Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Mikoa ya manyara, arusha, kilimanjaro, tanga, dar, pwani, lindi na mtwara huko hawajahamia kwa wingi kama mikoa mingine jirani na sukumaland. Ukiacha kwao mwanza, shinyanga, geita na simiyu tabora ni kama kwao na wameenda mpaka katavi, rukwa, ruvuma, mbeya, iringa, njojobe, singida, dodoma, morogoro, songwe, kigoma, kagera, kigoma na mara utawakuta wasukuma wengi tu katika vijiji vya mikoa hiyo.ni watu wazuri hawana dharau na wenyeji wao
Wapo hiyo mikoa yote uliyosema hawapo, tena wengi sana. Hata visiwani Znz wengi tembelea sehemu za ujenzi ni wasukuma wengi wanaongea lugha yao tuu.
Mimi nimewakubali sana.
 
Mikoa ya manyara, arusha, kilimanjaro, tanga, dar, pwani, lindi na mtwara huko hawajahamia kwa wingi kama mikoa mingine jirani na sukumaland. Ukiacha kwao mwanza, shinyanga, geita na simiyu tabora ni kama kwao na wameenda mpaka katavi, rukwa, ruvuma, mbeya, iringa, njojobe, singida, dodoma, morogoro, songwe, kigoma, kagera, kigoma na mara utawakuta wasukuma wengi tu katika vijiji vya mikoa hiyo.ni watu wazuri hawana dharau na wenyeji wao
Mtwara wapo kijiji cha lukwika ila idadi yao ni ndogo kulinganisha na mikoa mingine.
 
Siku nyingine ukiongea au kuandika kisukuma jitahidi usitumie herufi "i" na "u" (ai) na (yuu) Msukuma hana herufi hizo kwenye maneno yake, mlemhola sio mulimhola
 
Kama kuna msukuma hapa anitajie neno la kisukuma linaloingia i na u nimpe liteni
 
upo sahihi wasukuma wanakaribia watu milion 15 Tanzania roughly kat ya watu 13 Tanzania mmoja ni msukuma
 
Back
Top Bottom