Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

hivi mikoa kama manyara, arusha na kilimanjaro wasukuma kwa wingi wapo maeneo gani wanaishi wao tu? Achana na wale watumishi wa umma na wawili watatu wanaotafuta fursa za biashara na masomo. Nataka nione tu kijiji au mtaa wamejenga wasukuma watupu wanaishi kama mikoa mingine isiyo yao unawakuta kijiji kizima au mtaa/kitongoji ni wasukuma watupu huko kilimanjaro, arusha na manyara
Hizo sehemu zina njaa na ardhi ya kugombania wasukuma waende kufanya nini huko?
 
Uyole wapo deal zao kutoa matrekta msumbiji na malawi kuleta bongo, bonde la Usangu lote wamejaa, ubaruku Hadi madibila huko , sema ukishindwa kuishi na msukuma utakua na tatizo wewe binafsi.
Mbona Uyole ni mwenyeji na sijawahi kuwaona,ila Mbarari nakubali maana pale Mswiswi kuna makazi ya mzee
 
Katika kutembea kwangu mikoa ya Tanzania nimepata kujua haya kuhusu wasukuma;
1. wasukuma hawana ubaguzi wa kikabila kama wakinga na wahaya. Mtu ambaye si msukuma unafanya biashara bila shida
2. Ni wakarimu hawana roho mbaya
3. Wanapenda ushirikina.
Wasukuma mlioko humu Pascal Mayalla et al najua mtaunga mkono hoja
Kwenye kupenda ushirikina hapo umepiga bull mkuu. Kumkuta binti wa kisukuma asiyechanjwa ni kasheshe hasa Simiyu, Geita na Shinyanga.
 
Kwenye kupenda ushirikina hapo umepiga bull mkuu. Kumkuta binti wa kisukuma asiyechanjwa ni kasheshe hasa Simiyu, Geita na Shinyanga.

wasichana wa kisukuma wana high demand mpaka china. Wakifika tu wanaolewa. Utaniambia hii reputation inakujaje? Kuchanjwa ni stori tu. Usiamini upuuzi huo. Vitendo ndio kuchanjwa yenyewe. Kwa kuwapenda mpaka wachina wanawabeba mgongoni😂😂.


View: https://youtu.be/ZNNwraiFXxI?si=YRkoiIUlyVGusJBD
 
wasichana wa kisukuma wana high demand mpaka china. Wakifika tu wanaolewa. Utaniambia hii reputation inakujaje? Kuchanjwa ni stori tu. Usiamini upuuzi huo. Vitendo ndio kuchanjwa yenyewe. Kwa kuwapenda mpaka wachina wanawabeba mgongoni😂😂.


View: https://youtu.be/ZNNwraiFXxI?si=YRkoiIUlyVGusJBD

mkuu ninachokisema nina uhakika nacho. Nimefanya kazi mikoa yote niliyoitaja tena kwa muda usiopungua miaka mitano nikifanya sehemu mbalimbali ndani ya mikoa hiyo, taasisi mbalimbali, idara mbalimbali nk.
 
Baada ya kuoana, watoto waunganisha muungano ; upo?

WaChina + WaSukuma = WaChiSuku
China+ Sukuma = Chisuku.

Acha tuntunya tuntuya zako. Wasukuma wana-export hata wachumba mpaka China. Haya ni maendeleo ya hali ya juu👍🏼 upo?
 
Basukuma wanazaa fresh baada ya harusi muda usiozidi miezi 10 baada ya harusi. Huko China waliiotoka Zambia, Zimbabwe, Ethiopia, Uganda Zkenya hawazai ila wasukuma on time. • Enyo ja basukuma jirena baraka na banegeni baape gete ngoshiye.
 
Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Pamoja na yote hayo siwezi ruhusu mwanangu akaolewa na Wasukuma Kwa sababu zifuatazo;

1.Kwa wasukuma mwanamke ni chombo Cha starehe

2.Mwanamke hana Haki yeyote

3.Mwanamke ni nyenzo ya kazi(kutumikishwa)

4.Mume akifariki ,mwanamke hana Haki ya Mali na akikomaa watamuua Kwa namna yeyote

5.Usukumani utu ni mdogo kuliko Mali.

6.Wana vinasaba vingi vya ualbimo na kansa
 
hivi mikoa kama manyara, arusha na kilimanjaro wasukuma kwa wingi wapo maeneo gani wanaishi wao tu? Achana na wale watumishi wa umma na wawili watatu wanaotafuta fursa za biashara na masomo. Nataka nione tu kijiji au mtaa wamejenga wasukuma watupu wanaishi kama mikoa mingine isiyo yao unawakuta kijiji kizima au mtaa/kitongoji ni wasukuma watupu huko kilimanjaro, arusha na manyara
Uchagani huwezi wakuta Kwa sababu hakuna ardhi iddle

Hayo maeneo mengine Kuna washindani ambao ni jamii za wafugaji kama wao so hawawezi enda maana itakuwa ni vita za kuibiana mifugo na kugombea malisho.

Wamemwagika Mikoa ambayo Haina sifa tajwa hapo juu
 
Back
Top Bottom