Ila Mange hana akili timamu kabisa, siamini kama kweli alipiga simu na kuwahoji Madaktari akijidai yeye ni dada wa Wastara, that was too much, Mange anapenda jenga uadui usio na ulazima kabisa, ila ndio maisha yake, ila yatamlipukia usoni siku moja na kuaibika sana, na hata kujimaliza kama mzee wake...
Siyo mtu mzuri kabisa..
Sasa kwa hiyo tim kiba akiwa ana umwa ndio hachangiwi!? Ina maana akifa Wastara, diamond asiende kwenyw msiba?.Kutomchangia mtu ndio kuzingua? Hapana bna.
Mchango sio lazima kumpa mtu ni hiyari ya mtu tu.
Inajulikana siku zote wastara ni team kibakuli. Kama kachangiwa na alikiba inatosha. Diamond hajamchangia mimi pia sijamchangia. Aint a big deal at all
Kwani lazima jamani??Sasa kwa hiyo tim kiba akiwa ana umwa ndio hachangiwi!? Ina maana akifa Wastara, diamond asiende kwenyw msiba?.
You guys are taking things too serious.
Na ndio hapa sasa namuona diamond alikuwa mchoyo.
The woman is sick!kumbe mangekimavi ana cheti cha milembe
mtihani mkuu mashabiki huwa tunasahau kuw hao mastaa ni watu nahuwenda wakawa wanafnya makosa zaidi kuliko hat mashabiki wenyew ..ila kwakuwa mahaba ya metupatia upofu huwa tunadhani kuwa wanasifa ya umalaikaHahahah
Asee nu kazi sana mi nikijua hii kesi ijo wazi kabsaa!
Ni shda sana kusahihisha hawa nastaa wenye mashabiki kindaki ndaki
Bora ukalale dada yangu huyo jamaa kubishana naye huwezi ana lake au alabda kwa mtazamo wake Diamond angemsaidia ndio angepona.Kutomchangia mtu ndio kuzingua? Hapana bna.
Mchango sio lazima kumpa mtu ni hiyari ya mtu tu.
Inajulikana siku zote wastara ni team kibakuli. Kama kachangiwa na alikiba inatosha. Diamond hajamchangia mimi pia sijamchangia. Aint a big deal at all
Siyo lazima ndioKwani lazima jamani??
Who is wastara in diamond's life??
Anataka mumpe pesa zingine tenaHuyu maza si akae kimya tu
Anawashwa washwaHuyu maza si akae kimya tu
Sawa lakini sio kumuona diamond mbaya na mchoyo kisa hajatoa mchango. Maana hapa Tanzania wasanii sio diamond na alikiba tu.Siyo lazima ndio
Maana nimesema wastara alipaswa masifie Kiba kwa wema wake
Amuache diamond kwa ubaya wake
Dini ipi mkuu?Alikiba anaijua sana dini na aliisoma akaielewa
Ila kubali basi jamaa aligoma kutoa msaadaSawa lakini sio kumuona diamond mbaya na mchoyo kisa hajatoa mchango. Maana hapa Tanzania wasanii sio diamond na alikiba tu.