Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Dah!...tafuta tiba mkuu, kwanini ukubali kuishi kwa kuteseka miaka yote hiyo wakati tiba zipo na wataalamu wapo ?....au ulitibwa ila hukupona ?

Wataalamu DR Mambo Jambo marisi schwein Lukonge toeni ushauri hapa kwa huyu mdau.
Tatizo ni kila kitu kubatizwa UTI.

Suala la msingi ni mhusika kufika kituo cha afya ambacho kina uwezo wa kufanya vipimo. Kuchukuliwa historia vyema na vipimo kulingana na hali yake.

Vipimo vitategemea na kiasi cha tatizo husika.

Atapata tiba shirikishi kwake na mwenza, ufatiliaji wa pamoja na kulimaliza tatizo.

Pia elimu ya kujikinga na magonjwa ya mahusiano.

Moja ya kitu mhimu ni kupata mtoa hufuma dedicated, asiye na haraka wala tamaa pia yeye kuwa mfatiliaji mzuri wa kila hatua na kuelewa kinachoendelea.

Ni jukumu la mtoa huduma na mgonjwa kushirikiana na kuwa kitu kimoja kwenye njia ya kuelekea tiba yoyote pia kutoa na kupokea maoni chanya.
 
Hakuna namna nyingine naweza kusema. Nayaacha yote mikononi mwako. Sina uhakika kama una comparative studies za aliye na gono aliyechoma vs aliyekunywa vidonge. Au ni mazoea.
Ni mazoea. I am old enough to have a lot of experience in this matter. Hata tulikutana nayo enzi hizo wakati tunasoma. Enzi hizo mwanamme bila kuugua gono unadharaulika na wanaume wenzako. Na hii theory nilikutana nayo kwa madaktari wengi tu. Unahangaika wee, uume unakuwa unatoa utando kwa mbali sana. Ukinywa vidonge inatoa kapa. Ukichoma sindano unatoka uchafu mwingi na inakausha kila kitu.
 
Ni mazoea. I am old enough to have a lot of experience in this matter. Hata tulikutana nayo enzi hizo wakati tunasoma. Enzi hizo mwanamme bila kuugua gono unadharaulika na wanaume wenzako.

Fanya some comparative observational studies ili uzoefu wako uweze kutusaidia pia huko mbeleni.

Muda mwingine vitu tunaviona na kuviachia njiani kumbe vingeweza kutusaidia ila tuna-conclude prematurely.
 
marisi schwein mkuu umeona nilichokuambia Sasa kuna History nyingi mgonjwa hajazisema hadharani licha ya kuwa na Gono pia ukifatilia ana Genital Ulcers..

Naungana na wewe Culture na sensitivity ni Muhimu..

Lakini pia kuna Possibility ya magonjwa kama Chlamydia..,Syphilis ambayo madaktari wameyaoverlook..

Kudos .....Hapa culture muhimu kuliko dawa unazokunywa
Thanks naufanyia kazi Ushauri, ntaleta feedback
 
Fanya some comparative observational studies ili uzoefu wako uweze kutusaidia pia huko mbeleni.

Muda mwingine vitu tunaviona na kuviachia njiani kumbe vingeweza kutusaidia ila tuna-conclude prematurely.
Sina huo muda ila na-share experience yangu. Mtu yoyote anayetaka kuhakikisha anaweza kufanya... ikiwemo wewe.
 
Kunywa maji mengi kila siku

ILa via vya uzazi ni vya kuogopa sana vina bacteria na mavirus mengi sana,

Napenda sana k ila kila nikiwafikiria hawa wadudu nakosa hamu kabisa,naishi na U.T.I sugu mwaka wa nane sahv nko nayo,niliambukizwa na bar maid ambae nilimfanya kama mke 2015
Pole Sana aseeee
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Tatizo la hospitali za siku hizi pesa mbele unaweza ukaenda huku ukaambiwa hivi ukaenda kule ukaambiwa vile yaani vurugu ili mradi pesa iingie tu.

Kwa mlolongo wa hizo dawa ulizotumia nilitegemea kipimo Cha C & S kiwe kimeshafanyika.
 
Sina huo muda ila na-share experience yangu. Mtu yoyote anayetaka kuhakikisha anaweza kufanya... ikiwemo wewe.
Science haiko hivyo ndugu, kila mtu angesema sina muda huo. Hata maarifa tuliyoyabeba ni transitional. Na haya ndo matatizo yetu waafrika, tunakuwa tuna kazi nyingi mikononi mwetu ila hatuoni umuhimu wa kuzifanyia kazi. Akija mzungu anaexpand kidogo tunaona ni breakthrough.
Una data sitting on then, unless ilikuwa ni sukuma twende.
 
Pole sana ndugu yangu.
Hebu fanya blood culture inawezekana kuna vitu kwenye damu vinasababisha tiba ikatae.


Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
 
ukajua kapewa Zahanati, kwa hiyo una guess, huna hakika kama ametibiwa au la, yani hamna uwazi kati yenu mtu anaekuachia ngono za kuumizana na kufumuana makalio ?

naanza ku doubt hii story yako... mtu unaekunywa ma antibiotics mpaka figo zinaenda kutoboka huwezi kuja kujichekesha chekesha hapa eti "japo naumwa nipo bado mitandaoni kama kawa..."

halafu specialist wa Agha Khan ya Sea View amekwambia sio Gono wewe unakazania Gono ili kutengeneza a titilating sex story....

na mahospitali na ma antibiotics yote hayo hakuna doctor hata mmoja aliye order culture test ?

Please!
Usikalili watopolo wengi waliomo umu ukajua wote ndio ivo
 

Attachments

  • Screenshot_2023-12-15-22-40-31-733_com.miui.gallery.jpg
    Screenshot_2023-12-15-22-40-31-733_com.miui.gallery.jpg
    44.2 KB · Views: 17
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,
Mmh
 
Back
Top Bottom