Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Nilichukulia positive tu, kwenye kampuni wapo wanaoingia na kutoka piaUlianza haraka kumpangishia labda hata mshahara haukuwa kivile kwa ujuzi wake
Pole, ila nawe inabidi kweli jitafakari kama employer na kujirekebisha. Usionyeshe unatumia mtu na akunyenyekee kisa unamtoa kwenye maisha dunia kwa mshahara kama mtumwa. Nimeongeza tu hili
Lingine inaonekana hata references za wowote haukuchukua au hata namba za next of kin wake na kuhakiki
Ahsante ni funzo kwa wengi, ila hawa wa mmoja wawili wafanyakazi muhimu kujua wanapotoka makwao...
Naongezea.. Hii ikija kwenye wizi mtu unabeba familia yake hadi ajitokeze muhusika
Inawezekana huko aliko aliongezewa kidogo, akaona powaDuh h n kubwa mno, ila dah ndo hvy kila mtu na akili yake
150k
Okay150k
Inawezekana kuna sehemu alishawishiwa dau zuri, hiyo sikatai; basi aga vizuri, mambo ya visingizio mara nimefiwa na bibi hayasaidii, dunia ni duara.Alikuwa mshenzi tu,vitoto vya sasa macho juujuu haviridhiki... wataka Nini sijui.... changamoto
Hakuna cha uzungu, bali ni kustaarabika tuNyie wazungu mmetuacha mbali sana
Yamenikuta hayo,kiufupi hawajui Nini wanataka mkuuInawezekana kuna sehemu alishawishiwa dau zuri, hiyo sikatai; basi aga vizuri, mambo ya visingizio mara nimefiwa na bibi hayasaidii, dunia ni duara.
Hapana mkuu, tunashea uzoefu tuUmekuja kunisema huku sawa boss
Kwa mazingira hayo, hakuna haja ya kuoneana huruma kwenye ajiraSasa ulitaka huyo kijana akae hapo forever?
Ni muda wake wakuondoka.
Unapomsaidia mtu usitegemee kwamba atakaa na wewe milele.
Na yeye ana plan zake kichwani.
Hakuna namna, tuendelee tu kulalamika ajira hakunaKiongozi Mungu atusimamie watanganyika.
All the best
Nafanya na wa-bangladeshKwa hiyo Sasa umeajiri wahindi na wachina?
Hatakama mshahara ni mdogo ikiwa hajagombana na boss wakeπππππ may be aliona mshahara mdogo
Hakuna namna, ukimuonea huruma yeye anakuona fursaNa tumfanye mtu kwa mfano wetu........
Hapa God ndo alikosea maana binadam ni nusu God huwez kumfuga kama mbuzi mpaka umuwekee sheria kali sana.......na bado atazivunjaaaaa
Hujakosea.Mkuu..that was a retention mechanism kwa kumpunguzia cost of living sema imekutana na mpuuzi asiyebebeka.Nilichukulia positive tu, kwenye kampuni wapo wanaoingia na kutoka pia