Wasomi wa vyuo siku hizi hamna kitu, wanafuata mkumbo tu

Wanakesha Instagram Facebook na kuweka status nyingi WhatsApp kuna wawili walikuja field hapa ni aibu inabidi wizarani ijitafakari uelewa wa wahitimu hawa wa siku za karibuni ni shida vitu vidogo tu hawavijui.
 
sio wote mzee ila kuna mmoja nilikuwa najadiliana naye jinsi serikali ya magufuli ilivyoshindwa kiuchumi kwa kigezo kidogo tu cha kushindwa kutekeleza budjet majibu aliyoyatoa hata maiti siwezi kuisimulia


na kuna mwingine tulikuwa tukijadiliana naye madhara ya serikali kuchapisha pesa kiholela alichonijibu siwezi hata kuusimulia mti wa mpapai
 
Ndio hao unakuja kuwakuta Tanroads Wana design barabara kama za hapo Tazara na Ubungo 😬😬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…