Wasudani weusi Waislam waliwasaidia waarabu kuwafuta wasudan wasio Waislam leo hii waarabu wanakanyaga wote

Wasudani weusi Waislam waliwasaidia waarabu kuwafuta wasudan wasio Waislam leo hii waarabu wanakanyaga wote

Porojo wenzio hata TZ wameishika wana uwezo wa kifedha , we piga kelele tu.
 
Sio RSF wote ni Janjaweed.
Wapo waliotoka na kuna waliobaki kutaka kuiendeleza Janjaweed.
Ndio RSF ikaundwa kupigana na janjaweed ya zamani.
Utata umekuja RAF ilipotoa waraka wa kuivunja RSF.
Kwa ufupi RSF iliundwa Kwa dhumuni la kuisaidia serikari ya bwana Bashir kulinda usalama wa west Sudan(Darfur)
 
Ukiangalia mapigano yanayoendelea sudan utagundua kuwa watu weusi ni wajinga sana

Hawa wasudani walioingia katika uislam walianza kujiona wao ni waarabu kwa mtindo huo akawa anashirikiana na waarabu kuwaangamiza wasudan wasio kuwa waislam

Leo wanaojiona waarabu hawawatambui wasudani weusi haijalishi wewe ni muislam au la hata km umekariri kwaran km ni mweusi unakatwa shingo salama yako uwe na ngozi ya kuchovya

Bushiri aliwasaidia waarabu kumiliki raslimali nyingi za sudan kiasi kwamba uchumi wote wameushika wao na wanataka wawe nchi ya kiarabu tu

Leo wasudani hawabaguliwi kwa dini ila wanabaguliwa na kuuwawa kwasababu ya weusi wao
Ukifa nje ya uislam wewe ni kuni tu
 
Kwa ufupi RSF iliundwa Kwa dhumuni la kuisaidia serikari ya bwana Bashir kulinda usalama wa west Sudan(Darfur)
Sasa huo usalama ni dhidi ya makundi hasimu ya serikali ikiwemo former Janjaweed,pia kuna makundi mawili yaliongezeka hasimu ya Sudan.
Ila pia RSF wametumika kama mercenaries sehemu nyingi sana.
Serikali ilipoona haina haja ya RSF ikatoa wito ivujwe,hapo ndipo wakatibuana sasa RSF wanataka mapinduzi wao ndio wakalie kiti.
 
Wapigwe tu, kunao wa huku pia wametekwa akili na dini ya muarabu brazaj
 
Angalau wenzetu wana sababu ya kupigana.
Sisi huwa tunauana kwa upumbavu ambao kama tungekaa mezani dakika 10 tu ungeshatatulika.
Sababu gani za msingi za kutoana roho za wa Russia na ukraine, kwa mfano?. Kipi kisichozungumzika?. Binadamu ni wale wale tu rangi zao zinasingiziwa.
 
Sasa huo usalama ni dhidi ya makundi hasimu ya serikali ikiwemo former Janjaweed,pia kuna makundi mawili yaliongezeka hasimu ya Sudan.
Ila pia RSF wametumika kama mercenaries sehemu nyingi sana.
Serikali ilipoona haina haja ya RSF ikatoa wito ivujwe,hapo ndipo wakatibuana sasa RSF wanataka mapinduzi wao ndio wakalie kiti.
Upo sahii.... Umenikumbusha wakati wangu nikiwa pale Omdurman Ahlia University(OAU)
 
Sababu gani za msingi za kutoana roho za wa Russia na ukraine, kwa mfano?. Kipi kisichozungumzika?. Binadamu ni wale wale tu rangi zao zinasingiziwa.
Mkuu Russia na Ukraine wana ugomvi wa muda sana.
Walianza tunguana tangia 1990s huko mkuu.
Na matatizo yao makubwa ni ya kidiplomasia ambayo mmoja wapo aliona vita itafaa kuliko mazungumzo(Ukraine)basi akapewa vita.
Watu weusi embu chukulia mfano DR Congo,watu weusi wanauana wenyewe kwa wenyewe kisa kumiliki maeneo ya kimkakati ya madini.
Somalia na Ethiopia wanapigana wenyewe kwa wenyewe kisa ukabila,yani kabila fulani linataka litawale nchi ndio linajiona linastahili.
Je mkuu sisi Afrika hatujalaaniwa!?
 
Upo sahii.... Umenikumbusha wakati wangu nikiwa pale Omdurman Ahlia University(OAU)
Sasa nashangaa mleta mada na wengine wanadai hii ni vita ya ethnic cleansing.
Kama ya ethnic cleansing kwanini wale wanafunzi waarabu wamekimbilia Tanzania na wameomba uraia ikibidi!?
 
waarabu wanaua weusi sudan mkuu , ni kama wale wasiotaka muunganiko , utengano ukitokea wale wenye muonekano wa muscat waanze kuchinja wale wenye muonekano wa burundi
Kwanini wale waarabu wa Sudan wamekimbilia Tanzania!?
Si wangebaki kama wanauliwa weusi tu!?
 
Sasa nashangaa mleta mada na wengine wanadai hii ni vita ya ethnic cleansing.
Kama ya ethnic cleansing kwanini wale wanafunzi waarabu wamekimbilia Tanzania na wameomba uraia ikibidi!?
Ulichokiongea wewe ndio uhalisia wa mambo. Tatizo hatutaki kufuatilia mambo hasa hizi geopolitical issues. Wengi tunajadiri Kwa misingi ya udini.
 
Ulichokiongea wewe ndio uhalisia wa mambo. Tatizo hatutaki kufuatilia mambo hasa hizi geopolitical issues. Wengi tunajadiri Kwa misingi ya udini.
WaTanzania wengi tunaweza umbea/maneno ya kuambiwa.
Lakini sio kufanya tafiti na kujua ukweli wa jambo.
Na tukimezeshwa tunataka kuamini kile kile tulichomezeshwa ndio sahihi.
 
Hamna Mwislam mwenye akili duniani. Bora uwe Bohorq kuliko Mwislam
 
WaTanzania wengi tunaweza umbea/maneno ya kuambiwa.
Lakini sio kufanya tafiti na kujua ukweli wa jambo.
Na tukimezeshwa tunataka kuamini kile kile tulichomezeshwa ndio sahihi.
Kweli kabisa. Suruhisho la mgogoro wa Sudan lipo mikononi mwa bwana Dagalo na mwenzie Abdel Fattah al-Burhan.
 
Kwanini wale waarabu wa Sudan wamekimbilia Tanzania!?
Si wangebaki kama wanauliwa weusi tu!?
vita ni vita mullah, pia vita huambatana na njaa na insecurities nyinginezo
 
vita ni vita mullah, pia vita huambatana na njaa na insecurities nyinginezo
Bado haijitoshelezi hiyo kauli yako.
Ethnic cleansing inafanyika Israel huko.
Wazayuni mwaka huu baada ya Octoba 7 walikua wakitembea na handgun au shotgun,ukionekana rangi chai ya maziwa unapigwa shaba.
Muwe mnazungumza kit mkiwa na uhakika nacho mkuu,msiwe mnaokoteza tu taarifa.
 
Back
Top Bottom