Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwa mfano uliotoa inapaswa uwaombe radhi wasomi wetu wa Mama Ndali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hao unakuja kuwakuta Tanroads Wana design barabara kama za hapo Tazara na Ubungo 😬😬Yaani ovyo tu, wengi wanaenda kusoma vyuoni kwa ajili ya kufuata mkumbo tu ili jamii iwachukulie kama vile wamesoma sana.
Ila huko chuoni aisee, ukiwaona utachoka. Yaan kichwani hakuna kitu😬 kuna mmoja alisoma IT nilimpa kazi ya kunipigia Windows 10 kwenye PC yangu,akabaki ananikodolea macho tu kama mhamiaji haramu anayekaguliwa na afisa uhamiaji.
Nikasema hapa hakuna kitu,.
Hivi nyie vijana mnaenda chuo kufanya nini?
Kama huamini nachokisema hapa ukionana na mtu yeyote wa chuo jaribu kumdodosa kwa vijiswali vya hapa na pale kuhusu kozi anayosomea huko chuo.
Watu wanachezea tu ada za wazazi ma walezi😰