Gef
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 500
- 433
Mm
naona kwny issue ya waandishi tusiwanange sana hapa wa kuwauliza ni wahusika wa TRC kwa sababu hata hawa waandishi wao wamesema uhalisia na muda waliofika ambapo MD wa TRC bwana Masanja yeye asubuhi kbsa akihojiwa na kijaana wa Ayo tv alisema itachukua dk 90 lln uhalisia ukasema walitumia 2hr na dk 20 jiulize fafanua jiongeze then nyoosha kwenye ruler🤸Muandishi wa Azam TV akasema inapaswa kuwa dakika 90 tu.
Kipi ni kipi?