Wataalamu wa Dini tusaidieni kwenye dhambi ya kuzini

Wataalamu wa Dini tusaidieni kwenye dhambi ya kuzini

Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.

Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?

Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
Malaika ni viumbe wa wenye miili ya kiroho isiyofungwa na sheria ya kanuni za maumbile ya dunia kama ilivyokuwa kwa Adamu alipokuwa mwanamke na mwanamme katika mwili mmoja kabla hawajatenganishwa. Miili hii ya kiroho haihitaji vitu kama oxygen, jua, virutubisho nk. Na wala haina mpaka katika kanuni za kiulimwengu . Yaweza kuwa popote na kwa wakati wowote bila idhini wala kuzuizi.
Wakati viumbe hawa wa kiroho walipoletwa duniani ndipo wakapewa miili ya nyama na damu(flesh) Adamu nae vivyo hivyo akitenganishwa kijinsia kike na kiume kwa ajili ya kuendeleza uzao duniani.
Adamu yeye tofauti yake na wanyama wengine ni moja. Ana nafsi yaani upambanuzi. Wanyama wengine wana roho ya uhai tu.
Yeye adamu ndiye aliyepewa sheria ya makatazo kwamba uasherati ni dhambi kwamba mtu asimchukue mwanamke wa mme mwingine. Hapa kuna siri ya kile kilichoendelea katika bustani ya Eden hata ihesabiwe kama kulala na Eva kingono kwa Adamu ilikuwa anguko(dhambi). Tuache hilo.
Sasa anguko la mwanadamu lipo katika damu. Na mwanamke ni bikira hadi atolewe na mwanamme. Tendo hili ni agano la damu na hivyo humfanya mwanamke awe mme halali kwa aliye mbikiri maana hapo ndipo penye agano. Mengine yaliyofanywa na mapokeo ya kidini na kimila kuhusu ndoa yalikuwa ni mapatano na sii maagano maana mme alimuoa mke ambae ni kahaba kwa kuanzia kwa kuwa sie ndiye aliyemfanya kahaba kwa kumtoa bikira.
Hata hivyo kuna kitu kinaitwa agano la neema ambalo linaruhusu mume kumchukua mwanake kuwa mkewe ikiwa baada ya mke kikiri status zake ataridhia kuishi nae(utakaso)
Kwa hiyo dhambi katika ngono kwa binadamu ni kushiriki mapenzi na mtu asie mke/mme wako.
 
Sijawah kuamin Ni dhambi labda uifanye mbele za watu
 
Nani kasema dhambi? Kuanzia 18 ruksa, Ila kwa mastep na kuelewana. Ikifikia kipindi cha kuoa umeshajua mengi.
 
Mwanzo 1:26-27
Wakati Mungu anatamka hayo maneno alikuwa na akina nani!?
Tuanzie hapo kwanza.
Pia Mwanzo 6:4
Hao wana wa Mungu ni kina nani!?
 
Malaika ni viumbe wa wenye miili ya kiroho isiyofungwa na sheria ya kanuni za maumbile ya dunia kama ilivyokuwa kwa Adamu alipokuwa mwanamke na mwanamme katika mwili mmoja kabla hawajatenganishwa. Miili hii ya kiroho haihitaji vitu kama oxygen, jua, virutubisho nk. Na wala haina mpaka katika kanuni za kiulimwengu . Yaweza kuwa popote na kwa wakati wowote bila idhini wala kuzuizi.
Wakati viumbe hawa wa kiroho walipoletwa duniani ndipo wakapewa miili ya nyama na damu(flesh) Adamu nae vivyo hivyo akitenganishwa kijinsia kike na kiume kwa ajili ya kuendeleza uzao duniani.
Adamu yeye tofauti yake na wanyama wengine ni moja. Ana nafsi yaani upambanuzi. Wanyama wengine wana roho ya uhai tu.
Yeye adamu ndiye aliyepewa sheria ya makatazo kwamba uasherati ni dhambi kwamba mtu asimchukue mwanamke wa mme mwingine. Hapa kuna siri ya kile kilichoendelea katika bustani ya Eden hata ihesabiwe kama kulala na Eva kingono kwa Adamu ilikuwa anguko(dhambi). Tuache hilo.
Sasa anguko la mwanadamu lipo katika damu. Na mwanamke ni bikira hadi atolewe na mwanamme. Tendo hili ni agano la damu na hivyo humfanya mwanamke awe mme halali kwa aliye mbikiri maana hapo ndipo penye agano. Mengine yaliyofanywa na mapokeo ya kidini na kimila kuhusu ndoa yalikuwa ni mapatano na sii maagano maana mme alimuoa mke ambae ni kahaba kwa kuanzia kwa kuwa sie ndiye aliyemfanya kahaba kwa kumtoa bikira.
Hata hivyo kuna kitu kinaitwa agano la neema ambalo linaruhusu mume kumchukua mwanake kuwa mkewe ikiwa baada ya mke kikiri status zake ataridhia kuishi nae(utakaso)
Kwa hiyo dhambi katika ngono kwa binadamu ni kushiriki mapenzi na mtu asie mke/mme wako.
Roho ya mbwa inaenda mbinguni au motoni?
 
Sawa ngoja tukubaliane na kauli hiyo kuwa Malaika hawana jinsia.

Lakini vipi kuhusu muonekano wao usoni, wana sura gani?

Wana sura za kike au za kiume?

Mionekano yao tunaambiwa wana mabawa, ila mi nataka niende deep zaidi.

Nafikiria hapa kwa kutafakari muonekano wa binadamu, muonekano wa binadamu wa jinsia ya kike huwa ana matiti kifuani.

Binadamu wa kiume huwa hana matiti ila ana small nipples tu kwenye kifua.

Sasa nikianza ku imagine huyo Malaika ambaye hana jinsia, kwenye eneo hilo la kifua yeye atakuwa na muonekano gani, ndio nashindwa kupata jibu. Mnaweza kunisaidia wajuzi.
Mbinguni kuna viumbe wengi sana wa ajabu according na ukisoma maandiko, thus why mtu muoga ni miongoni wa watu wale watakaotupwa kwenye ziwa la moto, ufunuo 21:8 ina conclude kwa kusema uwoga ni dhambi.

Sijakujibu kama ulivyotaraji, acha wajuvi pia wataongeza mengine.
 
Back
Top Bottom