Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
- Thread starter
- #21
Sasa wewe umejifunga hapo kijiji kwenu tuu, tembea uone hawa ngosha walivyosambaa TZ na wao wanaoñgea kisukuma tuu kwa sauti kubwa kila mahali.Nipo kijiji cha Madihani hapa, sijawahi kumuona Msukuma maeneo haya.
Mzawa wa kijiji cha Iyoka, sijawahi kumuona Msukuma kwenye kijiji chetu.