Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Yaani ovyo tu, wengi wanaenda kusoma vyuoni kwa ajili ya kufuata mkumbo tu ili jamii iwachukulie kama vile wamesoma sana.
Ila huko chuoni aisee, ukiwaona utachoka. Yaan kichwani hakuna kitu😬 kuna mmoja alisoma IT nilimpa kazi ya kunipigia Windows 10 kwenye PC yangu,akabaki ananikodolea macho tu kama mhamiaji haramu anayekaguliwa na afisa uhamiaji.
Nikasema hapa hakuna kitu,.
Hivi nyie vijana mnaenda chuo kufanya nini?
Kama huamini nachokisema hapa ukionana na mtu yeyote wa chuo jaribu kumdodosa kwa vijiswali vya hapa na pale kuhusu kozi anayosomea huko chuo.
Watu wanachezea tu ada za wazazi ma walezi😰
Ila huko chuoni aisee, ukiwaona utachoka. Yaan kichwani hakuna kitu😬 kuna mmoja alisoma IT nilimpa kazi ya kunipigia Windows 10 kwenye PC yangu,akabaki ananikodolea macho tu kama mhamiaji haramu anayekaguliwa na afisa uhamiaji.
Nikasema hapa hakuna kitu,.
Hivi nyie vijana mnaenda chuo kufanya nini?
Kama huamini nachokisema hapa ukionana na mtu yeyote wa chuo jaribu kumdodosa kwa vijiswali vya hapa na pale kuhusu kozi anayosomea huko chuo.
Watu wanachezea tu ada za wazazi ma walezi😰