Wataalamu wa Dini tusaidieni kwenye dhambi ya kuzini

Wataalamu wa Dini tusaidieni kwenye dhambi ya kuzini

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.

Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?

Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
 
Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?
Malaika hawana jinsia

Jinsia ni kwa ajili ya viumbe wanaozaliana kwa staili zetu.

Halafuuuu, kushirikiana mwanaume na nwanamke sio dhambi. Wasiumizane na wasimuumize mtu (jumlisha hata huyo ambaye atazaliwa). Dhambi ipo wapi?
 
Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.

Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?

Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
Kufanya tendo la ndoa ndani ya ndoa siyo dhambi, ila nje ya ndoa.

Malaika wana roho bila miili, hawana jinsia.
 
I can't even beat my d*ck without gettin' convicted

Hopsin - Ill Mind of Hopsin 7
Sasa haya madick tumepewa ya kazi gani viunoni kama tunaambiwa kuyatumia ni dhambi
 
Malaika hawana jinsia

Jinsia ni kwa ajili ya viumbe wanaozaliana kwa staili zetu.

Halafuuuu, kushirikiana mwanaume na nwanamke sio dhambi. Wasiumizane na wasimuumize mtu (jumlisha hata huyo ambaye atazaliwa). Dhambi ipo wapi?
Wana jinsia hata majina yao yapo ya kiume na kike
 
Umejuaje kama wana jinsia kwa maandiko gani

Lile ni tendo la ndoa unafanya na uliyehalalishiwa kufanya hivyo
Malaika Gapriel ni wakiume, wewe unataka kunambia ni wakike hapo ndipo nitakapokataa, wakiume wana uume na wakike wana uke
 
Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.

Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?

Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
Atleast Kwa dini yangu ya Uisilamu Malaika hana Jinsia. Na ni viumbe wa kubwa mno, hawana comparison yoyote Na sisi.
 
Atleast Kwa dini yangu ya Uisilamu Malaika hana Jinsia. Na ni viumbe wa kubwa mno, hawana comparison yoyote Na sisi.
Jinsia ilianza kwao ndipo ikaja kwetu hakuna jambo tunalofanya sisi ambalo wao hawakulifanya, wapo wanaume na wanawake kama sisi
 
Jinsia ilianza kwao ndipo ikaja kwetu hakuna jambo tunalofanya sisi ambalo wao hawakulifanya, wapo wanaume na wanawake kama sisi
Umeulizwa Ushahidi ulete Hujaleta.

Kwenye Uisilamu Malaika size yake vs Dunia, hii Dunia yetu ni kama Vumbi tu, ni wa kubwa mno, chukua Dunia na Universe nzima ambayo Tunaita Infinity size yake haifikii Distance kutoka Sikio hadi Bega la Malaika anayebeba kiti Cha Mwenyez Mungu.

Hata Jibril/Gabriel hakuwa akishuka Duniani Kwa Umbo lake sababu Hatoshi,

So unaongelea creation nyengine ambayo ni kama Robot, wameumbwa kufuata maagizo ya Mwenyez Mungu tu, hawana Akili ya kujiamulia wanachotaka, wanafata tu Rules za Mungu. Malaika hazini wala hafanyi Mapenzi hajaumbiwa kazi hio.

Sisi Binadamu, Majini na Viumbe wengine tumepewa Free will, unaamua mwenyewe ufuate unachotaka ndio Maana tumeumbiwa kuzini ama kufanya Mapenzi kwenye ndoa.
 
Umeulizwa Ushahidi ulete Hujaleta.

Kwenye Uisilamu Malaika size yake vs Dunia, hii Dunia yetu ni kama Vumbi tu, ni wa kubwa mno, chukua Dunia na Universe nzima ambayo Tunaita Infinity size yake haifikii Distance kutoka Sikio hadi Bega la Malaika anayebeba kiti Cha Mwenyez Mungu.

Hata Jibril/Gabriel hakuwa akishuka Duniani Kwa Umbo lake sababu Hatoshi,

So unaongelea creation nyengine ambayo ni kama Robot, wameumbwa kufuata maagizo ya Mwenyez Mungu tu, hawana Akili ya kujiamulia wanachotaka, wanafata tu Rules za Mungu. Malaika hazini wala hafanyi Mapenzi hajaumbiwa kazi hio.

Sisi Binadamu, Majini na Viumbe wengine tumepewa Free will, unaamua mwenyewe ufuate unachotaka ndio Maana tumeumbiwa kuzini ama kufanya Mapenzi kwenye ndoa.
Lakini kwanini wawe wakiume na kike? Kuna maana kubwa hapa, labda useme wanafanana na jiwe ndilo halina umbile lakini kitendo cha wao kuwa na umbile la mwanaume na mwanamke kuna siri kubwa
 
Lakini kwanini wawe wakiume na kike? Kuna maana kubwa hapa, labda useme wanafanana na jiwe ndilo halina umbile lakini kitendo cha wao kuwa na umbile la mwanaume na mwanamke kuna siri kubwa
Hawana Maumbile ya Kiume na kike mkuu. Nisha elewa wapi unapata Shida.

Kuna watu wana Tabia ya kuwachora Malaika kama mabinti wazuri wenye Mabawa wawili kama hivi

images (14).jpeg


Hizi mkuu ni picha Fake tena kwa Dini zote, Si waisilamu si Wakristo maandiko yao yanasema Malaika yupo hivyo.

Kifupi akili zetu haziwezi ku comprehend appearance ya Malaika.
 
Back
Top Bottom