unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,045
Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Uganda katika kikao cha Makatibu Wakuu wa Kenya, Uganda na Tanzania kujadili mradi wa Bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda.
Kikao hicho kiliisha Saa 6:30 mchana bila makubaliano baada ya wajumbe wa Kenya kukataa kusaini makubaliano ambayo mapendekezo yote yanataka Mradi huo upite Hoima Uganda hadi Bandari ya Tanga (Tanzania).
Mtoa taarifa ametutaarifu Kuwa maoni ya Uganda kwenye Mradi huu nanukuu "Recommendations and firm conclusions of the Govt of Uganda is as follow:-
(1) The Tanzania Route provides the most economic and robust option for transportation of Uganda's crude oil because of the various advantages it has over the Routes through Kenya.
(2) The Kaabale-Tanga route promotes the development of an integrated regional pipeline project for oilfields of Kenya, S Sudan, DRC, Tanzania, Rwanda and Burundi'
Baada ya Uganda kutoa taarifa hiyo kulizuka mjadala kutoka kwa Katibu Mkuu wa Kenya na wataalam wake wakihoji kutokubaliana na majumuisho yakiofanywa na Serikali ya Uganda. Kikao kikiahirishwa bila Kuwa na mwafaka na Sasa kasi hiyo wameachiwa mawaziri wa Sekta husika katika kikao kitakachofanyika Saa 10 Jioni.
Habari tulizopata kutoka Ndani ya kikao hicho zinaeleza Serikali ya Uganda imekasirishwa na utaratibu unaotumiwa na Kenya ambapo kila kikao wanachoitwa wanashindwa na Watanzania lakini wanagoma kukubali matokeo ya wataalam na kuanzisha mjadala upya. Wajumbe wa Uganda walisikika wakisema 'Tumechoka na hawa watu, tulianza nao hii project miaka miwili iliyopita lakini hatujamaliza na hadi Leo wanaleta njia mpya ambayo haijafanyiwa tathimini, watuache tuendelee Kama wameshindwa"
Kauli hizo za wajumbe wa Uganda zinaonyesha kukubali Moja Kwa Moja Mradi huu upite Tanzania na kikao Cha Mawaziri kinaweza kikawa kifusi zaidi Kama Kenya watashindwa kukubali basi hatua ya Mwisho ni mkutano wa Marais watatu wa Kenya, Uganda na Tanzania baadae mwezi huu.
Kikao hicho kiliisha Saa 6:30 mchana bila makubaliano baada ya wajumbe wa Kenya kukataa kusaini makubaliano ambayo mapendekezo yote yanataka Mradi huo upite Hoima Uganda hadi Bandari ya Tanga (Tanzania).
Mtoa taarifa ametutaarifu Kuwa maoni ya Uganda kwenye Mradi huu nanukuu "Recommendations and firm conclusions of the Govt of Uganda is as follow:-
(1) The Tanzania Route provides the most economic and robust option for transportation of Uganda's crude oil because of the various advantages it has over the Routes through Kenya.
(2) The Kaabale-Tanga route promotes the development of an integrated regional pipeline project for oilfields of Kenya, S Sudan, DRC, Tanzania, Rwanda and Burundi'
Baada ya Uganda kutoa taarifa hiyo kulizuka mjadala kutoka kwa Katibu Mkuu wa Kenya na wataalam wake wakihoji kutokubaliana na majumuisho yakiofanywa na Serikali ya Uganda. Kikao kikiahirishwa bila Kuwa na mwafaka na Sasa kasi hiyo wameachiwa mawaziri wa Sekta husika katika kikao kitakachofanyika Saa 10 Jioni.
Habari tulizopata kutoka Ndani ya kikao hicho zinaeleza Serikali ya Uganda imekasirishwa na utaratibu unaotumiwa na Kenya ambapo kila kikao wanachoitwa wanashindwa na Watanzania lakini wanagoma kukubali matokeo ya wataalam na kuanzisha mjadala upya. Wajumbe wa Uganda walisikika wakisema 'Tumechoka na hawa watu, tulianza nao hii project miaka miwili iliyopita lakini hatujamaliza na hadi Leo wanaleta njia mpya ambayo haijafanyiwa tathimini, watuache tuendelee Kama wameshindwa"
Kauli hizo za wajumbe wa Uganda zinaonyesha kukubali Moja Kwa Moja Mradi huu upite Tanzania na kikao Cha Mawaziri kinaweza kikawa kifusi zaidi Kama Kenya watashindwa kukubali basi hatua ya Mwisho ni mkutano wa Marais watatu wa Kenya, Uganda na Tanzania baadae mwezi huu.