Wataalamu wa Biashara nauliza Comfort Iringa ilikufaje wakati ilikuwa na wateja abiria wa mabasi?

We jamaa unaishi dunia yako. Mwaka 1993 sanasana kulikuwa ukame ambao haujawahi kutokea. Tukawa na mgawo wa umeme mkali kabisa kwa kuwa mabwawa yote karibu yalipungua maji.

kakolaki kumbuka unabishana na watu wenye kunbukumbu kuliko wewe
 
Moja ya factor niliyoifanya ni kufungua kampuni ili kuepuka haya.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Uongo wa hali ya juu.
 
N
Namiliki boda boda used kila siku Kwa fundi
 
Ni sahihi kwani wazazi hatuwashirikishi watoto wetu kuhusu biashara tufanyazo..?
Yaani hata mimi sielewi kwa kweli
Hili ni tatizo kubwa mno kwa wafanyabiashara ngozi nyeusi tofauti na wenzetu weupe.Serikali itangaze kuwa ni tatizo la kitaifa
 
Yaani hata mimi sielewi kwa kweli
Hili ni tatizo kubwa mno kwa wafanyabiashara ngozi nyeusi tofauti na wenzetu weupe.Serikali itangaze kuwa ni tatizo la kitaifa
Tatizo ni kukosekana kwa uaminifu kwa watoto wetu. Pia kukosekana kwa utulivu kwa baadhi ya watoto wetu.

Unaweza mshirikisha yeye akaanza kuhonga kutokana na biashara ya Baba.
 
Tatizo ni kukosekana kwa uaminifu kwa watoto wetu. Pia kukosekana kwa utulivu kwa baadhi ya watoto wetu.

Unaweza mshirikisha yeye akaanza kuhonga kutokana na biashara ya Baba.
Kwani wenzetu wahindi,waarabu na wapemba wanafanyaje hadi watoto wao wanakuwa waamijifu na kuwa na utulivu kwenye biashara na nidhamu ya matumizi ya pesa za biashara? Hadi ngozi nyeusi tushindwe kuiga?
 
Elnino ilikuwa mwaka 1998 labda hiyo 1993 ilikuwa mafuriko mengine.

2005 nilipita na BUS la KILIMANJARO hapo comfort na kula , nilikuwa naelekea Mbeya.
Mpaka mwaka 2014 hiyo hotel ilikuwa inafanya kazi japo kwa kusua sua

Hizi picha niliipiga mimi mwenyewe tar 28/11/2014, hata hayo mabasi kwa sasa yote hayapo. Deluxe aliziuza na kuacha biashara ya mabasi ruti ya Iringa - Dar, Mcaraghan amefariki dunia miezi michache iliyopita, ila nae basi lake lilianza kwenda vijijini ndani ndani huko.
 

Attachments

  • IMG_20141128_100812.jpg
    464.8 KB · Views: 5
  • IMG_20141128_100843.jpg
    447.8 KB · Views: 6
Hii deluxe naikumbuka sana. Nishapanda nayo kwenda Iringa. Mpaka around 2015 ilikuwa inafanya kazi japo ilikuwa imechoka kweli. Nakumbuka abiria walikuwa wanalalamika kulishwa chips za juzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…