dopamine-B
Member
- Sep 1, 2012
- 93
- 278
- Thread starter
-
- #41
Nimekusoma shukranHuyo anapima mara kwa mara HIV sababu anauza mechi sana.Ana wanaume wengi na hawezi kupona coz hata akinywa dawa anaenda kukutana nao tena.Piga chini huyo demu. Sababu hata ukimaliza dozi,ukitembea nae tena atakuambukiza.
Utapona tu,ila ukome kufanya ngono kipumbavu.Pia mpigie simu huyo mwanamke na yeye akajitibu na yeye awapigie wote aliotembea nao na wao wawapigie waliotembea nao.Mweh ni vicious cycle. Get well soon. Hivi inatokeaje mtu unafanya ngono zembe ?Kwangu mimi utajiri number moja ni afya njema.Kamwe siwezi kufanya ngono hovyo hovyo na watu wa hovyo.
Sikushangai, umeyakuta yakifanyika ulipolelewa.Usipovitumia utaulizwa nimekupa hivi umevifanyia nini?Wewe hifadhi tu fixed account utalipa
😉Hahahaha Sawa broo
Majibu aliyouliza yote!
UTI kwa mwanaume ni kiashiria cha Ugonjwa wa ngono..Hiyo ni UTI.
Kapime tena.
Dalili za gono ziko wazi kabisa si kama ulivyoeleza
Then alivyokuambia hivyo ulichukulia Poa!Unajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....
Nimekaa nae 2 years, picha picha imeanza 2 months ago na sina demu mwngine nnae enda kavu
Ni kweli UTIs nyingi kwa wanaume ni STIs hasa kwa wanaume before age of 60s. Wale wa above 60s wengi wanapata UTI kwa sababu ya tezi dume( enlarged prostate)UTI kwa mwanaume ni kiashiria cha Ugonjwa wa ngono..
Cuz UTI kwa mwanaume ni uncommon
Katika dawa ulizotumia sijaona dopamine je hukuandikiwa na hiyo???Sijakuelewa bro?!
Achome Penadur ya kazi gani ndg? Umeongea mengi mazuri ila ukachanganya madesa hapo kwenye Penadur. Unless kama unahisi ana Kaswende( Syphilis) ambayo haiwezi kuwa covered na hizo antibiotics alizopewa.Majibu aliyouliza yote!
majibu yake ni Ndiyo..
Tena imemsitiri sana maana Gono wameilea Tangu mwaka Jana November (Kwa maelezo yake) Amekuwa akiipoza tu na Dawa.
Sihukumu ila natoa ushauri!
kama yule msichana Anapenda kufanya naye mapenzi kinyume na maumbile au kwa njia ya kawaida ningependa zaidi kama Angefanya ngono iliyo salama..
Kingine yule msichana na yeye atibiwe kutibu upande mmoja ni kazi bure Wote mtibiwe ili kuzuia maambukizi mapya..
Dawa aliyopewa kisiwani (Hapo mwishoni) Zinaweza kuwa dawa sahihi kwake Yeye na kwa mpenzi wake!
Japo kwa Case yako Lazma ningeongeza na Benzathine Peniciline (Penadur) kwa sababu hiyo kitu imekomaa sana kwahyo ungechoma benzathine kwa wiki 3- 5 angalau..
NB: Kingine kwa Madaktari wote Augumentin (Amoxicilin Plus Potasium Clavulanic "Amoxiclav)
Mara nyingi sio Dawa Sahihi sana kwa Magonjwa ya zinaa..(Japo ni dawa nzuri kwa magonjwa ya mfumo wa hewa)
Kutokana na Amoxiciline kuwa Na nguvu kubwa kwenye Gram Positive bacteria Na kuwa na nguvu ndogo kwenye Gram negative bacteria...
Wakati huo Neisseria Gono....ni gram neg.ssp
Kwahyo tunaweza kusababisha usugu wa Dawa kwa wagonjwa na Kusababisha kutengeneza untreated Traits..
Tuzingatie miongozo...na Researches....
CC: dopamine-B
Hivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi, na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
CorrectKwa mwanaume hasa before age of 60s. Happy wa above 60s wengi wanapata UTI kwa sababu ya te si dume
Huyo demu utakuwa unakula na maselaUnajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....
Nimekaa nae 2 years, picha picha imeanza 2 months ago na sina demu mwngine nnae enda kavu
Hiyo ni kupigia mstari. Malaya huwa anapumzika na sio kustaafu fani yake ya kukata mauno kitandani.Huyo demu utakuwa unakula na masela
Kamfanyie na yeye culture and sensitivity ya mkojo pamoja na High Vaginal Swab( HVS)Unajua unaezakutana na mwanamke ukaona anamaisha magum kidgo, nikasema Acha niwe nae, chochote nachotaka ananipa, simu moja yupo napotaka awepo nikamwamini... Na yeye kasema alishawahi tibiwa Ila hakunambia,, kanambia uken ulitoka uchafu WA njano na damu....
Nimekaa nae 2 years, picha picha imeanza 2 months ago na sina demu mwngine nnae enda kavu
@dronedrake njoo wanakuita baba nyeto mshauri mkuu watu wajatae ndoa hawakusikia...Habari za Harakat za Maisha Wana forum.
Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.
3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....
Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....
Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...
Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...
Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...
Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....
Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..
Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.
Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus
Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)
Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.
2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Nafikiri kutokana na matibabu mengi aliyofanya Kufikiria Kipimo cha Uroflowmetry ilikuwa sahihi sana na hata USS..Hivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua Hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?