Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wazungu wasukuma.wazungu wanasisitiza msizaliane sana😂😂
Kila mtu ajivunie anachokipenda mwenyewe siyo anachopenda mwingine.Kuzaliana kama simbilisi na yenyewe siyo sifa nzuri ya kujivunia.
Tupo Mkuu kila sehemu tukienda lazima tupige miti watoto wa watu ili tuache mbegu!!Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Siyo sifa kwako kwa kuwa huwezi tunza watoto.Kuzaliana kama simbilisi na yenyewe siyo sifa nzuri ya kujivunia.
Hahahaha jamani tuacheni!Kama wanakusikiliza wakumbushe usafi ni jambo la msingi sanaaa.
Jamaa nimeish nao miaka 17 NI matajiri sana na wanamifumo tofauti ya kujilimbikizia Mali NI mabepari haswa....nilichopingana au kushangazwa kwao NI kuthaninisha MTU mtoto Kama Mali stock...penzi Kama kazi ya kupata ujirahalali ....washikaji wapo mbali sana....ukizalisha binti bila ya mahari watamchukua na kumtumikisha kilimo na ufugaji wakiume watamuoza mapema azae wachungaji wa mifugo na wakulima wa mashamba ..binti atakuzwa kulipiwa mahari akiwa bado kinda....Hawana Cha mtoto sio damu yangu...Inasikitisha sana,
Haisaidii chochote zaidi ya kuongezeka umaskini tu.
Inasikitisha sana,
Haisaidii chochote zaidi ya kuongezeka umaskini tu.
wala hakuna wajapan wanyaturuHakuna wazungu wasukuma.
Hahaha ikifikia 0.88 tu mimi inanitosha.
Mabara the farmer ni mzungu msukuma, Bashe na rostam azizi ni wasukuma bila kumsahau meck sadiqHakuna wazungu wasukuma.
Ukabila uko wapi hapo,wangetajwa ngozi nyeupe ingekua sifa,acha roho ya kijinga.Watanzania tupunguze ukabila, inasaidia nini kila siku kuleta nyuzi za ukabila na ukanda
Usiseme ushirikina sema njia za asili za kitamaduni.Katika kutembea kwangu mikoa ya Tanzania nimepata kujua haya kuhusu wasukuma;
1. wasukuma hawana ubaguzi wa kikabila kama wakinga na wahaya. Mtu ambaye si msukuma unafanya biashara bila shida
2. Ni wakarimu hawana roho mbaya
3. Wanapenda ushirikina.
Wasukuma mlioko humu Pascal Mayalla et al najua mtaunga mkono hoja
Mara ya mwisho kufika mtwara na lindi lini?na khakikishia kwa sasa ndio safe heavens kwa wasukuma hiyo mikoa wanahamia kwa kasi sana pamoja na mifugo yao.Mikoa ya manyara, arusha, kilimanjaro, tanga, dar, pwani, lindi na mtwara huko hawajahamia kwa wingi kama mikoa mingine jirani na sukumaland. Ukiacha kwao mwanza, shinyanga, geita na simiyu tabora ni kama kwao na wameenda mpaka katavi, rukwa, ruvuma, mbeya, iringa, njojobe, singida, dodoma, morogoro, songwe, kigoma, kagera, kigoma na mara utawakuta wasukuma wengi tu katika vijiji vya mikoa hiyo.ni watu wazuri hawana dharau na wenyeji wao
Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Sasa wewe umejifunga hapo kijiji kwenu tuu, tembea uone hawa ngosha walivyosambaa TZ na wao wanaoñgea kisukuma tuu kwa sauti kubwa kila mahali.
Turye manduki loolo - neene chips mayai yaaya. Nonhage numbu nuru nhomba bashiTulyagi
Basukuma bate badedu. Bakatumikaka geete nu kulima bakalimaga geeete - terekta nduhu.Wanaongoza kwa kumiliki mifugo mingi nchini, pia ndio wazalishaji namba moja wa mpunga.. asilimia kubwa ya mashine za kukoboa mpunga zinamilikiwa na wao.. ukifika machimboni wao pia ndio mabingwa wa kuzamia mashimo marefu (rongobesi)