Nyie mtakua shangazi tu, haiwezekani baba ugomvi wa nyumbani kwake ukamshinda yeye akakimbilia ufaranasa kwa Hollande kuomba msaada wa kuishawishi Total. Mmeshapoteza sifa ya kuwa babaHehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.
Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Wapi mliwahi kupigana vita hadi mjiite baba? Tanzania imepigana Mozambique, Angola, Namibia na Uganda.Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.
Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.
Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yen
hujui regional diplomacy ya E.A kila mradi unaohusisha nchi more than two lazima kila member akubaliane na maamuz ya pande zoteHehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.
Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.
Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Hapa umeniacha njia panda kama umewasifia au umewaponda.Aina ya serikali iliyopo Kenya ndiyo ilikuwa aina ya JK.
......saana tu mkuuTanzania tutashinda ... Pongezi kwa Prof Muhongo Mtaalamu Jembe kwa kusimamia suala hilo
Mkuu tatizo ni hili.Total ya Ufaransa wenye Pesa Na wachimbaji wa mafuta.Uganda wana mafuta.Tatizo ni nini hasa? Financiers ni kina nani maana nategemea mwenye mradi na wenye pesa kuwa na majibu ya huu mvutano..... otherwise mradi huu unakuwa financed na E.A. Community.... kweli mi sielewi kabisa kwa nini kuwe na huu mvutano.....
TANZANIA NI NCHI KAMILI INAMAMLAKA,
UGANDA NI NCHI KAMILI NA INAMAMLAKA.
TABU IPO WAPI?
KWANI E.A INAUWEZO WA KUZUIA NCHI MBILI MIONGONI MWA E.A KUFANYA BIASHARA?
TANZANIA TUNA GESI TUNATAKA PELEKA RWANDA KENYA ITAWEZAJE KUZUIA?
*Kenya inaipa homa E.A.for nothing /
Hizo serikali zina sifa moja kubwa. Za wala rushwa wakubwa.Hapa umeniacha njia panda kama umewasifia au umewaponda.
Somalia maana ume mfuata jikoni sasa ana kurudi.Hehehe kweli sisi manyangau ndio wenye EAC yaani hadi sasa bado mnakaa vikao mkituskiliza wakati nilidhani mlishafanya maamuzi.
Hadi mtupigie magoti muombe ndio tutaachia.
Yaani ardhi yenu, pesa ashatoa mzungu, Museveni ashaafanya maamuzi ya Tanga lakini bado mnatutgemea tutie saini. Sisi ndio baba wa EAC sasa mama ndio yupi kati yenu.
Na Lamu kwenyewe hakuna bandari ndio wanadai wataijenga na hela hawana, wakati Tanga bandari tayari ipo.Mkuu tatizo ni hili.Total ya Ufaransa wenye Pesa Na wachimbaji wa mafuta.Uganda wana mafuta.
Tanzania Na Kenya wanataka mafuta yapitia katika Bandari zao. Uganda walikubaliana Na TZ bomba lipitishwe Bandari ya Tanga.Kenya wanawatonga wa Ganda ili bomba lipitishwe Kenya Bandari ya Lamu.
Kwa kifupi Kenya wana itaka hii dili
Na SISI hatuachii ng'ooooooo
Naam mnafiki hana rafiki!