Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Mimi nilikuwepo jana tulitumia dk 90
Kwahiyo Waandishi wa Habari wote ( Media ) zote na hata Magazeti ya Leo yaliyosema / yaliyoripoti kuwa Safari ya Majaribio ya Treni ya SGR jana kutoka Dar hadi Moro ni Saa 2 na Dakika 20 Wametudanganya na tukuamini Juha Mwandamizi Mmoja Wewe?
 

Source: Fastest Train In Africa: Lagos Is Number One - Politics - Nigeria
 
Wewe kenge ndo mana walisema hayo ni majaribio na wakaweka na mabehewa machache kuona je kilichojengwa kinaendana.
 
Sijui ni lini Wapumbavu mtaisha Tanzania.
 
GENTAMYCINE napenda sana kukutana na Great and Critical Thinkers wa aina yako hapa JamiiForums ila kwa bahati mbaya mno hampo wengi ila Mijuha ( Mipumbavu ) ndiyo imejazana na Kutwa tu Kazi yao ni Kusifu na Kupamba.
 
Hapa tunazungumzia ni majaribio...Hauwezi kimbia kwa speed inayotakiwa kwenye sehemu ambayo haujafanyia majaribio kuona je kila kitu kiko sawa hasa hayo mataluma na hizo waya za umeme.
Wahaya ( Watani zangu Wakubwa Mzanaki Mimi ) huwa wana Akili ( Werevu ), Wewe ni Mhaya gani Juha ( Fool ) kiasi cha Kusikitisha hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…