Kisukuma nu kiswahili. Nene nadebile uru areho munhu adebile kisukuma bakayombaga kisukumaAnataka wasukuma watumie lugha yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisukuma nu kiswahili. Nene nadebile uru areho munhu adebile kisukuma bakayombaga kisukumaAnataka wasukuma watumie lugha yake?
Rekaga kuyombaga mamihayo ga minara, genayo yaaayaTupo Mkuu kila sehemu tukienda lazima tupige miti watoto wa watu ili tuache mbegu!!
Unawajua wanyantuzu wewe? Wana ubaguzi kuliko waarabu, nenda simiyu pale baridi kaanzishe biashara uone, ule mji kuanzia waarabu, wahindi, wachaga walikimbizwa na wenyeji, ukifungua biashara ukianza kujulikana watakutumia jambazi, uchawi, hata kutumia viongozi wa kisiasa au mamlaka kukufanyia figisu.Katika kutembea kwangu mikoa ya Tanzania nimepata kujua haya kuhusu wasukuma;
1. wasukuma hawana ubaguzi wa kikabila kama wakinga na wahaya. Mtu ambaye si msukuma unafanya biashara bila shida
2. Ni wakarimu hawana roho mbaya
3. Wanapenda ushirikina.
Wasukuma mlioko humu Pascal Mayalla et al najua mtaunga mkono hoja
Lini Wahindi na Wachaga walikuwa Bariadi?Unawajua wanyantuzu wewe? Wana ubaguzi kuliko waarabu, nenda simiyu pale baridi kaanzishe biashara uone, ule mji kuanzia waarabu, wahindi, wachaga walikimbizwa na wenyeji, ukifungua biashara ukianza kujulikana watakutumia jambazi, uchawi, hata kutumia viongozi wa kisiasa au mamlaka kukufanyia figisu.
Lini Wahindi na Wachaga walikuwa Bariadi?
Mimi nijuavyo Warabu ndo wafanya biashara wa siku nyingi sana Bariadi!
Halafu hakuna kabila la Wanyantuzu ni jamii ya wasukuma wanaotokea Ntuzu!
Enhaga eng'ombe shene nkoi obize nkulema one/usweNenhe ng'ombe, lizuna lane libheje kaya
Nzugu tulye masangu ga mhandeTurye manduki loolo - neene chips mayai yaaya. Nonhage numbu nuru nhomba bashi
Naswage eng’ombe magana manne.Enhaga eng'ombe shene nkoi obize nkulema one/uswe
Si Tanzania tu,Na Marekani tumejaa.
Mkembaga na bazungu kisukuma.
Hakuna kuhama kabila, hata wewe mdigo ukienda kuishi Japan huwi mjapani. Utabaki mdigo tuu.Mabara the farmer ni mzungu msukuma, Bashe na rostam azizi ni wasukuma bila kumsahau meck sadiq
Kuna sehemu inaitwa Nyarugusu hapa Zanzibar, wasukuma mulimhola!nimekuja kukuta hadi uku Zanzibar wasukuma wana himaya zao
na wana miji mikubwa tu
Hapo nikashangaa sana na kusema hawa watu hongera kwao
.....ili sio swala la ukabila
Wewe ndio lofa, Tanzania makabila yote tunaendà kila mahali na hàkuna mtu alifukuzwa kwa sababu ya kabila lake. Hapa ñaoñgelea wingi wà wasukuma kila mahali hapa Tanzania.Acha ulofa, badala ushukuru huko walikoenda wamepokelewa kwasababu nchi yetu haina ukabila we unakuja kuandika upuuzi km huu ili uusaidie nini nchi yako. We una roho ya kichawi
Yanatualibia = YanatuharibiaMachawi hayo balaa manafiki kinoma,,yanahalibu mazingira kweli hayapendi wengine wafanikiwe yanaukabila kinoma mengi ni mbumbumbu bora yabaki huko kwao maana yanatuhalibia mazingira mabinafsi kinoma hayo kila yanapoenda yanalazimisha lugha iwe kisukuma nyimbo za kisukuma ama kweli haya yamelogwa
Kuandika hujui halafu unawadharau wasukuma, wewe mshamba sana.Machawi hayo balaa manafiki kinoma,,yanahalibu mazingira kweli hayapendi wengine wafanikiwe yanaukabila kinoma mengi ni mbumbumbu bora yabaki huko kwao maana yanatuhalibia mazingira mabinafsi kinoma hayo kila yanapoenda yanalazimisha lugha iwe kisukuma nyimbo za kisukuma ama kweli haya yamelogwa