Ulianza haraka kumpangishia labda hata mshahara haukuwa kivile kwa ujuzi wake
Pole, ila nawe inabidi kweli jitafakari kama employer na kujirekebisha. Usionyeshe unatumia mtu na akunyenyekee kisa unamtoa kwenye maisha dunia kwa mshahara kama mtumwa. Nimeongeza tu hili
Lingine inaonekana hata references za wowote haukuchukua au hata namba za next of kin wake na kuhakiki
Ahsante ni funzo kwa wengi, ila hawa wa mmoja wawili wafanyakazi muhimu kujua wanapotoka makwao...
Naongezea.. Hii ikija kwenye wizi mtu unabeba familia yake hadi ajitokeze muhusika