Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Mwanamke aliyekuambukiza keshatibiwa, katibiwa na dawa gani ????

Ulipomwambia unaumwa akaonyesha anaujua huu ugonjwa ila wewe ndio mgeni, anaujua unaitwaje ?????

Haupo hapa kueleza matatizo yote, daktari nae ulimwambia hujaenda kumueleza matatizo yote ???????

Demu anaekuachia umsokomeze midude kinyume na maumbile kavu kavu na usaha juu anawezaje kukunyima taarifa za matibabu aliotumia, au umekuwa uki repu mtoto kinyume na maumbile na ni wewe ndio unaambuambukiza hilo li kaswende sugu na kesi iko pending... ndo maana hutaki kugusia chochote cha hali ya demu ??

Next time ukienda hospitali inabidi uonyeshe kwanza Police Form 3 ya ulikopatia hayo majeraha...
Acha kutuhumu watu hovyo kwa hisia zako binafsi.
 
Hakuna msaada wa uzinifu nabuasherati, vitabu vyote vya d8ni vishakwambia ni uchafu huo.

Kuna msaada gani zaidi ya huo?

Prevention is better than cure.
Sio kweli....

Mtenda dhambi akitubu kwa Mungu wake atasamehewa.
 
Acha kutuhumu watu hovyo kwa hisia zako binafsi.
Kawaida ukienda hospitali na majeraha ya ajabu ajabu lazima uje na PF3. Huyu aliyokiri kufanya ni high crimes. Akamlete victim wake.
 
Acha kutuhumu watu hovyo kwa hisia zako binafsi.
Kawaida ukienda hospitali na majeraha ya ajabu ajabu lazima uje na PF3. Huyu aliyokiri kuyafanya ni high crimes and misdemenors, kunajisi na kusambaza maambukizi. Akamlete victim wake.
 
Kwa huu ujuzi wa dawa wa mleta uzi ni wazi kaamua kuja kuwatisha vijana wa hovyo kitaalamu sana.

Hakuna mgonjwa na STD anajieleza hivyo.

Hii ni simulizi ya kimkakati sana.

BEWARE!
 
Kawaida ukienda hospitali na majeraha ya ajabu ajabu lazima uje na PF3. Huyu aliyokiri kuyafanya ni high crimes and misdemenors, kunajisi na kusambaza maambukizi. Akamlete victim wake.
Jamaa kapata ugonjwa wa zinaa acha atibiwe hakuna sehemu kaandika alipata majeraha au ngeu hivyo haja ya PF3 hapo haipo.

Hayo ya uhalifu na kusambaza maambukizi nenda polisi kafungue jalada.
 
Life choice yako siyo nzuri, unafaidika nini sasa zaidi ya kurisk maisha yako?. Kakupa gonjwa na bado ukarudia, infection ya mwanzo haijaisha ukaongeza dozi ya maradhi. Tena na mwanamke ambaye likely siyo mpenzi wako. Mmh. Sina majibu ya maswali yako. Ila if you can let her get treated na ujue analala na wengine pia au la, kama ndiyo hata matibabu anayoweza kupata hayatamsaidia kitu na obviously hayatakusaidia kitu nawe pia. Hiyo inaitwa vicious circle of infection.
 
Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono

Habari za Harakat za Maisha Wana forum.

Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapona.

3 months ago nimekutana tena na demu yuleyule, nikapiga kawaida Tu bila mpira..... Nikaikasirisha mizimu....

Nikajua ni Ile UTI tena imerudi, nimekunya flucamox mara 2, bila nafuu....
Nikaenda zahanati nimepewa Augmentin cluvamate nikapata nafuu kidogo tatizo bado linarud....

Nikaenda hospital agakhan kigamboni, wakanambia kwenywe vipimo mkojo uko Sawa Ila Kwa maumivu ya pumbu na uume pia kutoa semen yenye maji mepesi ya maziwa ni STD ambayo ni gono...

Nikapewa Ceftriaxone injection 1g
Doxycycline 2/siku 10
Metronidazole 400mg/siku 10
Nikapata nafuu kipindi natumia dawa siku ya kumi Tu maumivi makali Sana kwenywe uume na chini ya kitovu, mkojo hauumi nikikojoa.... Usaha mara moja sana Hadi mwishon mkojo nikojoa ndio naweza uona. Nikipekenywe urethra naona kama vidonda ivi au ulcers....
Napata maumivu makali Sana nikaa au nikilala...

Nimetumia antibiotics for 3 consecutive months Hadi mdomoni nimepata candida..
Nikajua hapa basi nishaukwaa...

Nimeenda kupima hiv imetoka -ve, Dr kanambia kama nilimnyonya mate na yeye alinyonya uume basi ndio nimepata fangus mdomoni... Sometimes nameza Kwa shida Sana....

Nikachoma pesa kwenda Agakhan Ocean road, nimefanaya vipimo vya uroflowmetry, urinalysis, na ultrasound... Mtaalamu WA urology akasema Nina prostatitis..

Nimepewa Lomefloxacin 400mg siku 14, Alfuzosin siku 14 na aceclofenac...
Problem ni Kua hizi dawa zinanizingua Sana.

Nikaenda hospital tena Jana kisiwani kufanya kipimo cha HIV na damu, HIV sina ni negtv, Ila kwenywe damu Dr kasema bado kuna STD... Pia fungus mdomoni...
Kaniandikia
Cefixime 400mg PO 1*1/5
Ceftriaxone 2g injection
Azitromycin 1g PO stat
Fluconazole 150mg/10 days Kwa ajili ya fungus

Leo nipo siku ya pili naendelea na dozi, (dawa za prostatitis nimeziacha Kwanza nimalize gono)

Swali
1. je nikawaida Kwa gono kutoka usaha WA maziwa mepesi mara moja moja na pia kwenywe semen Kua na kama maji maji ya maziwa.

2. Ni kawaida kuwa na maumivu makali ukikaa au kulala ukiwa na gono,


Jana majibu yametoka Agakhan ya culture and sensitivity.
"NO BACTERIA OR FUNGAL GROWTH"

Dr kanambia Kua inaamanisha Kua dawa nilizopewa zinafanya kazi. Hivyo basi nimalize dozi.

Pili kakanusha madai ya Kua kuna "Gono Sugu" isipokua nilienda hospital za Kwanza wakashindwa kunipa right antibiotics kutokana na errors za diagnosis, pili dalili zangu zilkua zinahitaji Dr makini kuweza kuniskiliza vizur sababu dalili zangu zilkua ngumu kidgo kusema moja Kwa moja ni gono, hivyo ikafanya diplococci wazubae Tu hivyo nikawa siponi.
Kasema diplococci wana- respond vizur Sana kwenyw antibiotics.

Hospitali zetu hizi za wilaya, zinachangamoto kwenye vipimo, nimepima 3 times, urinalysis, pelvic and abdominal ultrasound with x-ray naambiwa ni UTI -cytitis napewa antibiotics Tu Ila zikiisha Tu ugonjwa bado upo...
Pili ukienda kama pale kigambon wilayani pale vipimo vyao magumash Sana... unatoka kwa Dr WA OPD, anakuandikia labda pima urinalysis na ultrasound,.. ukiingia ndan Dr vipimo ultrasound anakwambia piga na xray, au mi ninazo dawa za ugonjwa wako njoo kesho nikupe... So ni shida sanaaa...

Lakin Baada ya kwenda Agakhan kigamboni pale, Dr alivo chukua urinalysis Tu akanambia Kua Nina STD na si UTI, hawakunipigisha ultrasound wala x-ray nikapewa antibiotics za Ceftriaxone injection na Doxycycline for 10 days,
Baada ya kumaliza doz nilhisi kupona ila bado nikawa napata maumivu makali Sana kwenywe base ya uume na urethra...
... ikanibidi niende moja Kwa moja Agakhan Ocean road ili wanicheck vizur na niwe na uhakika..

Nikafanya Vipimo japo ni expensive Sana pale.
Diagnosis ikaja Kua ni prostatitis..
Nikapewa antibiotics Kali Sana na kutoka Kua nipo kwenywe antibiotics 3 consecutive months mwili nao umechoka, stress, kuwaza Kua why huponi, vimechukua toll kubwa Kwenye afya yangu....
....naendelea na antibiotics zote nilizopewa agakhan pamoja na pale kisiwani kigambn na nashukuru saiv nimeanza kupata nafuu...
 
Life choice yako siyo nzuri, unafaidika nini sasa zaidi ya kurisk maisha yako?. Kakupa gonjwa na bado ukarudia, infection ya mwanzo haijaisha ukaongeza dozi ya maradhi. Tena na mwanamke ambaye likely siyo mpenzi wako. Mmh. Sina majibu ya maswali yako. Ila if you can let her get treated na ujue analala na wengine pia au la, kama ndiyo hata matibabu anayoweza kupata hayatamsaidia kitu na obviously hayatakusaidia kitu nawe pia. Hiyo inaitwa vicious circle of infection.
Huyu mwanamke yeye alishatibiwa na kapona kabisa, nashukuru na mim pia nimeanza kupata nafuu.
 
Kwa huu ujuzi wa dawa wa mleta uzi ni wazi kaamua kuja kuwatisha vijana wa hovyo kitaalamu sana.

Hakuna mgonjwa na STD anajieleza hivyo.

Hii ni simulizi ya kimkakati sana.

BEWARE!


Nina elimu ya university, STD inawezakumpata MTU yeyote..
Pia usitishike, hapa tunapeana maarifa Tu, na si lazima upokee kila kilichomo humu...
....ni tatizo limenipata na nipo napambna nalo.
Na nipo naendelea vizuri sasa
 
Ukisoma huu uzi, utagudua medical profession lacks objectivity. Everyone recommending differently from another.
The result being patients developing clonic/severe complications because of this try and error
Hili ni tatizo Kwa hospital zetu...
Ukiuma mkojo unapokojoa ni UTI
Hata nijieleze vipi naambiwa ni UTI au fungus Sugu..
Dr mmoja nikamwambia kuna siku niliona Kama maziwa mepesi iv mwishon MWA mkojo nimeiona once or twice Akasema bado sijasema hii ni UTI Kali.
Agakhan nashukur waltumia njia ya elimination, kwamba urethra discharge hakuna, damu kweny mkojo hakuna, urinalysis iko Sawa, lakini ninamaumivu kwenywe pumbu na nikamwambia my sex history Akasema mdogo angu pole Una gono. (Simple Tu, Ivo.)
 
Hili ni tatizo Kwa hospital zetu...
Ukiuma mkojo unapokojoa ni UTI
Hata nijieleze vipi naambiwa ni UTI au fungus Sugu..
Dr mmoja nikamwambia kuna siku niliona Kama maziwa mepesi iv mwishon MWA mkojo nimeiona once or twice Akasema bado sijasema hii ni UTI Kali.
Agakhan nashukur waltumia njia ya elimination, kwamba urethra discharge hakuna, damu kweny mkojo hakuna, urinalysis iko Sawa, lakini ninamaumivu kwenywe pumbu na nikamwambia my sex history Akasema mdogo angu pole Una gono. (Simple Tu, Ivo.)
Icho kipimo Cha siku 5 gharama huwa Ni kiasi gani
 
Ubongo siku ukiamua kukusaliti haijalishi ,ww Ni maskini au tajiri msomi au sio msomi ...siku inakuwa moja tu
 
Mwanamke aliyekuambukiza keshatibiwa, katibiwa na dawa gani ????

Ulipomwambia unaumwa akaonyesha anaujua huu ugonjwa ila wewe ndio mgeni, anaujua unaitwaje ?????

Haupo hapa kueleza matatizo yote, daktari nae ulimwambia hujaenda kumueleza matatizo yote ???????

Demu anaekuachia umsokomeze midude kinyume na maumbile kavu kavu na usaha juu anawezaje kukunyima taarifa za matibabu aliotumia, au umekuwa uki repu mtoto kinyume na maumbile na ni wewe ndio unaambuambukiza hilo li kaswende sugu na kesi iko pending... ndo maana hutaki kugusia chochote cha hali ya demu ??

Next time ukienda hospitali inabidi uonyeshe kwanza Police Form 3 ya ulikopatia hayo majeraha...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom