Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
- Thread starter
-
- #21
Sasa wewe umejifunga hapo kijiji kwenu tuu, tembea uone hawa ngosha walivyosambaa TZ na wao wanaoñgea kisukuma tuu kwa sauti kubwa kila mahali.Nipo kijiji cha Madihani hapa, sijawahi kumuona Msukuma maeneo haya.
Mzawa wa kijiji cha Iyoka, sijawahi kumuona Msukuma kwenye kijiji chetu.
Kwenye usafi ndo F aiseeKama wanakusikiliza wakumbushe usafi ni jambo la msingi sanaaa.
Kweli ila wapo kila sehemu halafu hawana tabia za wizi wao ni kazikazi tuu!Kuzaliana kama simbilisi na yenyewe siyo sifa nzuri ya kujivunia.
Wapo hiyo mikoa yote uliyosema hawapo, tena wengi sana. Hata visiwani Znz wengi tembelea sehemu za ujenzi ni wasukuma wengi wanaongea lugha yao tuu.Mikoa ya manyara, arusha, kilimanjaro, tanga, dar, pwani, lindi na mtwara huko hawajahamia kwa wingi kama mikoa mingine jirani na sukumaland. Ukiacha kwao mwanza, shinyanga, geita na simiyu tabora ni kama kwao na wameenda mpaka katavi, rukwa, ruvuma, mbeya, iringa, njojobe, singida, dodoma, morogoro, songwe, kigoma, kagera, kigoma na mara utawakuta wasukuma wengi tu katika vijiji vya mikoa hiyo.ni watu wazuri hawana dharau na wenyeji wao
Ni msukuma? Mnastahili pongezi kwa kweli.Nmepokea
Mtwara wapo kijiji cha lukwika ila idadi yao ni ndogo kulinganisha na mikoa mingine.Mikoa ya manyara, arusha, kilimanjaro, tanga, dar, pwani, lindi na mtwara huko hawajahamia kwa wingi kama mikoa mingine jirani na sukumaland. Ukiacha kwao mwanza, shinyanga, geita na simiyu tabora ni kama kwao na wameenda mpaka katavi, rukwa, ruvuma, mbeya, iringa, njojobe, singida, dodoma, morogoro, songwe, kigoma, kagera, kigoma na mara utawakuta wasukuma wengi tu katika vijiji vya mikoa hiyo.ni watu wazuri hawana dharau na wenyeji wao
Milemo for kaziKama kuna msukuma hapa anitajie neno la kisukuma linaloingia i na u nimpe liteni
Ja milemo nkoyiKama kuna msukuma hapa anitajie neno la kisukuma linaloingia i na u nimpe liteni
Wewe ndio mkabila.Unachochea ukabila mkuu.
Mimi ni msukuma ila sijapenda ulichoandika.
Uzuri wa hao jamaa huwa hawatelekezi mwanamke yaani wakimjaza wanalea hadi mtoto ajitegemee.Wengi sana bro
Milemo for kazi
Kumbe....mi ninachojua ni wastaarabu tu isipokuwa usafi kidogoo hawajaimproveUzuri wa hao jamaa huwa hawatelekezi mwanamke yaani wakimjaza wanalea hadi mtoto ajitegemee.
MinzeKama kuna msukuma hapa anitajie neno la kisukuma linaloingia i na u nimpe liteni