Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Tupo Mkuu kila sehemu tukienda lazima tupige miti watoto wa watu ili tuache mbegu!!
 
Inasikitisha sana,
Haisaidii chochote zaidi ya kuongezeka umaskini tu.
Jamaa nimeish nao miaka 17 NI matajiri sana na wanamifumo tofauti ya kujilimbikizia Mali NI mabepari haswa....nilichopingana au kushangazwa kwao NI kuthaninisha MTU mtoto Kama Mali stock...penzi Kama kazi ya kupata ujirahalali ....washikaji wapo mbali sana....ukizalisha binti bila ya mahari watamchukua na kumtumikisha kilimo na ufugaji wakiume watamuoza mapema azae wachungaji wa mifugo na wakulima wa mashamba ..binti atakuzwa kulipiwa mahari akiwa bado kinda....Hawana Cha mtoto sio damu yangu...
 
Katika kutembea kwangu mikoa ya Tanzania nimepata kujua haya kuhusu wasukuma;
1. wasukuma hawana ubaguzi wa kikabila kama wakinga na wahaya. Mtu ambaye si msukuma unafanya biashara bila shida
2. Ni wakarimu hawana roho mbaya
3. Wanapenda ushirikina.
Wasukuma mlioko humu Pascal Mayalla et al najua mtaunga mkono hoja
Usiseme ushirikina sema njia za asili za kitamaduni.

Usijitoe akili kisa dini za oppressors wako
 
Mikoa ya manyara, arusha, kilimanjaro, tanga, dar, pwani, lindi na mtwara huko hawajahamia kwa wingi kama mikoa mingine jirani na sukumaland. Ukiacha kwao mwanza, shinyanga, geita na simiyu tabora ni kama kwao na wameenda mpaka katavi, rukwa, ruvuma, mbeya, iringa, njojobe, singida, dodoma, morogoro, songwe, kigoma, kagera, kigoma na mara utawakuta wasukuma wengi tu katika vijiji vya mikoa hiyo.ni watu wazuri hawana dharau na wenyeji wao
Mara ya mwisho kufika mtwara na lindi lini?na khakikishia kwa sasa ndio safe heavens kwa wasukuma hiyo mikoa wanahamia kwa kasi sana pamoja na mifugo yao.
 
Sasa wewe umejifunga hapo kijiji kwenu tuu, tembea uone hawa ngosha walivyosambaa TZ na wao wanaoñgea kisukuma tuu kwa sauti kubwa kila mahali.

Nu bebe ulu urehaya ukubiza nsukuma. Nzogu wirange kuyomba kisukuma ubine wigushe mbena ya bagalu na bagiiika
 
Wanaongoza kwa kumiliki mifugo mingi nchini, pia ndio wazalishaji namba moja wa mpunga.. asilimia kubwa ya mashine za kukoboa mpunga zinamilikiwa na wao.. ukifika machimboni wao pia ndio mabingwa wa kuzamia mashimo marefu (rongobesi)
Basukuma bate badedu. Bakatumikaka geete nu kulima bakalimaga geeete - terekta nduhu.
 
Back
Top Bottom