Tetesi: Wataalam wa Kenya washindwa kutetea mradi wa bomba la mafuta

Tetesi: Wataalam wa Kenya washindwa kutetea mradi wa bomba la mafuta

Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Bomba linapita Tz, whether you sign or not. EAC ya leo si ya jana, kila mtu mjanja.

Mtaisoma namba.
 
Kenyans are fake!

Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.

Nyie mtakua shangazi tu, haiwezekani baba ugomvi wa nyumbani kwake ukamshinda yeye akakimbilia ufaranasa kwa Hollande kuomba msaada wa kuishawishi Total. Mmeshapoteza sifa ya kuwa baba

Wapi mliwahi kupigana vita hadi mjiite baba? Tanzania imepigana Mozambique, Angola, Namibia na Uganda.
Nyie the most ni hapo Somalia na mnapigwa kila siku na majambazi wa AlShabab. Baba huenda vitani na mama hubaki nyumbani

Siku zote Watanzania wamekuwa wanaambia hawa jirani kwamba Watanzania sio watu wa kujitapa na kujitangaza kila pembe ya dunia, na ukimya wao sio kama hawajui kitu, sasa wataisoma number huko huko kwa M7.

Mkuu MK254
Tanzania na Uganda wametumia itifaki tu ya kuihusisha Kenya ktk suala hili, bado wana uwezo wa kuamua bila kuihusisha Kenya. Lakini hadi sasa Kenya inaona ni haki yake kwenye hii dili. Mambo hubadilika kutokana na fursa. "The sleeping Giant is now awake" please be aware meli imekwisha ng'oa nanga.

hapo ndipo ninapoikubali serikali. hii mpya.JPM+MHONGO hapo lazima Kenya wakae.

hujui regional diplomacy ya E.A kila mradi unaohusisha nchi more than two lazima kila member akubaliane na maamuz ya pande zote
kwa mfano ktk hii issue ya bomba ilihusisha kenya,Tanzania na Uganda so lazima maamuz yakubaliwe na pande zote mbili otherwise kunaweza kutokea sintofahamu juu ya baina ya wanachama ndio maana kenya wanatakiwa watie saini makubaliano
sasa wewe ny'ang'au waambie hao viongoz wako wa kenya waandae point za msingi na sio kugomea kusaini huku hawana jipya wanajiaibisha usilazimishe kitu ukiwa huna sifa ya kukufanya sasa hapo u baba wenu wa EAC kwa hali hii your hopeless

Now Tz tuna waziri wa nishati na madini mwenye akili timamu, anaejua kuchangamkia fursa. Big up Muhongo

Ama kweli wee ni nyangau. TUTAJUA BABA NA MAMA NI YUPI BOMBA LITAKAPOANZA KUJENGWA. Atakayeshindwa kuchukua huu mradi atakuwa kaliwa kwa hiyo atakuwa mama.

Tusubiri tu wee nyangau muda utasema.

TANZANIA NI NCHI KAMILI INAMAMLAKA,
UGANDA NI NCHI KAMILI NA INAMAMLAKA.
TABU IPO WAPI?
KWANI E.A INAUWEZO WA KUZUIA NCHI MBILI MIONGONI MWA E.A KUFANYA BIASHARA?
TANZANIA TUNA GESI TUNATAKA PELEKA RWANDA KENYA ITAWEZAJE KUZUIA?
*Kenya inaipa homa E.A.for nothing /

Mkuu tatizo ni hili.Total ya Ufaransa wenye Pesa Na wachimbaji wa mafuta.Uganda wana mafuta.
Tanzania Na Kenya wanataka mafuta yapitia katika Bandari zao. Uganda walikubaliana Na TZ bomba lipitishwe Bandari ya Tanga.Kenya wanawatonga wa Ganda ili bomba lipitishwe Kenya Bandari ya Lamu.
Kwa kifupi Kenya wana itaka hii dili
Na SISI hatuachii ng'ooooooo

Kenya, Uganda, na Rwanda miaka michache iliyopita waliunda umoja wao waliouita Coalition of the Willing (CoW) wakizitenga Tanzania na Burundi na sisi Tz tukiwaacha waendelee ; sasa nao Kenya watuache Tanzania na Uganda tuendelee na ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga, Tanzania.

Vv

Na Lamu kwenyewe hakuna bandari ndio wanadai wataijenga na hela hawana, wakati Tanga bandari tayari ipo.

Mwl. Nyerere alipowaita nyang'au hakukosea na aliona mbali. Tusishangae hawa jamaa wakivunja tena jumuiya ya Afrika Mashariki.

Ahsante kwa ufafanuzi mkuu.... kama mwenye mafuta kasema yapite Tanga na financier karidhika then Kenya wana lipi lao hapa? Wachape lapa...
Bomba nitapita tz
 
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Nani kasema nyinyi ndio wenye EAC kweli nyang'au atabaki nyang'au.

Umeshindwa hata kuelewa dhima ya vikao hivyo.

Hapo tunataka free and fair trade njoo na facts za kusupport adhma yenu kwamba mradi upite kwenu na sisi tumekuja na zetu.

Then tunawapiga bao halafu mnalialia mnajifanya mnagoma kawa mwanamke alienyimwa unyumba.

This is TANZANIA your elder brother so Kenyans behave yourself.
 
Makubaliano tulisaini miaka miwili iliyopita, lakini mwenye hela Total amesema vinginevyo, hivyo hatuwezi shindana naye. Hapa nashangaa yaani mnapoisifia kwamba nyie mnaelekea kushinda, yaani hapa ushindani ni upi. Mnipe kazi ya kuwatetea muone hata siku moja haitaisha kama hatujafunga huu ukurasa. Jameni Watanzania muwe watu wa kujituma.

Hebu leo mnipe kazi ya kutangaza japo hata kivutio kimoja kwenu.
Mshashindwa kwenye dili hii, mlijiona wajanja sana, mambo yamebadilika sasa, Tz imeamka.

Total ndio mwenye hela Kenya hawawezi kusema chochote,

Tz inasonga mbele.
 
Upo sahihi sana kadoda11 yaani tungekua na hata robo ya raslimali mlizonazo, tungeitawala hii Afrika. Tuwe tu hata na vitalu viwili. Aki ya nani hii Afrika ingetutambua, sasa hivi tuna nchi ndogo halafu nusu yake ni kame, tunachezea mabomu ya Alshabaab lakini pamoja na yote, tunaongoza EAC yote kwa kila kitu.

MK2 Hata kama una haki katika baadhi ya unayoyasema, lakini nakuomba urejee kidogo historia. Kenya iliachwa vizuri mno na mkoloni kuliko nchi yeyote Afrika ukitoa Afrika Kusini. Hata Kenyatta siku aliposhika madaraka aliwashukuru Waingereza kwa kuicha Kenya " hatua kumi mbele ya nchi za Afrika"
Tanzania imejijenga yenyewe from the scratch. Sitaki kufanya excecuses, lakini kuna sababu za Kihistoria (pia) katika kuchelewa kwa Tanzania. Ila tumeziongeza kwa kuwa na siasa mbaya na viongozi bongo lala.
 
Mimi nisicho elewa kwa nini Serikali ya Uganda inaonekana haina msimamo thabiti, inaendela ku entertain Wakenya wanao move goal post kila kikao - Waganda wanashindwaje kuwaeleza ukweli Wakenya, wanawaogopa nini?
 
Wakenya walishazoea kutuburuza kama misukule yao..hiki wanachokiona sasa ni kigeni kwao.wanaona jini kachomoka kwenye chupa!!sioni mwisho mwema wa mahusiano yetu.lakini acha iwe hivyo..si majirani wema hawa.
 
M
Kenyans are fake!

Mkuu kama wangekuwa fake Musevini angeisha watimua, sasa mbona bado wapo wanapigana kufa na kupona kunyakua mradi huu, hawa watu wametufundisha kitu kimoja nacho ni kuwa aggresive at all times, haya mambo ya kubweteka na kufikiri mambo yatajipa eti kwa kuwa Tanzania na Uganda na marafiki, mawazo hayo potofu hayawezi kutufikisha mbali hata kidogo.

Mwisho wa siku tutakuja gundua kwamba pamoja na utani wa MK 254 mambo mengi anayo yasema yana ukweli ndani yake.
 
Upo sahihi sana kadoda11 yaani tungekua na hata robo ya raslimali mlizonazo, tungeitawala hii Afrika. Tuwe tu hata na vitalu viwili. Aki ya nani hii Afrika ingetutambua, sasa hivi tuna nchi ndogo halafu nusu yake ni kame, tunachezea mabomu ya Alshabaab lakini pamoja na yote, tunaongoza EAC yote kwa kila kitu.
wakenya kweli kabisa mnaongoza EAC kila kitu hadi kupigwa na wake zenu pia mnaongoza, ha ha haaaaaaaaaa
 
Bora wewe umeonekana kuelewa, ukweli wa huu ushindani ni kwamba hapahitaji ushindani maana kila advantages zipo Bongo. Ni kama kucheza soka kwenye uwanja ambao kama mlima, goli la mshindani wako liko kule juu wakati la kwako liko chini.
Mkuu. Cant you just be wise japo kwa siku moja?
Unadhani haya unayoyaandika huku unaijengea nchi yako picha gani?

Inaonekana ni MTU mzima sana ila unaendeshwa na mihemko na sio utashi,
Unaambiwa Kenya kushirikishwa ni Busara tu hasa ukizingatia ni mradi unaohusisha nchi za Jumuiya moja. Yaani mzee mzima unafurahia kukwamisha mambo. Shame!!
And for this attitude of yours,
EAC will never be one Nation.
 
Ama kweli wabongo ni watu dhaifu sana kwenye masuala ya biashara za kimataifa. Hili la bomba limedhihirisha mpo hafifu sana, mna timu ambayo inafaa ipewe darasa kuhusu negotiations. Yaani ingekua sisi Wakenya ndio tuna hizo advantage mlizo nazo, hata hatungekua tunajadili chochote. Ni dhahiri kwamba
- Mzungu wa Total ameshaweka tayari pesa za ujenzi wa bomba, wakati sisi tunategemea kukopa
- Tanzania imetoa ardhi bure, wakati sisi tunategemea kununua
- Mkondo wa Tanzania ndio mfupi, wakati sisi kwetu ni umbali sana tena maeneo kame
- Tanzania inayo bandari tayari, wakati sisi hata bandari hatujaanza kujenga
- Tanzania haina tishio la ugaidi, wakati sisi tunachezea mabomu
- Serikali ya Tanzania imefaulu kuwatuliza watu wake kisiasa, wakati sisi tumewahi kung'oa reli inayokwenda Uganda
- Juzi tumeona kwa taarifa Tanzania imeamua kutotoza ada yoyote wala kodi, wakati sisi tumesisitiza lazima Museveni alipie

Yaani naweza andika kurasa nyingi sana kwanini bomba lipitie Tanzania. Ingekua sisi Wakenya ndio tuna advantages zote hizo, hii ni kazi ya kufanywa na mtu mmoja, hata hatungetumia timu kama jinsi Watanzania wamejazana kule Kampala. Mtu mmoja tu kama mimi binafsi naweza kumaliza mchezo.

Watanzania mtazidi kubaki kuwa watu hafifu sana. Mnatia huruma kuona eti mnashabikia wakati hapa hata hapafai kuwa na ushindani.


Franco Zetta unanitaka Crocodiletooth Vyamavingi Susuma BONGE BONGE mwanawao Doto Dotto rais wako zinj
HEKIMA KWANZA Sibonike kkenzki kadoda11


mapovu mengi ningekuona wa maana kama bomba mgeweza kupitishia kenya wala hujui kua hii dili mlipewa nyinyi na mkasainishana na MoU ila magufuli kawanyang'anya tonge mdomo within a single day alivyokutana na museven na wakasaini na MoU sasa nyie mmeshindwa kuwashawishi waganda kwa miaka miwili ila magufuli kafanya kwa siku moja acha bla blah wakati hujui nyie ndo losser katika hii issue
 
Mkuu Vv,
Sikukuelewa, Rwanda na Burundi hawana crude. Wanaigiaje kwenye hesabu za bomba la crude kutoka Uganda kwenda Tanga?

Wanaweza kujenga Refinery Rwanda na kurefusha bomba hadi Burundi na East DRC. Kwao itakuwa economic viable maana ni karibu zaidi na source ya visima vya mafuta kuliko kuagiza mafuta yaliyosafishwa kutoka Uarabuni.

Vv
 
Wanaweza kujenga Refinery Rwanda na kurefusha bomba hadi Burundi na East DRC. Kwao itakuwa economic viable maana ni karibu zaidi na source ya visima vya mafuta kuliko kuagiza mafuta yaliyosafishwa kutoka Uarabuni.

Vv
Kama Rwanda inajenga refinery bado Hoima-Tanga haiingii kwenye hesabu zao. Wanavuta bomba kutoka Hoima kwenda kwao bila involvement ya tanzania. Angalia ramani tena.
 
Kama Rwanda inajenga refinery bado Hoima-Tanga haiingii kwenye hesabu zao. Wanavuta bomba kutoka Hoima kwenda kwao bila involvement ya tanzania. Angalia ramani tena.

Haya mambo mnayoogea hayapo kabisa,Refinery inajengwa uganda na 60% share itakuwa ni ya mwekezaji ambaye tayari Total ameshasema atajenga na 40% itakuwa ni ya government pamoja na wadau wengine kama vile serikali ya Kenya ambayo imeshatoa 10bn kama 2.7% ya share.

Rwanda,burundi,DRC na Tanzania tutatarajia kupata refined oil kutoka uganda kufikia mwaka 2020 hiyo plant itakapokamilika.
 
TANZANIA NI NCHI KAMILI INAMAMLAKA,
UGANDA NI NCHI KAMILI NA INAMAMLAKA.
TABU IPO WAPI?
KWANI E.A INAUWEZO WA KUZUIA NCHI MBILI MIONGONI MWA E.A KUFANYA BIASHARA?
TANZANIA TUNA GESI TUNATAKA PELEKA RWANDA KENYA ITAWEZAJE KUZUIA?
*Kenya inaipa homa E.A.for nothing /
Sisi tunafuata itifaki kwa sababu wote tuko ndani ya EAC na hawa Kenya wanahusishwa tu only because walishaongea na kutaka kufanya hii project na Uganda lkn Uganda na Total walipokuja kufanya feasible study wakaona route ya Kenya haifai.
 
Upo sahihi sana kadoda11 yaani tungekua na hata robo ya raslimali mlizonazo, tungeitawala hii Afrika. Tuwe tu hata na vitalu viwili. Aki ya nani hii Afrika ingetutambua, sasa hivi tuna nchi ndogo halafu nusu yake ni kame, tunachezea mabomu ya Alshabaab lakini pamoja na yote, tunaongoza EAC yote kwa kila kitu.

Duh haya mapya..hivi kati ya Kenya na ethiopia ipi ni nchi ambayo haina resources ????....
Guess mnacheza league moja so,kuna nchi hazina advantage kama zenu lakini bado katika maendeleo hamuwakamati

hivyo, what is the proper name to call you than bunch of loosers who always search for excuses to justify their failure..

Kama hizo resources chache mmeziweka katika kizazi cha viongozi seuze kuwa na akili ya kuicontrol africa!!!!!...kumbuka bila ya umaskini wenu hiyo innovative mind msingeipata...

Wakenya huwa nawapenda kama ndugu ila dharau zenu zinatuchosha..hebu jilinganisheni na wanajangwa wenzenu mlioendelea
 
Mimi nisicho elewa kwa nini Serikali ya Uganda inaonekana haina msimamo thabiti, inaendela ku entertain Wakenya wanao move goal post kila kikao - Waganda wanashindwaje kuwaeleza ukweli Wakenya, wanawaogopa nini?
Msimamo wa Uganda ulisababishwa na ubabaishaji wa Mkwere. Toka mwanzo, Tanzania ingekuwa makini wala tusingekuwa na huu mjadala. Museveni alikuja Tz kwa suala lakini Mkwere hakufuatilia. Safari zake ndiyo matunda yake hayo.
 
Back
Top Bottom