Tetesi: Wataalam wa Kenya washindwa kutetea mradi wa bomba la mafuta

Tetesi: Wataalam wa Kenya washindwa kutetea mradi wa bomba la mafuta

Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Nyie mtakua shangazi tu, haiwezekani baba ugomvi wa nyumbani kwake ukamshinda yeye akakimbilia ufaranasa kwa Hollande kuomba msaada wa kuishawishi Total. Mmeshapoteza sifa ya kuwa baba
 
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Wapi mliwahi kupigana vita hadi mjiite baba? Tanzania imepigana Mozambique, Angola, Namibia na Uganda.
Nyie the most ni hapo Somalia na mnapigwa kila siku na majambazi wa AlShabab. Baba huenda vitani na mama hubaki nyumbani
 
Siku zote Watanzania wamekuwa wanaambia hawa jirani kwamba Watanzania sio watu wa kujitapa na kujitangaza kila pembe ya dunia, na ukimya wao sio kama hawajui kitu, sasa wataisoma number huko huko kwa M7.
 
Mkuu MK254
Tanzania na Uganda wametumia itifaki tu ya kuihusisha Kenya ktk suala hili, bado wana uwezo wa kuamua bila kuihusisha Kenya. Lakini hadi sasa Kenya inaona ni haki yake kwenye hii dili. Mambo hubadilika kutokana na fursa. "The sleeping Giant is now awake" please be aware meli imekwisha ng'oa nanga.
 
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yen
 
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
hujui regional diplomacy ya E.A kila mradi unaohusisha nchi more than two lazima kila member akubaliane na maamuz ya pande zote
kwa mfano ktk hii issue ya bomba ilihusisha kenya,Tanzania na Uganda so lazima maamuz yakubaliwe na pande zote mbili otherwise kunaweza kutokea sintofahamu juu ya baina ya wanachama ndio maana kenya wanatakiwa watie saini makubaliano
sasa wewe ny'ang'au waambie hao viongoz wako wa kenya waandae point za msingi na sio kugomea kusaini huku hawana jipya wanajiaibisha usilazimishe kitu ukiwa huna sifa ya kukufanya sasa hapo u baba wenu wa EAC kwa hali hii your hopeless
 
Now Tz tuna waziri wa nishati na madini mwenye akili timamu, anaejua kuchangamkia fursa. Big up Muhongo
 
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.

Ama kweli wee ni nyangau. TUTAJUA BABA NA MAMA NI YUPI BOMBA LITAKAPOANZA KUJENGWA. Atakayeshindwa kuchukua huu mradi atakuwa kaliwa kwa hiyo atakuwa mama.

Tusubiri tu wee nyangau muda utasema.
 
TANZANIA NI NCHI KAMILI INAMAMLAKA,
UGANDA NI NCHI KAMILI NA INAMAMLAKA.
TABU IPO WAPI?
KWANI E.A INAUWEZO WA KUZUIA NCHI MBILI MIONGONI MWA E.A KUFANYA BIASHARA?
TANZANIA TUNA GESI TUNATAKA PELEKA RWANDA KENYA ITAWEZAJE KUZUIA?
*Kenya inaipa homa E.A.for nothing /
 
Tatizo ni nini hasa? Financiers ni kina nani maana nategemea mwenye mradi na wenye pesa kuwa na majibu ya huu mvutano..... otherwise mradi huu unakuwa financed na E.A. Community.... kweli mi sielewi kabisa kwa nini kuwe na huu mvutano.....
Mkuu tatizo ni hili.Total ya Ufaransa wenye Pesa Na wachimbaji wa mafuta.Uganda wana mafuta.
Tanzania Na Kenya wanataka mafuta yapitia katika Bandari zao. Uganda walikubaliana Na TZ bomba lipitishwe Bandari ya Tanga.Kenya wanawatonga wa Ganda ili bomba lipitishwe Kenya Bandari ya Lamu.
Kwa kifupi Kenya wana itaka hii dili
Na SISI hatuachii ng'ooooooo
 
TANZANIA NI NCHI KAMILI INAMAMLAKA,
UGANDA NI NCHI KAMILI NA INAMAMLAKA.
TABU IPO WAPI?
KWANI E.A INAUWEZO WA KUZUIA NCHI MBILI MIONGONI MWA E.A KUFANYA BIASHARA?
TANZANIA TUNA GESI TUNATAKA PELEKA RWANDA KENYA ITAWEZAJE KUZUIA?
*Kenya inaipa homa E.A.for nothing /

Kenya, Uganda, na Rwanda miaka michache iliyopita waliunda umoja wao waliouita Coalition of the Willing (CoW) wakizitenga Tanzania na Burundi na sisi Tz tukiwaacha waendelee ; sasa nao Kenya watuache Tanzania na Uganda tuendelee na ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi bandari ya Tanga, Tanzania.

Vv
 
Mambo haya hahahhh hapana cheze Tizeeee big up profesa muhongo. Upande wa pili hawaonekani. Balaaa
 

Attachments

  • 1460475220533.jpg
    1460475220533.jpg
    56.3 KB · Views: 37
  • 1460475242356.jpg
    1460475242356.jpg
    55.9 KB · Views: 37
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.

Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Somalia maana ume mfuata jikoni sasa ana kurudi.
 
Mkuu tatizo ni hili.Total ya Ufaransa wenye Pesa Na wachimbaji wa mafuta.Uganda wana mafuta.
Tanzania Na Kenya wanataka mafuta yapitia katika Bandari zao. Uganda walikubaliana Na TZ bomba lipitishwe Bandari ya Tanga.Kenya wanawatonga wa Ganda ili bomba lipitishwe Kenya Bandari ya Lamu.
Kwa kifupi Kenya wana itaka hii dili
Na SISI hatuachii ng'ooooooo
Na Lamu kwenyewe hakuna bandari ndio wanadai wataijenga na hela hawana, wakati Tanga bandari tayari ipo.
 
Back
Top Bottom