Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikwambia hawana hisia? Vip mapepo na mashetan walijizaa wao? Vipi wale malaika walioanguka na waliozaa na biandamu walitumia kichwa kufanya mapenzi?Malaika hawana jinsia
Jinsia ni kwa ajili ya viumbe wanaozaliana kwa staili zetu.
Halafuuuu, kushir
Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.
Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?
Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
Soma mwanzo 6:1-3 alafu uje kunielewesha mkuuUmejuaje kama wana jinsia kwa maandiko gani
Lile ni tendo la ndoa unafanya na uliyehalalishiwa kufanya hivyo
Mwanzo 6: 1-3Wana jinsia hata majina yao yapo ya kiume na kike
Tunaomba tafsiri mwanzo 6:1-3Malaika hawana jinsia. Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sa 100
[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angelica
Atataja Maimuna, na kumbe hilo ni jini kabisaaa.Tutajie na jina la malaika 'wa kike' mmoja bro
Ina maana hakuna mabikra huko akhera? Mbona mnatuchanganya sasa? 😳😳😳Malaika hawana jinsia. Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.
mfano wa hayo majinaWanajinsia ndio maana hata majina yao yapo ya kiume na kike,
mkuu wapi umejifunza kuwa mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa ?Malaika hawana jinsia. Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.
mkuu wapi umejifunza kuwa mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa ?
Soma mwanzo 6:1-3 alafu uje kunielewesha mkuu
Hizi sheria zilikuwa na maana binadamu alivyoishi kwenye makabila na sehemu zenye scarcity of resources na ukosefu wa elimu ya minba na magonjwa ya zinaa. Now tupo 21st century, kuzuia mimba unaweza both naturally and artificially, unaweza zuia magonjwa, na mengi yanatiba au Kinga, unaweza zaa mtoto akasurvive mda mrefu kwa sababu ya huduma Bora za ulinzi, afya, chakula, maji na elimu.Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.
Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?
Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
😂 Inaitwa don't sex until you sign a lifetime exclusivity contract and a ceremony with ur friends and family...🤣Ila dini ni kitu Cha kuchekesha...na watu wapo serious wanaaminiKufanya tendo la ndoa nje ya ndoa tena?
Au ndio mimi sijaelewa?
Mume na mke wanafanya tendo la ndoa,
Mwanaume na mwanamke ikiwa hawajafunga ndoa hapo wanakuwa wanazini/wanafanya uasherati/wanafanya ngono/wanazagamuana/wanadegana/wananyanduana nq miaemo mingine mingi,
Ila kukiwa na ndoa tuu hakuna jina jengine zaidi ya tendo la ndoa,
Hata kujamiiana sio kwa waliooana kwasababau hata wasiooana wanajamiiana,
Lakini waliooana tuu ndio wanafanya tendo la ndoa,