Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Atakupigia simu siku moja kuomba kurudi. Mark my wordsInawezekana huko aliko aliongezewa kidogo, akaona powa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakupigia simu siku moja kuomba kurudi. Mark my wordsInawezekana huko aliko aliongezewa kidogo, akaona powa
Ukute alishinda betSasa bora ata angekaa miezi mitatu angalau atengeneze cv, sasa mwezi mmoja mbio
Mkuu hata ccm waliahatuona jinsi tulivyo ndio maana wanajipigia tu wao na familia zao.Nitatolea mfano halisi ambao nimekutana nao mimi:-
Kuna kijana mmoja alijitangaza mtandaoni anatafuta kazi, amehitimu mwaka juzi kwenye mambo ya IT.
Katika kumuhoji kweli, ikaonekana ana shida ya kazi kweli kwa sababu ata kula yake ilikuwa ni ya shida.
Nikaumiza kichwa, nikaona huyu atanifaa kwenye eneo fulani katika shughuli zangu, nimuweke pale huku akijishikiza lakini pia anapata kipato kwa kiasi fulani.
Ikabidi nimtumie nauli kule alikokuwa mpaka ofisi ilipo, nikampangishia vyumba viwili, pamoja na kuhakikiha ofisi inamuhudumia chakula kuanzia asubuhi mpaka cha usiku. Muhimu afanye kazi kwa utulivu.
Kweli alikuwa anafanya kazi kwa bidii, mpaka nikaona huyu ndio kijana niliyekuwa nikimtafuta. Kichwani nikawa nampangia malengo ya muda mrefu, ikiwepo namna ya kumboreshea maisha yake kwa sababu nilijua kwa spidi yake ile huko mbeleni nitaanza kupata faida.
Baada tu ya kumpatia mshahara wa mwezi mmoja, siku ya nne akanitumia ujumbe usiku wa saa nane, ya kuwa anaelekea mkoani baba yake ni mgonjwa yuko hoi anaenda kumuuguza kwa hiyo yuko safarini.
Nikaitafakari ule ujumbe,nikajiuliza kwa nini anitumie muda huu wa usiku, na mimi nilikuwa niko mbali, pia hakutoa taarifa kwa msimamizi wake.
Asubuhi nampigia simu zangu, hapokei; kesho yake nampigia simu hapokei tena, ndipo akanitumia ujumbe yuko hospitalini anamuuguza baba yake, ila nikimpigia simu hapokei.
Ndipo nikamwambia dada mmoja awasiliane naye kwa namba ambayo haitambui, akapokea vizuri na akaongea; ndipo nikajua huyu ameacha kazi kiuswahili bila kufuata utaratibu.
Mbaya zaidi, makazi yake nilikuwa nimeshalipia miezi mitatu achilia mbali gharama zingine.
Kwa ujumla alifanya ofisi yangu iyumbe kwa muda; ila nikawa nimejifunza watafuta ajira asa hawa wakiswahili sio watu wakuwaamini sana,ndio maana wengi hawaajiriki.
Mtu aliyetoka kwenye umaskini wa kutupa anaona laku tatu na 50 ni ndogo?Inawezekana ikawa hivyo, kwa sababu alikuwa akipokea 350, amelipiwa kwa kukaa, na anakula bure kuanzia asubuhi mpaka jioni
Shida zake ziliisha ndani ya Mwezi Mmoja?Sasa ulitaka huyo kijana akae hapo forever?
Ni muda wake wakuondoka.
Unapomsaidia mtu usitegemee kwamba atakaa na wewe milele.
Na yeye ana plan zake kichwani.
Unaajiri Mdada abakuja analia shida, akishapata ajira baada ya mieI miwili tu anakwambia ana mimba. Hapo anataka apatw Excuses za kazi, muda wa kazi na routines zingine.Sasa bora ata angekaa miezi mitatu angalau atengeneze cv, sasa mwezi mmoja mbio
Wanashinda kwenyw Bongo Fleva wanadanganyana Bora ni Enjoy, maisha mafupi ni simple......Thay think it is real life.Tatizo kubwa ni uvumilivu, lakini ndio hivyo kila mtu na kichwa chake
dogo amekosea kuondoka kama anaondoka klabu ya pombe za kienyeji. watu wa ukimani sio wa kuwaonea huruma muda wowote wanatikisa miti..wamezoea nyika.Hakuna namna, tuendelee tu kulalamika ajira hakuna
Wenzako tumezoea! Kuamka asubuhi unakuta Wafanyakazi wako kadhaa wamekublock ni kawaida. Ndiyo maana tunahakikisha tunaajiri na wa akiba ili (wa)akiindoka katika Idara nyeti, taasisi isiyumbe! Ni gharama maana unalipia NSSF, PAYE, WCF etcNitatolea mfano halisi ambao nimekutana nao mimi:-
Kuna kijana mmoja alijitangaza mtandaoni anatafuta kazi, amehitimu mwaka juzi kwenye mambo ya IT.
Katika kumuhoji kweli, ikaonekana ana shida ya kazi kweli kwa sababu ata kula yake ilikuwa ni ya shida.
Nikaumiza kichwa, nikaona huyu atanifaa kwenye eneo fulani katika shughuli zangu, nimuweke pale huku akijishikiza lakini pia anapata kipato kwa kiasi fulani.
Ikabidi nimtumie nauli kule alikokuwa mpaka ofisi ilipo, nikampangishia vyumba viwili, pamoja na kuhakikiha ofisi inamuhudumia chakula kuanzia asubuhi mpaka cha usiku. Muhimu afanye kazi kwa utulivu.
Kweli alikuwa anafanya kazi kwa bidii, mpaka nikaona huyu ndio kijana niliyekuwa nikimtafuta. Kichwani nikawa nampangia malengo ya muda mrefu, ikiwepo namna ya kumboreshea maisha yake kwa sababu nilijua kwa spidi yake ile huko mbeleni nitaanza kupata faida.
Baada tu ya kumpatia mshahara wa mwezi mmoja, siku ya nne akanitumia ujumbe usiku wa saa nane, ya kuwa anaelekea mkoani baba yake ni mgonjwa yuko hoi anaenda kumuuguza kwa hiyo yuko safarini.
Nikaitafakari ule ujumbe,nikajiuliza kwa nini anitumie muda huu wa usiku, na mimi nilikuwa niko mbali, pia hakutoa taarifa kwa msimamizi wake.
Asubuhi nampigia simu zangu, hapokei; kesho yake nampigia simu hapokei tena, ndipo akanitumia ujumbe yuko hospitalini anamuuguza baba yake, ila nikimpigia simu hapokei.
Ndipo nikamwambia dada mmoja awasiliane naye kwa namba ambayo haitambui, akapokea vizuri na akaongea; ndipo nikajua huyu ameacha kazi kiuswahili bila kufuata utaratibu.
Mbaya zaidi, makazi yake nilikuwa nimeshalipia miezi mitatu achilia mbali gharama zingine.
Kwa ujumla alifanya ofisi yangu iyumbe kwa muda; ila nikawa nimejifunza watafuta ajira asa hawa wakiswahili sio watu wakuwaamini sana,ndio maana wengi hawaajiriki.
Ukweli ni kuwa mtu anaondoka kutokana na maslahi. Ila kinachoumiza sisi waajiri ni jinsi ya kuacha kazi. Kawaida unampatia taarifa mwajiri iwe masaa 48 au mwezi etc. Mikataba inambana tu mwajiri si mwajiriwa.Ulianza haraka kumpangishia labda hata mshahara haukuwa kivile kwa ujuzi wake
Pole, ila nawe inabidi kweli jitafakari kama employer na kujirekebisha. Usionyeshe unatumia mtu na akunyenyekee kisa unamtoa kwenye maisha dunia kwa mshahara kama mtumwa. Nimeongeza tu hili
Lingine inaonekana hata references za wowote haukuchukua au hata namba za next of kin wake na kuhakiki
Ahsante ni funzo kwa wengi, ila hawa wa mmoja wawili wafanyakazi muhimu kujua wanapotoka makwao...
Naongezea.. Hii ikija kwenye wizi mtu unabeba familia yake hadi ajitokeze muhusika
Huwezi kujua maadam kijana kaamua kuondoka basi ni kumuacha aende.Shida zake ziliisha ndani ya Mwezi Mmoja?
Huyo alikuwa na demu sasa ile kupata laki tatu kwa pamoja akachachawa😂😂
Solution ya mshahara mdogo ni kukimbia mwajiri right?.. Siku hizi kuna graduate wasomi ila mbumbumbu wa kutosha na wengi hawajitambui😂😂😂😂😂 may be aliona mshahara mdogo