vzr sana,kuna watu wanafkiri cheti kinaongeza akili,tanzania tunao wasomi mizigo kabsa,ni majizi kweli kweli,

Hakuna asiyemkubali mchekeshaji kwani lengo lake ni kuchekesha Jamie yake
 
Namna yako ya Uandishi,,darasa la saba B
 
Jinsi ulivyouona muandiko wangu ndivyo ninavyomuona Msukuma na kundi lake

Yaani wanachekesha na kufanya futuhi kama mwandiko wangu

Siwezi elezea jambo la kipuuzi kwa kutumia akili ya kisomi
🤣🤣🤣🤣... We jamaa... Nimenyoosha mikono juu asee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…