Wasudan wajiuliza kuhamishwa raia wa nje kuachwa wao wapigane kuna hekima gani

Mwanaccm asiyejielewa
 
Niandikie wewe
wambie moderators ndio wakusaidie ku editi kuwa wa edit waandike ulichoongea ukijibizana na mimi kuwa ni kwa mawazo yako mimi sio moderator siwezi India kubadilisha
 
Kwan nchi si yao, kama wanaona vita ni sahihi kwao, basi wao ndo wakwanza kutokuwa na busara, waafrika tunapenda mteremko sana, tujifunze kwa Ukraine ilivyosimama kiume dhidi ya Urusi, sasa kama nyinyi pia mnataka muiache nchi yenu mnabusara kweli?
kwahiyo wabaki humohumo wapigane wao kwa wao wafe kiume, au?
 
Waliohamishwa kutoka Sudan wamepokewa Saudia kwa mauwa.
 
Wamechagua kupigana na hakuna anayewskataza

Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime. Ni methali inayotumika hapo
 
Wacha wakose wote, sisi tujiandae pokea wakimbizi tu
 
Na ndo shida ya kutengeneza na kukumbatia majeshi private kama wagner siku wakigeukana wanaanza vurugu kwenye nchi
Nchi haitakiwi kuwa na makundi pinzani, tena wote wakiwa na silaha
 
Dunia iko hivyo.

Niliangalia Hotel Rwanda jinsi foreigners walivyokuwa wakichukuliwa, ilinitia simanzi na kuniachia maswali mengi sana.
hizo ni kodi zao sio kodi zenu nyiny , so ilaumu serikai yako kwa kuitupa pemben aman na kujali matumbo yao kwanza
 
Ngoja tuangalie tujikumbushe.Lakini sidhani kuwa ilikuwa ni ushujaa wa Israel pekee iliambatana na ujinga wa vikosi vya Idi amin muda ule.Leo Israel hana ubavu huo tena
kwahiyi Uganda ya leo ni bora kuliko iran ya 2010s ?maana Israel kapiga mission huko Iran vya kutosha
 
Ngoja wapigane tu kwa sababu kwa waafrika kupigana vita vya kijingajinga hivi ni sifa kwa sababu wanajeshi wanaotakiwa kuwa kambini ili kuilinda nchi dhidi ya maadui kutoka nje eti ndio wanapigania madaraka..!!

Hao wanamgambo wa RSF wanaungwa mkono na Saudi Arabia na wapiganaji wao 40,000 walienda kuisadia Saudi Arabia kwenye vita vyake kule nchini Yemen.

Na sasa hao RSF wanataka eti jeshi ikae madarakani kwa miaka 10 ndio warejeshe utawala wa kiraia..!! Wakati huyo Jenerali Abdel Fatter Al Burhani anataka wakae kwa miaka miwili tu kisha warejeshe utawala wa kiraia.

Nchi zinazoisumbua Sudan ni Saudi Arabia na Misri ambazo zinaigeuza Sudan kama koloni lao. Zinataka ziwe na ushawishi kwa serikali yoyote inayoitawala nchi hiyo na mataifa hayo hayapendi kuona Sudan inakuwa na utawala wa kidemokrasia kwa kuhofia kwamba fikra ya kudai demokrasia inaweza kusambaa kwenda kwenye mataifa yao ambayo yanatawaliwa kiimla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…