ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ufugaji wa kijinga tuu,wanatakiwa kuougwa marufukuWanaongoza kwa kumiliki mifugo mingi nchini, pia ndio wazalishaji namba moja wa mpunga.. asilimia kubwa ya mashine za kukoboa mpunga zinamilikiwa na wao.. ukifika machimboni wao pia ndio mabingwa wa kuzamia mashimo marefu (rongobesi)
Ila hayo majamaa ni machafu hatariKama wanakusikiliza wakumbushe usafi ni jambo la msingi sanaaa.
ni kweli, uchagani na umasaini hutaona wasukuma wamejazana huko na ndio maana jamii za wafugaji ni kama zimegawana nchi hii kanda ya ziwa, magharibi, kati na kusini wasukuma wana move sana huko na kanda ya kaskazini na mashariki wamasai wanafanya movement, hawakutani malishoni pamoja na kuwa kuna jamii zingine za wafugaji kama wao wanachuliana poa na kuwaona ni sehemu yao wanaendana pamoja hata katika mila zaoUchagani huwezi wakuta Kwa sababu hakuna ardhi iddle
Hayo maeneo mengine Kuna washindani ambao ni jamii za wafugaji kama wao so hawawezi enda maana itakuwa ni vita za kuibiana mifugo na kugombea malisho.
Wamemwagika Mikoa ambayo Haina sifa tajwa hapo juu
Ehe.Mkembaga na bazungu kisukuma.
Unamkosoa Nani kwa elimu gani uliyonayo zaidi ya kukalilishwa ubao Kama wewe ni mwerevu tuambie umegundua teknolojia gani mpaka huna chakunilekebisha we ni lofa tuYanatualibia = Yanatuharibia
Yamelogwa = yamerogwa
Ni lini Wasukuma walilazimisha Kisukuma?
Uzi huu sio wa machàwa.Mama anaupiga mwingi
Ngosha wanajiamini sana hata katikati ya Dar tunapiga Kisukuma tu! Nilikutana na mdada mmoja anafanya kazi kwenye NGO moja Dar eti anaogopa kuongea Kisukuma ataonekana mshamba nikamwangaliaaaaa! Nikajisemea nimekutana na hamnazo!Sasa wewe umejifunga hapo kijiji kwenu tuu, tembea uone hawa ngosha walivyosambaa TZ na wao wanaoñgea kisukuma tuu kwa sauti kubwa kila mahali.
chakunilekebisha
Sasa wewe wenzio tunashangaa wapemba wapo milio moja tu, ila nchi zote za westerners wamejaa kuanzia UK ndio kama kwao na EU yoote nenda America Canada wamejaa na kama umetokea bara hawa ndio wapokezi wako.. wewe unasifia kujazana bongo?? Kuna baadhi ya maeneo ni ukame huwezi wakuta watu waliotoka mfano Mbea nk ila wasukuma ni Wapagazi tunashukuru Mafia ndio wakulima wetu,Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Waulize dada zako!Washamba tu
NwanokoWaulize dada zako!
Bebhe nang'ho galusindo o'mbehi ebhe! Unyelile!Nwanoko
Hivi ndivyo wanaume tunavyotakiwa kuwa, ni kutimiza malengo ya kuletwa duniani.Siri ya wasukuma ni kuoa zaidi ya mke mmoja wao hawana mke mmoja mpaka kifo kiwatenganishe
Wanamimina tu mbegu hakuna uzazi wa mpango wala family planing
Na wanalea na kukuza
Hii ishu ya mke mmoja ni uvivu wa kufanya kazi
Tofauti ya wasukuma na wapemba ni lafudhi tu ila vilivyobaki sawa
Kwa nini wewe usijifungie chumbani na mkeo mzalishe hiyo cream unayohitaji badala yake umezalisha machangu wanaosumbua watu "nitumie na yakutolea" na masharobaro wanaoshinda betting point na kukaba watu mtaani.Issue sio kuzaliana kama kumbikumbi,tunataka watuzalie cream na sio mambumbumbu.