Wasomi wa kitanzania wanashindwa kwenda nje ya nchi kutafuta fursa mbalimbali kwasababu ya hivi vitu viwili(TOEFL na IELTS)


Tumemwambia ila yeye anataka aletewe TOEL maghettoni acha aendelee kusubiri. Labda Bunge lijalo litapitisha TOEFL iwe kila wilaya against matakwa ya wenye mitihani yao.
 
Tawala ni kuzisingia tu. All mental system ya mtu mweuse inaundergo evolution. Bado haiwezi kujisimamia.
 
Ukishindwa kufanya TOEFL kwa sababu hizi hata huko nje hujastahili kwenda.

You are simply not resourceful enough.

Kama umeshindwa kutoka Kigoma kuja Dar kufanya TOEFL, utawezaje kutoka Dar kwenda Los Angeles, USA?
Nilikwambia unikopeshe laki mbili hutaki?

Yaani wewe! Kazi kunisimanga tu!
 
Mkuu hii kozi hutolewa wapi ?
Je online naweza soma ?
Ni kiasi gani ada yake ?

Je hiko cheti kinaweza kuwa mbadala wa hio IETLS pale zinapotpka scholarship,namaanisha je nchi zinazotoa scholarship zinatambua hizo vyeti vya C1 kama ni mbadala wa hizo IETLS ?
 
Kozi hutolewa katika British Council iliyopo Chini ya Balozi za UK.
Cheti hicho pia ni mbadala IETLS, lakini pia ni mbadala wa TOEFL pamoja na mitihani mingine inayofanana na IETLS au TOEFL.
Kozi hizi ni za kusoma darasani, sina uhakika kama wameanza kutoa kozi hizi mitandaoni, nenda Ofisi za British Council au Ofisi za Ubalozi wa Uingereza.
 
Kinachokusumbua ni Africanism..natural jealous =poorest society.
Africanism gani! Mbona huko Afrika ya Kusini, Kati na Magharibi wamejaa nchi za ulaya kama kwao, masiki Tanzania hata ukiangalia tv ni nadra sana kuona habari hata za utalii toka Tanzania! Tunajificha kisa kutokujua lugha za nje, aibu zaidi ni pale Magufuli na ujumbe wake alipokwenda Zimbabwe na wakashindwa kuhutubia kutokana na ujumbe wote kutokujua kiingereza japo wameutunywi kwa suti kali!
 
Unajuta kuzaliwa TZ, na ukafikiri ili utoboe Nje lqzima ufanye hizo test! Bro maisha ya kufsnikiwa sio mono system, ni multi system, IPO mifumo mingi ya kutoka Nje,
Wapo watz wengi ulaya, wanapiga kazi Sana, na hawajawahi, hata kufika chuo kikuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…