TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Unaweza ukawa mchapa kazi lakini ukawa masikini,uchapakazi ili uzae Matunda ni sharti uambatani na productivity kubwa yenye thamaniNini inaongeza umaskini hapo? Hawa jamaa ni wachapa kazi haswa sasa umaskini unatoka wapi?